Kumbee!!! Tumeelewa Kwa nini sasa. Asante Mbowe kumwambia Wenje agombee umakamu tusingejua haya kama Tundu Lissu asingekupandia juu.Pumzika kwa amani mzee kibao...... Nlikua najiuliza sana nini chanzo cha kuuwawa kikatili vile 😢
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbee!!! Tumeelewa Kwa nini sasa. Asante Mbowe kumwambia Wenje agombee umakamu tusingejua haya kama Tundu Lissu asingekupandia juu.Pumzika kwa amani mzee kibao...... Nlikua najiuliza sana nini chanzo cha kuuwawa kikatili vile 😢
You've missed the point.Wanaotekwa, Wanaouliwa Na wanaofanyiwa mambo ya Kinyama wote wanafanyiwa na Vyama vyao Ila Kisingizio mama samia na Serikali yake au Kisingizio Magu na Serikali yak..
Huu Ni ushahidi Kamili kwamba Chama Changu cha CCM Hakihusiki na Yote yanayotajwa Eeh Mungu nisamehe kwa Kuchukia Chama changu ns Kutamani Uongozi ubadilike..
Pia Lucas Mwashambwa Nisamehe Mdogo wangu Ukweli sasa Unaanza kidogo kidogo kufahamika
Kuwa Serikali haihusiki
Alipata ajali akiwa kwenye kampeni huko Tanga, na range rover yake ileYes. Mohamed Mtoi (RIP). Asante sana Mkuu. Ajali yake iliniacha na Maswali mengi bila majibu. Sasa mtoa majibu kapatikana, tumtumie.
Huwezi jua Yaliyofichikana Huwenda Kuna Ushirikiano na Benefit fulani mutual Benefit ys Pande mbiliYou've missed the point.
Uhusika wa wapinzani ni tuhuma za kushirikiana na system/dola/CCM/serikali kuteka, kutesa na kuua. Ndio wenye vyombo na mfumo wa utekelezaji. Kisha kuzuia uchunguzi na kupoteza ushahidi. Hakuna chama cha upinzani kinachoweza kufanya utekaji na mauaji nchi hii kikabaki salama mbele ya serikali na vyombo vya dola.
Wana CDM wamevamiwa humu,chukueni tahadhari na haya maneno.Wafuasi wa CHADEMA kama mtafuatilia vizuri kupotea kwa ben Saanane mtagungua kuna mtu yuko CDM anashikiana na watekaji ingiwa ni ngumu haya machawa kina Tindo ,Erythrocyte kuelewa
Hahaha, kuna mtu aliwahi kunipigia simu kimakosa akidhani mimi ni Yericko Nyerere, alinitukana sana. Maelezo yake alisema alimtumia Yericko hela ili amtumie vitabu (kama nakumbuka vizuri) lakini miezi sita ikapita bila jamaa kupata mzigo wake.Hayupo kwenye system na hataweza kuwepo ni wale wa unampa laki 5 akusifie mtandaoni au asikuandike vibaya ndio maaisha ya vijana mtandaoni huko Twitter (x)
Ukishaona mtu anakomaa na marehemu jua kwamba ameshindwa kutimiza wajibu wake. Kwa jamii zilizo staarabika mtu hawezi thubutu kutupa lawama kwa marehemu kwa matatizo ya wakati huo. Ni upumbavu wa hali ya juu watu kuendelea kumsingizia Magufuli kwa mambo mabaya yanayo endelea hivi sasa hapa nchini.Mbowe anamsema Magufuli Kila Siku Bila kuweka Ushaidi lakin husemi kitu kuhusu hilo. Lakin Samia Kaharibu Uchaguzi , Watu wanatekwa na kuuawa lakini Mbowe anasema mama anaupiga mwingi na maridhianao yan maana kubwa kwake,
Je, maridhiano yana maana ipi kwa Chadema na Taifa kwa ujumla kama watu wanatekwa na kuuawa? inawezekana maridhiano yana maana kubwa kwake kwa kusamehewa Kesi ya Ugaidi na Lisu amesema Aliyempa maelezo ya kina Juu rushwa Kwenye Chama sasa ameuawa!!
Ally Kibao ameuwa Kipindi Cha mama lakini Mbowe anakwambia maridhiano yana maana. Je, Maridhiano yana maana gani Kama watu wanauwawa Na Chaguzi zinaharibiwa?
Kwa nini Mbowe amekomaa na Marehemu Magufuli ilihali watu wanakufa na Chaguzi zinaharibiwa na Samia na anaridhika na Uongozi wake?
Kipi kimejificha na kinachowaunganisha Mbowe na Samia?
Tahadhali gani hujui chochote weweWana CDM wamevamiwa humu,chukueni tahadhari na haya maneno.
Tuliwahi kuhoji tukatukanwa sanaHahahaa.
Sicheki Lissu kupigwa risasi.
Nacheka tu jinsi narrative inavyoanza kubadilika kidogo kidogo.
Mwanzoni villain alikuwa Magufuli.
Sasa hivi kibao kimeanza kubadilika kidogo kidogo.
Muda si mrefu kuna mtu atatapika yote aliyonayo moyoni.
Ila kwa huu ufa ulioanza kujionyesha, CHADEMA haitokuwa tena kama ilivyokuwa zamani.
Hii CHADEMA ya sasa na ijayo, ni dhaifu sana.
Na kuhusu Mbowe, kuna watu humu walikuwa wanahoji sana ushiriki wake katika kupotea kwa Ben Saanane na kushambuliwa kwa Lissu.
Hiyo ilikuwa ni kipindi kile cha Magufuli.
Lakini kwa vile Magufuli ndo alikuwa villain kwa wakati huo, jaribio lolote lile la hata kuhoji tu uwezekano wa labda Mbowe alikuwa anajua zaidi kuhusu hayo matukio kuliko na alivyokuwa anaonekana, lilikumbwa na push back kali sana toka kwa makamanda.
Like, how dare you question our dear chairman! Mbowe ndiye aliyekodi ndege binafsi kum airlift Lissu kwenda Nairobi akiwa hajitambui.
Anywho, ngoja niendelee kuangalia hii ngoma iliyo inogile.
Ila idea ya kwamba sasa Mbowe ameanza kuwa villain, ni tamu kuliko cranberry sauce iliyopo kwenye menu ya kesho kwenye mlo wa Krismasi 🤣.
It will be sweet to watch what transpires.
Nilisikitika sana, maana alikuwa MwanaJF mtiifu hapa.Alipata ajali akiwa kwenye kampeni huko Tanga, na range rover yake ile
Hilo jamaa litakuwa ndio li Yericko Nyerere.Hivi we jamaa umedata?