Tundu Lissu akutana na Wakili wake Robert Amsterdam

Tundu Lissu akutana na Wakili wake Robert Amsterdam

Acha wivu.
Ulichosema, haihusiani na mada na hata nilichokisema. πŸ””πŸ””-weπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hatahivyo, siwezi kuwa na wivu wakuwa Msaliti ama wa kumsujudia Kaburu.
 
Robert Amsterdam huyo tapeli wakili wa Lisu.
Hana lolote tapeli wa mjini huyo

Muulize kesi ya Bob Wine wa Uganda mpinzani mkubwa kuliko Tundu Lisu hiyo.kesi alifika nayo wapi

Alikula pesa za Bob Wine na wafadhili wa Bob Wine mpinzani mkuu wa Museveni akapotea mitini kwa kesi ambayo alijua kabisa hawezi shinda

Hapo anataka kumtumia Tundu Lisu apige pesa kupitia wafadhili wa Lisu kwa kisingizio cha Legal fees au matapeli wawili wamekutana wa Sheria Lisu na Amsterdam wamepanga case wafadhili watoe pesa za legal fees wagawane

Katika mawakili matapeli kama wa Nigeria Huyo Amsterdam ni mmojawao
Wewe ni chuki zinakusumbua.Kaa vizuri sindano isivunjikie ndani.
 
Wewe ni chuki zinakusumbua.Kaa vizuri sindano isivunjikie ndani.
Twende kazi Amsterdam ashitaki Tigo
Tena mwambieni kabisa ruksa kufungua kesi dhidi ya Tigo

Tukutane mahakamani iwe ya ndani au nje ya nchi mwambieni kama yeye wakili nguli afungue mshenzi mkubwa
 
Wafuasi wa makonda mnachekesha sana
Huyo wakili kanjanja Amsterdam anatishia nyau nanil Tanzania hii nani labda locally au Internationally ? Mahakama za ndani au za kimataifa mjinga huyo

Afungue kesi dhidi ya Tigo aone mziki wake

Tunamsubiri kwa hamu sana afungue kesi locally au Internationally mbwa huyo
 
Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu leo Oktoba 8 amekutana na wakili wake, ambaye anaitwa Robert Amsterdam.

Hivi karibuni Tundu Lissu alisema amemuelekeza mwanasheria wake Bob Amsterdam kuanza taratibu za kuishtaki kampuni ya Millicom ambayo ilikuwa kampuni mama ya simu za mkononi ya Tigo kwa pamoja na serikali ya Tanzania kwa tuhuma za kuhusika na jaribio la kutoa uhai wake.

Lissu aliyasema hayo baada ya mahakama moja nchini Uingereza kuelezwa kuwa kampuni ya mawasiliano ya Tigo (ambayo ilikuwa ikimilikiwa kwa wakati huo na Millicom) ilitoa taarifa za mawasiliano na nyendo za mwanasiasa huyo kwa saa 24 siku chache kabla ya tukio la kushambuliwa kwake.

Septemba 7, 2017 Lissu alishambuliwa kwa risasi zipatazo 16 aliporeja kutoka kwenye kikao cha Bunge, akiwa katika uwanja wa makazi yake na viongozi wengine eneo la Area D, jijini Dodoma, na baadaye kufanyiwa upasuaji mara 25 nchini Kenya na Ubelgiji.

Wakati huo Tundu Lissu alikuwa mbunge wa Singida Mashariki mkoni Singida, katikati mwa Tanzania kupitia Chadema.
Kwa iyo wamekutana wapi
 
Makamu Mwenyekiti wa chama cha upinzani Chadema nchini Tanzania, Tundu Lissu leo Oktoba 8 amekutana na wakili wake, ambaye anaitwa Robert Amsterdam.

Hivi karibuni Tundu Lissu alisema amemuelekeza mwanasheria wake Bob Amsterdam kuanza taratibu za kuishtaki kampuni ya Millicom ambayo ilikuwa kampuni mama ya simu za mkononi ya Tigo kwa pamoja na serikali ya Tanzania kwa tuhuma za kuhusika na jaribio la kutoa uhai wake.

Lissu aliyasema hayo baada ya mahakama moja nchini Uingereza kuelezwa kuwa kampuni ya mawasiliano ya Tigo (ambayo ilikuwa ikimilikiwa kwa wakati huo na Millicom) ilitoa taarifa za mawasiliano na nyendo za mwanasiasa huyo kwa saa 24 siku chache kabla ya tukio la kushambuliwa kwake.

