Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

You've missed the point.

Uhusika wa wapinzani ni tuhuma za kushirikiana na system/dola/CCM/serikali kuteka, kutesa na kuua. Dola ndio wenye vyombo na mfumo wa utekelezaji. Kisha kuzuia uchunguzi na kupoteza ushahidi. Hakuna chama cha upinzani kinachoweza kufanya utekaji na mauaji nchi hii kikabaki salama mbele ya serikali na vyombo vya dola.
 
CHADEMA wasikieni tu kwa uchafu, watu wanakifuata hiki chama sababu tu wanaichukia CCM. Wapenda rushwa, wazushi, wakabila, wajivuni, wana chuki na mengine mengi. If they are real serious ni wakati wa kumpa uenyekiti Lissu tuone kama watarudi kwenye misingi ya awali iliyo kijenga chama.
 
Huwezi jua Yaliyofichikana Huwenda Kuna Ushirikiano na Benefit fulani mutual Benefit ys Pande mbili
 
Hayupo kwenye system na hataweza kuwepo ni wale wa unampa laki 5 akusifie mtandaoni au asikuandike vibaya ndio maaisha ya vijana mtandaoni huko Twitter (x)
Hahaha, kuna mtu aliwahi kunipigia simu kimakosa akidhani mimi ni Yericko Nyerere, alinitukana sana. Maelezo yake alisema alimtumia Yericko hela ili amtumie vitabu (kama nakumbuka vizuri) lakini miezi sita ikapita bila jamaa kupata mzigo wake.
 
Ukishaona mtu anakomaa na marehemu jua kwamba ameshindwa kutimiza wajibu wake. Kwa jamii zilizo staarabika mtu hawezi thubutu kutupa lawama kwa marehemu kwa matatizo ya wakati huo. Ni upumbavu wa hali ya juu watu kuendelea kumsingizia Magufuli kwa mambo mabaya yanayo endelea hivi sasa hapa nchini.
 
Aisee. Hard to believe.

CHADEMA has hit the bottom this time.

That Mbowe could fall from grace this hard i.e. from archangel to devil incarnate?

Anyway, naendelea kusoma. Wanasema ukweli hupanda ngazi.

Ikithibitika, basi nitaamini Mbowe ni "genius" wa aina yake. Mtu pekee aliyeweza kujenga chama makini cha upinzani kinachotikisa nchi nzima tangu mfumo wa vyama vingi vya siasa uanzishwe nchini. Akaweza kutuaminisha wataka mageuzi wengi kuwa yeye na chama chake wamedhamiria kabisa 100% kupambania mageuzi nchini kwa miaka yote hii (>20). Never did we doubt CHADEMA.

HALAFU mtu huyo leo ijulikane kuwa alikuwa akikitumia chama hicho hicho kama mkakati wake wa kujiweka vyema zaidi na utawala hatari wa CCM ili kupata manufaa (yasiyoeleweka) hata kwa kuuza damu za makada wa chama chake? Such ruthlessness? LAZIMA atakuwa mtu muovu kweli kweli. inahitaji akili kubwa sana, subira ndefu sana, na roho mbaya sana kwa binadamu wenzako kuwa na mkakati wa aina hiyo: AN EVIL GENIUS.

Bado siamini. NASUBIRI ukweli.
 
Tuliwahi kuhoji tukatukanwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…