Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,745
- 11,267
Magufuli ulisingiziwa mengi mpendwa wetu, pumzika kwa Amani Baba!Huyu mbowe ni zaidi ya mwenyekiti huyu anaweza kuwa ni muhusika wa matukio mabaya ya wanachadema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli ulisingiziwa mengi mpendwa wetu, pumzika kwa Amani Baba!Huyu mbowe ni zaidi ya mwenyekiti huyu anaweza kuwa ni muhusika wa matukio mabaya ya wanachadema.
Halafu anabana pua na kurembua macho na kudai hajawahi kuua mtu labda sisimizi yaani Mzee Kibao ndiye sisimizi. Damu ya hutu mzee lazima itawafuatilia tu.Mtu kama Mzee Kibao hawezi kuuwawa bila sababu ya msingi.
Ukiaangalia jinsi Mwenyekiti alivyowanyamazisha wanachama, Mama Abdul aliposema kwa dharau kifo ni kifo tu, Mama Abdul alitoa ahadi uchunguzi wa haraka utafanyika, hadi leo kimya.
Inaonekana Kibao alikataa rushwa ya Abdul na aliwajua wote walipokea rushwa, labda alitishia kuwa-expose, kwahiyo order ikatolewa kwa namna yoyote awe liquidated ili iwe onyo kwa wengine. Ndio maana ya kutekwa, kuteswa na kuuwawa mchana kweupe.
Na bado mtatukana sana wauaji wakubwa nyieMpuuz sana takataka hili
Hiyo ni conclusion yako,hakuna sehemu Lissu amemhusisha Mbowe na shambulio la risasi dhidi yake.Lissu alimiminiwa risasi,Lissu huyo huyo alisaidiwa kwa kirefu kukodi ndege,kumsafirisha hadi Nairobi Kenya kwa matibabu na Mheshimiwa Mwenyekiti Mbowe.
Gharama za matibabu na mwenendo wa tiba hadi akatinga Belgium ni Mbowe.
Ikiwa Lissu anasema Mbowe ni prime suspect basi Chadema imekufa na kuzikwa juzi.
Huyo chawa ni mpuuzi sana aliguswa Mbowe yeye anaruka utafikiri amejambishwa au amewekwa la kati.Hautaki na hauupendi ukweli?
😂Na inawezekana ndiye aliyepanga kumfyatulia risasi Lissu😁😁
😂😂😂Makamanda pipoooz😁😂
Hawa wauaji sasa hivi mavi yanagonga chupi na kurudi ndani kwani kila uchao wanazidi kuumbuliwa.Unataka amalize silaha zote kwenye mazoezi tu.Kwani kununua subira ni shilingi ngapi za kitanzania?
It's beyond repairMbowe amechafuka pakubwa mno.
Mtu akishakubali kuwa chawa ujue amejitoa ufahamu tayari.Hivi we jamaa umedata?
🤣🤣.
Halafu kuna ile ingine sijui kama nimepatia…
No hate, no fear.😂
😂Hivi we jamaa umedata?
Huyu lazima awatoe ngama unafikiri maneno anayozunguma hayana ushahidi usiotia shaka? Anachofanya anawakusanya mdogo mdogo mpaka mjae kwenye clamp kisha akamue. Option mliyo nayo ni kumuua tu vinginevyo atawamaliza.Unaona Lisu alivyompuuzi....... leta vielelezo, si alikuachia? si alikupa ushidi? au alikwambia kwa maneno which is not evidence!
Anataka kuwapakazia walio kufa akijua hawatarudi!
Na hata Slaa aliongea kuhusu kijana wa chadema kuumizwa na watu wa ndani ya Chadema,lakini alivurumishiwa matusi na makamandaWatu walihoji hayo tokea 2017!
Ila ilikuwa ukihoji, unaishia kuitwa Mataga.
These people are dumb.
Kama kuna kikundi kama hicho basi kinapiga colabo na dola,haiwezekani kipige matukio yote hayo ambayo yanaichafua serikali na serikali na vyombo vyake ishindwe kuwabana.Huwa tunawambia CDM inakikundi chake cha utekaji na Propaganda lakini mnajifanya hamjui ili kiendelee kusikika kinaitaji kufanya matukio yatakayousisimua jamii ili waiongelee Chadema sisi tunawambia kwa sababu tunajua unakuta na mpuuzi Mmoja anamahaba yake anapinga Pinga..
Mohamed Mtoi.Wakati wa kutapika asisahau na Ile ajali iliyomuondoa Ndugu yetu Kamanda Wa Tanga jina limenitoka... alikuwa mbioni kugombea ubunge huko huko Tanga.
Ana mengi ya kusema na nahisi ndio maana anapata hizo threats za kuuawa tena. Kwa Tanzania huyu ni mwanamageuzi pekee tuliyebaki nae. Too sad atakata tamaa na sisi soon. Ila Mbowe kusema ukweli sijawahigi kumuamini. Anaonekana ni mfanyabiashara tu. Na watu wake wote sasa wamekuwa hivyo.TAL sijajua kapatwa na nini maana siye niliyemjua.
Jan 21 siyo mbali kivile