Tundu Lissu akutana na kufanya mazungumzo na Jaji Joseph Warioba

Tundu Lissu akutana na kufanya mazungumzo na Jaji Joseph Warioba

Jaribu wewe kuzamia kama hujaenda kuolewa Segerea 😄
nazamiaje wakati mie naenda free kama home tu gentleman :pedroP:

kuna mambo unajaribu kuyafanya maguuumu kumbe kwa wengine huyo mzee tumezoe hadi tunamjuu kama baba kipi tu:pedroP:
 
Ccm wanashindwa kuelewa chadema inapigaje vile, lisu nguri wa sheria kashawachanganya manyigu walijua ataanza na mikutano ya hadhara mikoani lkn mpaka sasa wanywa damu hawajui aina ya siasa anayoendesha lisu.
 
Kwenye huo mwili wa mzee warioba hamna kisukari, kansa, presha, magonjwa ya figo na magonjwa ya kujitakia. Ingependeza sana watanzania wote tungekuwa na mwili kama wa mzee warioba.

Cc Rebeca 83 ca83 Robert Heriel Mtibeli

Nyau de adriz

IMG-20250210-WA0022.jpg
 
Hivi mnafikiri CCM wanajali au Samia anakosa usingizi kwa ajili ya mambo kama haya? Msisahau kwamba CCM hawashindi kwa sababu ya kupigiwa kura nyingi au kuonekana wana mambo yanayowapendeza wananchi.
Sawa lakini huo uhuni huzimika ndani ya siku tu kama moto wa mabua, yupo wapi Magufuli, si mlikuwa mkisema tunaye hadi kiama?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
View attachment 3231973
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Mzee Warioba ndiye mzee pekee wa CCM ambaye ana ujasiri wa kuweka maslahi ya nchi mbele. Wengine wote ama ni wanafiki au hawana balls!
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
View attachment 3231973
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Wazee wote muhim na wanaojielewa watembelewe na kupata busara zao juu ya Taifa hili na tunatokaje hapa
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
View attachment 3231973
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Mzee hivyo achaguliwe urais? SI atakuwa kama Biden...asahau njia aende msituni?
 
Ahahahahaha! Yaani vijana wa ovyo wa Chadema mnachekesha kweli. Kwamba Mzee Wassira hana sifa ya kuwa Makamu Mwenyekiti wa CCM kisa mzee lakini Mzee Warioba anayemzidi umri Mzee Wassira eti ana sifa ya kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Mnachekesha kweli!
Wasira kwa sasa akikusikia unamwita mzee atakuroga kama sio kukufungulia kesi, we si unaona hata mwonekano wa nywele amebadilisha. Sema

Bro Wasira atakuelewa
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania

Huyu ni miongoni mwa wastaafu wachache sana wenye fikra huru kabisa.Wana mtizano wa kizalendo sana. Nchi kwanza POSHO baadaye! ni reliable kupata ushauri kwa viongozi wenye nia njema na nchi.Ila kama wewe ni mtu wa irregularities utamchukia sana huyu mzee maana hata sita kusema zile hisia zilizomo moyoni mwake
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Kwa sasa Mzee awashauri vijana wa taifa hili kama hivi itakuwa vyema zaidi.
 
Back
Top Bottom