Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu lazima upate kiharusi shwaini .Mbowe alimleta Sumayee, lowasa, Kingunge, Masha ndani ya chadema. Lissu kwenda afisini kwa Warioba anaoneka shujaa.chawa wa Lissu kazi munayo
Jaji Joseph Sinde Warioba alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kutoka Novemba 5, 1985, hadi Novemba 9, 1990 chini ya Rais Ali Hassan Mwinyi. Warioba babu akalee wajukuuMwaka huu lazima upate kiharusi shwaini .
Bali yule babu anayelala usingizi kila wakati na kujikojolea bado ni kijana siyo?Umri ushamkimbia
Hawezi kugimbea uongozi wala hana mpango huo. Ila anaweza kumpa baraka zake Lissu, SSH anajua hiyo ina maana gani.Umri ushamkimbia
Kwani umesikia ameomba kugombea cheo chochote?Jaji Joseph Sinde Warioba alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kutoka Novemba 5, 1985, hadi Novemba 9, 1990 chini ya Rais Ali Hassan Mwinyi. Warioba babu akalee wajukuu
Anafaa sana ila hakutaka uraisi angetaka angegombea kupita ccm!Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
Warioba ana baraka?Hawezi kugimbea uongozi wala hana mpango huo. Ila anaweza kumpa baraka zake Lissu, SSH anajua hiyo ina maana gani.
Mwendokasi!Kazi imeanza Rasmi
Na bado mtakuja na ngonjera nyingi tuMwendokasi!
Lissu msanii tu, itapita miaka yake 4 hajafanya kituNa bado mtakuja na ngonjera nyingi tu
Wasirra amekuwepo awamu zote tangu Tanganyika ipate uhuru kwani hakuna mbadala?Jaji Joseph Sinde Warioba alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kutoka Novemba 5, 1985, hadi Novemba 9, 1990 chini ya Rais Ali Hassan Mwinyi.
Kizeee
ccm watachukiaMwenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu akiambatana na Naibu Katibu Mkuu Bara ndugu Amani Golugwa leo wamemtembelea Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Warioba ofisini kwake.
View attachment 3231945
Katika ziara hiyo maalumu, Tundu Lissu amekuwa na mazungumzo na Waziri Mkuu mstaafu kuhusiana na masuala mbalimbali kuhusu uchaguzi wa ndani ya chama uliomalizika hivi karibuni na pia kuhusu hali halisi kuhusiana na uchaguzi uliomalizika wa serikali za mitaa, vijiji na vitongoji wa mwaka 2024
Pia kuhusu ulazima wa kuwa na mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi Tanzania ili kuwa na chaguzi zinazoaminika na zisizo na dosari.
MY TAKE;
Jaji Warioba anafaa kuwa Rais wa Tanzania
HayaLissu msanii tu, itapita miaka yake 4 hajafanya kitu
unataka akufanyeLissu msanii tu, itapita miaka yake 4 hajafanya kitu
Danieli 2:21, inasema:Wasirra amekuwepo awamu zote tangu Tanganyika ipate uhuru kwani hakuna mbadala?
1-6 YUPO.