Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Pascal Mayalla nilisema ili Tundu LISSU aaminike, ni lazima AJIBU MAPIGO.
na Siku chache zijazo, utajionea zaidi ya haya.
na Siku chache zijazo, utajionea zaidi ya haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabla ya wakati gani? Huoni namna zinavyotumika hila nyingi kumdhibiti asipate platform ya kuongelea? Walianza kwa kumuwekea mshindani rafiki wa Mwenyekiti kwenye nafasi yake ya Makamu Mwenyekiti...HAMNA KITU...Angesema kabla ingesaidia sana.
Ukitaka alete ushahidi mpeleke mahakamani atauleta huko. Sisiemu si mna mahakama na vyombo vyote vya dola?Utakua unaamini kila kitu bila ushahidi?
Watu walihoji hayo tokea 2017!
Ila ilikuwa ukihoji, unaishia kuitwa Mataga.
These people are dumb.
Hivi ni kwanini mlichukua pesa za Abdul na Mama yake? Upepo umeanza kupuliza nyeti za kuku sasa.evidence, evidence, evidence...... anatoa revelations tu bila ushahidi.. kama akina Mbowe wangelikuwa kama yeye, wangelibwatuka tu na kumvika uongo kama anavyofanya yeye........
Fine sasa anashindwa nini kumuondoa Samia madarakani, kinamzuia nini ambacho atakipata kwenye uenyekiti?
Na Lissu akimtupia zigo marehemu, atatoka kaburini kuleta ushahidi wake?
AiseeMkuu, Kibao alikuwa ni mtu wa karibu sana wa Mbowe. Na alikuwa anajua mengi.
Tutafakari:
1. Mwenyekiti anafuatwa gerezani na ''watu wasiojulikana'' na kufanya mazungumzo ya kina.
2. Anatolewa gerezani na kwenda kwa mama moja kwa moja na wafanya mazungumzo ya faragha wao wawili tu.
3. Abdul na makapu yake yaliyojaa fedha anamtembelea mwenyekiti na baadhi ya viongozi wa chama na anaondoka makapu yakiwa tupu.
3. Mwenyekiti anaambiwa amuunganishe Abdul na Lissu ili naye apate mgao wake na anamteua Wenjele kufanya hiyo kazi.
4. Wenjele na Abdul wanakwenda na makapu yao yaliyojaa fedha kwa Lissu lakini Lissu anayakataa.
5. Lissu anafanya uchunguzi mkali na wa siri na mzee Kibao anampa details zote.
6. Lissu anaanika hadharani kuhusu makapu ya fedha.
7. Mwenyekiti anaitisha kikao ili amwadhibu Lissu
8. Lissu anatoa ushahidi wa kina na mwenyekiti anaufyata.
9. Mwenyekiti anagundua kumbe Kibao alitoa siri.
10. Mwenyekiti anamrudia Abdul na kumweleza alichofanya Kibao, na Abdul anamwambia mama, na mama anamwambia mkuu wa ''wasiojulikana'' na ''wasiojulikana'' wanatumwa kufanya waliyofanya.
11. Wakati wa mazishi ya Kibao, familia inakuja juu lakini mwenyekiti anaingilia kati kinafiki na kusema wawe na adabu.
Ugomvi wa chadema ccm ihangaike kupeleka mtu mahakamani ili iwejeUkitaka alete ushahidi mpeleke mahakamani atauleta huko. Sisiemu si mna mahakama na vyombo vyote vya dola?
Feast not FistMmeanza kujulikana. Kuna ile hadithi inaitwa Fist in the sky ambapo ilipaswa kuhusisha ndege tu. Kobe akajibandika mabawa na gundi akaenda alipovimbiwa msosi wamoto mbawa zikaanza kuteyuka na kuanguka chini kwa aibu kumbe hakuwa ndege
Pesa za Abdul na Mama yake zimewatoa ufahamu kabisa, ngoja tuoneUtaongea mengi kama Chiriku!
Muhimu TAL jifunze,kufunga mdomo!
Huo mdomo utakuponza na ndio ulio kuponza kule Dodoma.
Kama umeonewa nenda mahakamani, kwanini mlipokea pesa za Abdul na Mama yake? Yaani mle pesa gizani mambo yakifichuka mnaleta vitisho?Ugomvi wa chadema ccm ihangaike kupeleka mtu mahakamani ili iweje
Unasahau akili zetu zilivyo ndogo.sisi tunapenda sana kusikiliza umbea na majungu ata kama sio ya kweli.Tunafanya mambo kishabiki.Ushahidi wa yeye binafsi kutaka kuhongwa hajatoa.
Ndiyo aweze kutoa ushahidi wa wengine?
Watu ni wajinga sana
Kuna jambo gani Lissu ameshawahi kulitolea ushahidi hata tukianzia alipogombea urais?
Hata hii itakuwa ni fix fix tu, nayo itapita. Nachowaza amenusa hali mbaya kwake hivyo anajaribu kuegesha kila maneno ili aendelee kuwa salama.
Wamalize tu uchaguzi wao, tujue nan ni nan na nani anahamia wapi ama anstaafu siasa.
Mbowe akibanwa vizuri atasema tuKWANINI IWE SASA...
KWANINI ASISEME KABLA..
Sasa ushasema mi ni ccm nakulaje hela za Abdala?Kama umeonewa nenda mahakamani, kwanini mlipokea pesa za Abdul na Mama yake? Yaani mle pesa gizani mambo yakifichuka mnaleta vitisho?
Mh Mohamed MtoiWakati wa kutapika asisahau na Ile ajali iliyomuondoa Ndugu yetu Kamanda Wa Tanga jina limenitoka... alikuwa mbioni kugombea ubunge huko huko Tanga.
Fala ni mama yako aliyekuzaa ukiwa nyumbu. Muuane wenyewe halafu mmsingizie Rais wetu mpendwa Magufuli. Sasa mmeanza kutoa siri zenu nyumbu nyinyi.Magufuli ndiye aliyeamuru Lissu kupigwa risasi. Na ndiye aliyeamuru Ben Saanane auawe. Wacha ufala.
Nyumbu mwaka huu watatoana macho maana hawaaminiani na wanavingundi wa utekaji na chakushangaza walimsagia kunguni sana JPM!Fala ni mama yako aliyekuzaa ukiwa nyumbu. Muuane wenyewe halafu mmsingizie Rais wetu mpendwa Magufuli. Sasa mmeanza kutoa siri zenu nyumbu nyinyi.