Tundu Lissu akutana na kufanya mazungumzo na Jaji Joseph Warioba

Tundu Lissu akutana na kufanya mazungumzo na Jaji Joseph Warioba

Attachments

  • Screenshot_20250125_092130.jpg
    Screenshot_20250125_092130.jpg
    120.8 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1738686918387.jpg
    FB_IMG_1738686918387.jpg
    35 KB · Views: 2
mzee warioba hawezi kukataa kukukaribisha kwake,
ila kulazimisha ndio tatizo, nadhani sura ya mzee inaeleza kila kitu :pedroP:

..utalazimisha vipi kwenda kwa Mzee Warioba wakati ana wasaidizi na walinzi toka serikalini?
 
warioba - tundu LISU akiwa RAIS wa nchi hii ,tujiandae kufata Sheria
huyu amekuwa mtoa taarifa za usalama wa LISu kwa usahihi sana

Zingatia alimwambia wanataka kukuua baadaye waseme mbowe na uchaguzi wa ndani
 
..utalazimisha vipi kwenda kwa Mzee Warioba wakati ana wasaidizi na walinzi toka serikalini?
yaan facial expression na body language ya mzee inaeleza wazi kwamba wageni ni kama wameforce tu kumtembelea mzee wa watu dah :pedroP:
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
View attachment 3231973
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
"maridhiano"!!!??
 
Nani amesema Warioba anagombea Urais?
figganigga said:
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania

(ULISOMA HADI MWISHO AU ULIKURUPUKA KUJIBU?)
 
Hivi unaelewa chochote kuhusu Itifaki ya Viongozi? 😂😂
itifaki ya kulazimisha kutembelea mahali ambapo unajua kabisa huwezi kukataliwa, matokeo yake ndio hayo sasa yanaonekana kwenye facial expression na body language ya mzee mwenyeji :pedroP:
 
itifaki ya kulazimisha kutembelea mahali ambapo unajua kabisa huwezi kukataliwa, matokeo yake ndio hayo sasa yanaonekana kwenye facial expression na body language ya mzee mwenyeji :pedroP:
Jaribu wewe kuzamia kama hujaenda kuolewa Segerea 😄
 
figganigga said:
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania

(ULISOMA HADI MWISHO AU ULIKURUPUKA KUJIBU?)
Sasa maoni ya mtu mmoja ina maana chama kimempitisha kuwa mgombea? After all Warioba ni mwana CCM kama kugombea angegombea CCM.
 
Mbowe alimleta Sumayee, lowasa, Kingunge, Masha ndani ya chadema. Lissu kwenda afisini kwa Warioba anaoneka shujaa.chawa wa Lissu kazi munayo
Kwani kuna mtu amesema kuwa Warioba anashawishiwa kujiunga na CDM!!??

Kwenda kubadilishana mawazo na Mzee Butiku, Warioba, Maria Nyerere ni jambo jema kwa mwenye akili njema kwani kwa hao wazee huwezi kutoka bila maneno na ushauri wa kihekima, kibusara na maarifa makubwa.

Wewe endelea kwenda kwa shekhe .... na shekhe....ili wawatumie majini kuwasaidia kushinda uchaguzi!
 
..sasa hapo unakuwa kama unapiga ramli.
ni vizuri kujiepusha kulazimisha kuwatembelea viongozi amabao hawako tayari kwa jambo hilo kwa wakati huo,

ona sasa mjadala umehamia kwenye lugha ya mwili badala ya madhumuni ya ziara ya hao wangwana kwa mzee :NoGodNo:
 
Back
Top Bottom