Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

💯
 
Kwa vile Mbowe ameshindwa basi na Lissu naye hataweza??? Wewe jamaa una mahaba makali sana kwa Mbowe.
 
Mpe 5
 
Kumbe una utoto na mahaba hadi yamekutoa ufahamu.
 
Hapo kwa Kibao nakukatalia,taarifa alizokuwa nazo ni very damaging kwa Dola,elewa tuhuma za fedha za Abdul zinamgusa moja kwa moja Rais wa nchi.
 
... quacks like a duck, then...

yo' dead right chief.
 
Mkuu umepita mule mule,kifo cha Kibao ni colabo ya Mbowe na Dola.
 
Halafu kuna watu wanataka eti Lissu akayasemee vikaoni. Akasemee vikaoni mambo ya kutuumiza sisi wananchi huku waliomo kikaoni ni wahusika wa kutuuza?.

Wacha Lissu aseme ukweli ili tujue, kama tunaanza upya kwenye mageuzi tuanze upya!
Ukweli kwenye vikao aliyasema lakini akapuuzwa ndiyo maana ameamua kuyaketa kwenye mahakama ya umma ambayo haipokei rushwa na ndiyo kama hivi ukweli tumeujua hivyo kazi kwetu kuwakataa hawa vibaraka wa dola.
 
Ukweli kwenye vikao aliyasema lakini akapuuzwa ndiyo maana ameamua kuyaketa kwenye mahakama ya umma ambayo haipokei rushwa na ndiyo kama hivi ukweli tumeujua hivyo kazi kwetu kuwakataa hawa vibaraka wa dola.

Tena kafanya vyema kuyaleta la sivyo wangemmaliza kimyakimya kwa sababu anajua mengi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…