Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu

Aisee kumbe Mzee Kibao aliuawa na ndugu kengeza aka mr zero mbowe hahahaha aisee yajayo yanafurahisha. Na aliyehusika kutaka kumuua lisu ni huyo huyo mbowe na mbowe huyo huyo anaongoza genge la magaidi la kuteka na kuua. Hahaha Dkt Magufuli alale unono kwa Amani huku wenyewe wameanza kuumbuana
 
Wala Rushwa ukitoa siri zao wanaku-R.I.P
●Nchi kama South America kwenye Ma-Gang.
 
Umeanza kumjua Lissu kipindi cha Magufuli?

Angekwepo Marehemu Mkapa angekuambia Lissu ni nani.

Kikwete aliwahi kutamka ni heri wakose Urais kuliko Lissu kuingia bungeni.

Source : Trust Me Bro Hutaki Acha.
Nimemfahamu akiwa sekondari, naifahamu family yake na Mengine tu ya kwake

Na kuna wakati in the 90s tulidhihakiwa tunambeba

I wish ungejua huku jf watu sio wepesi ila wanaenda na flow

Btw, JJ was right…. Dogo ni mental health
 
Kalamu,

Huoni kwamba anatumia weledi wake kisheria kutuhadaa?

Ikiwa shahidi muhimu ni marehemu, awezaje itwa court kushuhudia iwapo Lissu amepandiahwa kizimbani?
"Anatumia weledi wake kisheria kutuhadaa?" Kwa nini atuhadae. Yeye anafaidika vipi na huko kuhadaa?

Sasa Lissu ni kipi kinacho mpa faida katika kusema haya. Na kama unavyo sema wewe, hao wanao shutumiwa wakiamua kwenda mahakamani kumshtaki Lissu; wewe unadhani Lissu atapata kinga kwa vile mashahidi aliye tajwa sasa ni marehemu? Mbona hali ndio itakapo muwia ngumu zaidi?
 
Ningelipenda 'TALL' amwage ugali kabisa ili kila raia amege matonge kwa kadri anavyotaka.

Aina hii ya ulishi wa kutulisha matonge kidogo kidogo huku akipulizia, hatuwezi kushiba haraka.

Tuna njaa sana sisi bhana.
Nikukumbushe tu hatari ya ulafi. Unasakamia matonge makubwa, harakaharaka yanakukwama kooni. Sasa niambie faida utakayo pata hapo.
 

Mbona mengi yana muonekano wa hisia na siyo tangible statements?
 
Psychopath...
 
Una ushahidi wa haya madai??
 
Mwamba GT hupo?
 
Ahsante mkuu, 'macho_mdiliko' kwa 'summary' hii yenye mtiririko mzuri unao eleweka kirahisi kabisa.

Sasa sijui kama uchunguzi wa tukio hilo utatolewa tena haraka kama ilivyo agizwa!
Hiyo "haraka" sijui ni mpaka lini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…