Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

evidence, evidence, evidence...... anatoa revelations tu bila ushahidi.. kama akina Mbowe wangelikuwa kama yeye, wangelibwatuka tu na kumvika uongo kama anavyofanya yeye........

Fine sasa anashindwa nini kumuondoa Samia madarakani, kinamzuia nini ambacho atakipata kwenye uenyekiti?
Hivi ni kwanini mlichukua pesa za Abdul na Mama yake? Upepo umeanza kupuliza nyeti za kuku sasa.
 
Kuna jambo gani Lissu ameshawahi kulitolea ushahidi hata tukianzia alipogombea urais?

Hata hii itakuwa ni fix fix tu, nayo itapita. Nachowaza amenusa hali mbaya kwake hivyo anajaribu kuegesha kila maneno ili aendelee kuwa salama.

Wamalize tu uchaguzi wao, tujue nan ni nan na nani anahamia wapi ama anstaafu siasa.
 
Mkuu, Kibao alikuwa ni mtu wa karibu sana wa Mbowe. Na alikuwa anajua mengi.

Tutafakari:
1. Mwenyekiti anafuatwa gerezani na ''watu wasiojulikana'' na kufanya mazungumzo ya kina.

2. Anatolewa gerezani na kwenda kwa mama moja kwa moja na wafanya mazungumzo ya faragha wao wawili tu.

3. Abdul na makapu yake yaliyojaa fedha anamtembelea mwenyekiti na baadhi ya viongozi wa chama na anaondoka makapu yakiwa tupu.

3. Mwenyekiti anaambiwa amuunganishe Abdul na Lissu ili naye apate mgao wake na anamteua Wenjele kufanya hiyo kazi.

4. Wenjele na Abdul wanakwenda na makapu yao yaliyojaa fedha kwa Lissu lakini Lissu anayakataa.

5. Lissu anafanya uchunguzi mkali na wa siri na mzee Kibao anampa details zote.

6. Lissu anaanika hadharani kuhusu makapu ya fedha.

7. Mwenyekiti anaitisha kikao ili amwadhibu Lissu

8. Lissu anatoa ushahidi wa kina na mwenyekiti anaufyata.

9. Mwenyekiti anagundua kumbe Kibao alitoa siri.

10. Mwenyekiti anamrudia Abdul na kumweleza alichofanya Kibao, na Abdul anamwambia mama, na mama anamwambia mkuu wa ''wasiojulikana'' na ''wasiojulikana'' wanatumwa kufanya waliyofanya.

11. Wakati wa mazishi ya Kibao, familia inakuja juu lakini mwenyekiti anaingilia kati kinafiki na kusema wawe na adabu.
Aisee
 
Lisu ameshatoa Ushaidi mara nyingi sana. Amejitokeza Wenje kubwabwaja eti walienda kwake kufuatilia document ili alipwe na Serikali. Kitu gani hiki Jamani!

Mtoto wa Rais anahusikaje na malipo ya serikali? Ni Kikao gani Serikalini mtu anaingia na Cheo Cha mtoto wa Rais.

Hii issue ni aibu sana kwa Chadema na Serikali ya awamu ya sita inayosifiwa na Mbowe!
Viongozi wandamiz wa Chama Kinachopewa matumaini ya kushika dola wanageuka kuwa madalali wa Kuhonga watu
Kuna jambo gani Lissu ameshawahi kulitolea ushahidi hata tukianzia alipogombea urais?

Hata hii itakuwa ni fix fix tu, nayo itapita. Nachowaza amenusa hali mbaya kwake hivyo anajaribu kuegesha kila maneno ili aendelee kuwa salama.

Wamalize tu uchaguzi wao, tujue nan ni nan na nani anahamia wapi ama anstaafu siasa.
 
Back
Top Bottom