Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Lissu alimchoma Mjumbe mbele ya kamati Kuu. Huyu ndiye mnataka awe anapewa daily briefing kutoka kwa watu wetu wa kulinda nchi!!! Muelewe kuwa si Presidential Material huyu mtanzania Mwenzetu!
Hakumchoma mbona Wenje alikubali alienda kwa Lissu ila kwa motive tofauti, na hilo la pesa za CCM mbona aliyaongea hadharani huko Iringa!! Haikuwa siri mpaka iwe kwa mtu mmoja tu.
 
Na inaonekana wazi sasa hawa CHADEMA wanashirikiana na serikali ya CCM kuwa-eliminate wapinzani wao- rejea kauli ya Dr. Slaa kwamba alilazimishwa kugombea- vinginevyo angeuawa.

Huyu Mbowe ni either ni Tutusa anayetumika tu ili mradi ugali uende kinywani au ni Mamluki wa usalama anayeshirikiana nao ili kukwamisha jitihada za wananchi kupata wanachokitaka.

Ukiunganisha doti za matukio yote, utagundua kwamba, ukombozi halisi wa mtanzania hautotoka kwa kupitia hivi vyama vya Saisa- Circumstantially ni Kama wana- collude ili kula mali za nchi Kwa namna yao.

Akitokea mtu anayewapinga, watamfanyia figisu hadi mauaji - Ila nao pia siku yao yaja- ndio maana ya ututusa wa kuwaondoa wengine mapema.

Tunapoelekea- watu watakosa imani na vyama vya siasa, watajichukulia sheria mikononi, tutakuwa Kama Somalia muda si mrefu.

CCM haiwezi poteza mvuto peke yako-lazima na CHADEMA pia ipoteze- huko walipo wanafurani Sana Kwa kinachoendelea huko CHADEMA na ndio maana mashabiki Kama tlatla na Lucas Mwashambwa wako hapa 24/7 wakimtetea Mbowe maana wanajua ugali unakaribia kumwagwa- mboga lazima ilindwe kwa gharama zote.. nafuu au ghali.
Mbowe anakitambulisho chekundu msipoteze mda
 
"Mbowe Kapokea pesa za Abdul, mmojawapo wa watu wa CHADEMA aliyetoa hii Siri, anauliwa kinyama! na execution squad ya CCM! "

If it walks like duck, smells like a duck, then it's a duck.

Mbowe anatumika, ni compromised na CCM kuiua CHADEMA kutokea ndani, yupo kwenye payroll ya state,! Anafanya alichowahi kufanya Mabere Marando ndani ya NCCR Mageuzi.

Kama ni kweli na sio conspiracy theory,
Mbowe ni Usalama
 
Tukisema chadema ni chama cha wapumbavu muwe mnaelewa, joka linalowaua na kuwateka kila siku mnalo mnalilisha nyie halafu mnakaza mafuvu kuisingizia ccm. Code aliyosema mlopokaji wenu ni mazhombi pekee hawatamuelewa wataendelea ccm ccm ccm ccm.
Sijaelewa mkuu. CHADEMA wanaweza kutoa amri askari waondolewe masaa kadhaa kabla ya Lissu kupigwa risasi? CHADEMA wanaweza kung'oa CCTV camera?

Pia CHADEMA wanaweza kuzuia uchunguzi huru?

Nikikuita MABULULU nitakuwa nakosea?
 
Tukisema chadema ni chama cha wapumbavu muwe mnaelewa, joka linalowaua na kuwateka kila siku mnalo mnalilisha nyie halafu mnakaza mafuvu kuisingizia ccm. Code aliyosema mlopokaji wenu ni mazhombi pekee hawatamuelewa wataendelea ccm ccm ccm ccm.
Ina maana serikali ya ccm imeshindwa kuwabaini na kuwakamata watekaji waliopo Chadema.?!
 
Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.

Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.

Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
Ngoma bado mbichi hii. Lisu apewe Ulinzi jamani
 
Nilikuwa najiuliza sana sababu za Mzee Kibao kufanyiwa unyama ule.

Kwanza nilikuwa hata sijasikia uwepo wa mtu kama huyo ndani ya CHADEMA; kwa sababu sikuwahi hata kusikia akitamka lolote hadharani.

Sasa majibu yame patikana.
Na kitendo cha Mlaghai Mbowe kuzuia watu wasimzomee Masauni kwenye msiba wa Kibao kule Tanga kinaibua Maswali mengi
 
Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.

Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.

Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.
asijekuwa yule mwarabu wa tanga
 
Hii mikutano kuruhusiwa tumeona uzwazwa wa chakadomoz

Kesho utasikia Lissu yupo ccm

Njaa tupu
Umeanza kumjua Lissu kipindi cha Magufuli?

Angekwepo Marehemu Mkapa angekuambia Lissu ni nani.

Kikwete aliwahi kutamka ni heri wakose Urais kuliko Lissu kuingia bungeni.

Source : Trust Me Bro Hutaki Acha.
 
Huyu mbowe ni zaidi ya mwenyekiti huyu anaweza kuwa ni muhusika wa matukio mabaya ya wanachadema.
Kwa mujibu wa maelezo ya Lissu kifo cha Mzee Kibao kinaweza kuwa kinahusika ushahidi huo aliokuwa nao ndiyo maana mhusika mkuu alisema ni kifo kama vingine tu. Lissu amefumbua fumbo hili. Ndiyo maana Lissu alisema tofauti ni jinsia tu.
 
Ukweli gani usio na ushahidi, revelations tu! Ndiyo maana nasema Lisu kuna nati imelegea kichwani. Clubhouse ameleta ushahidi gani, maneno tu! Amefanya submissions AND Submissions are not evidence

ISSA OMARI MAPESA VS. JUMANNE SEBARUA​

Submissions are not evidence but information expounding on the general features of the party's case
Wewe ni mjinga ujue
 
Mgombea Uenyekiti wa Chadema Tundu Lissu amefunguka kupitia Twitter space jinsi alivyokusanya ushahidi wa kutosha kuhusu rushwa ya pesa za Abdul na mama yake kwa viongozi wa Chadema.

Ameeleza kuwa mmoja wa wajumbe wa kamati kuu ya Chama cha CHADEMA aliyempatia ushahidi wa kina kuhusiana na tuhuma hizo na aliyemsaidia kuthibitisha tuhuma hizo mbele ya kamati kuu ya Chama cha CHADEMA kwa sasa ni Marehemu. Hata hivyo Lissu alikataa kumtaja Mjumbe huyo akidai kwamba haitasaidia kitu chochote.

Na alipoulizwa iwapo kifo cha Mzee Ali Kibao kinahusiana na tuhuma za pesa za Abdul aliomba asilizungumzie Hilo kwa sasa.

TAL sijajua kapatwa na nini maana siye niliyemjua.
Jan 21 siyo mbali kivile
 
Back
Top Bottom