Septemba 7, 2017 Lissu alishambuliwa kwa risasi zipatazo 16 aliporeja kutoka kwenye kikao cha Bunge, akiwa katika uwanja wa makazi yake na viongozi wengine eneo la Area D, jijini Dodoma, na baadaye kufanyiwa upasuaji mara 25 nchini Kenya na Ubelgiji.

Wakati huo Tundu Lissu alikuwa mbunge wa Singida Mashariki mkoni Singida, katikati mwa Tanzania kupitia Chadema.
Hiyo yote 100 lakini muuwaji mkuu na mtekaji kipindi hicho alikuwa marehemu magufuri. Kafa bila kutubu na kama moto upo huko basi aendelee kuungua.

Nakutakia kila la heri Tundu Lissu ushinde kesi hii na tuwajue ccm na ubaya wao
 
Na kopi ya faili la njama hizi ovu tunawapa Umoja wa Ulaya makao yake makuu Brussels kuonesha kujiburuza kwa serikali ya Tanzania kutofanya uchunguzi wowote waliohusika kuwashambulia kwa risasi mheshimiwa Tundu Lissu mwaka 2017

UMOJA WA ULAYA EU:
Umoja wa Ulaya ni muungano wa kisiasa na kiuchimi kati ya mataifa 28 yaliyoko hasa katika bara la Ulaya.

Makao Makuu EU, Idara na mashirika ya utendaji ya Tume yapo Brussels na Luxemburg . Mikutano ya kila wiki ya Makamishna hufanyika katika makao makuu ya Brussels na Strasbourg.
 
Siasa za nchi yetu zimejaa vituko kweli nilitegemea wakati huu ni mzuri sana wa kuhamasisha wafuasi wao wajiandikishe kwa wingi kwenye daftari la wapiga kura ili kujiandaa kupata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa vijiji na vitongoji, mtu muhimu kama makamu wa mwenyekiti taifa yuko bize ulaya kwa mambo binafsi kabisa ambayo angeweza kuyashughulikia muda mwingine.

Hapo najua kisaikolojia wamejiandaa kushindwa . Maana usipopambana kuwaandikisha wapiga kura unategemea hao wanaohamasishwa na ccm ndio waje kupigia upinzani!?

Ili takiwa muda huu viongozi wote wakuu wa chama pamoja na wale wa Kanda au majimbo wawe bize kuhakikisha makada wote wamo kwa daftari la wapiga kura na kuhamasisha wafuasi wengine waunge tera.

Najua mtanitukana lakini huu ndo ukweli bongo kuna upinzani uliojaa vituko!
 
😁😁😁.wewe nani kakudanganya viongozi wa Tanzania wanachaguliwa kwa kupigiwa kura?
 
Tuna safari ndeefu ya kuoata chama cha upinzani!
Nyerere aliwaingiza chaka wazungu,
 
Tanzania hakuna uchaguzi ndugu. Kuna maigizo na vituko vya mtu mweusi kwenye sanduku la kura

Kama hamkumwelewa Nape na yule DC wa Longido basi endeleeni kuwa wajinga tu
 
Siasa za nchi yetu zimejaa vituko kweli nilitegemea wakati huu ni mzuri sana wa kuhamasisha wafuasi wao wajiandikishe kwa wingi kwenye daftari la wapiga kura ili kujiandaa kupata ushindi wa kishindo kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa vijiji na vitongoji, mtu muhimu kama makamu wa mwenyekiti taifa yuko bize ulaya kwa mambo binafsi kabisa ambayo angeweza kuyashughulikia muda mwingine.

Hapo najua kisaikolojia wamejiandaa kushindwa . Maana usipopambana kuwaandikisha wapiga kura unategemea hao wanaohamasishwa na ccm ndio waje kupigia upinzani!?

Ili takiwa muda huu viongozi wote wakuu wa chama pamoja na wale wa Kanda au majimbo wawe bize kuhakikisha makada wote wamo kwa daftari la wapiga kura na kuhamasisha wafuasi wengine waunge tera.

Najua mtanitukana lakini huu ndo ukweli bongo kuna upinzani uliojaa vituko!!
Mijitu mijinga inajadili mambo binafsi ya watu
 
Back
Top Bottom