Tundu Lissu akutana na kufanya mazungumzo na Jaji Joseph Warioba

Tundu Lissu akutana na kufanya mazungumzo na Jaji Joseph Warioba

Miongoni mwa wazee waliokataa kufumbia macho uhuni.

Mpaka akatumiwa vijana wa chama wahuni kumshambulia halafu baadae wakazawadiwa vyeo na Pascal Mayalla anawaita hawa wahuni "wapakwa mafuta "

images (66).jpeg
 
Jaji Joseph Sinde Warioba alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kutoka Novemba 5, 1985, hadi Novemba 9, 1990 chini ya Rais Ali Hassan Mwinyi.

Kizeee
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Anafaa sana ila hakutaka uraisi angetaka angegombea kupita ccm!
 
hapo machawa wa kijani na maboss wao wakiona hii utawasikia ooh.! Warioba ametoa siri za nchi .ooh ahojiwe ameongea nini na Lissu..wakati sote tunajua Warioba ni mmoja wa wazalendo wa kweli wa hili taifa
 
Jaji Joseph Sinde Warioba alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kutoka Novemba 5, 1985, hadi Novemba 9, 1990 chini ya Rais Ali Hassan Mwinyi.

Kizeee
Wasirra amekuwepo awamu zote tangu Tanganyika ipate uhuru kwani hakuna mbadala?

1-6 YUPO.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024

Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.

MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
ccm watachukia
 
Wasirra amekuwepo awamu zote tangu Tanganyika ipate uhuru kwani hakuna mbadala?

1-6 YUPO.
Danieli 2:21, inasema:

"Yeye hubadili majira na nyakati, huwaondoa wafalme na kuwaweka wafalme, huwapa wenye hekima hekima, na wenye ufahamu huwapa maarifa."
 
Back
Top Bottom