Tundu Lissu: Aliyenipa ushahidi wa pesa za Abdul na mama yake kwa sasa ni marehemu


Mkuu Erythrocyte njoo huku kuna hoja nzito sana.
 
💯%.

Leo hii wameanza kuchenjiana wao kwa wao huku wengine wakidondosha vidokezo kuwa Mbowe anahusika moja kwa moja na baadhi ya matukio.

Ipo siku watamuomba radhi Magufuli na Pengine hata kumpigia kampeni kwa Papa ili apate utakatifu.
Magu alishirikiana na adui wa ndani. haya mauaji na utekaji ni kolabo. ni wapi huelewi!?
 
Nimemfahamu akiwa sekondari, naifahamu family yake na Mengine tu ya kwake

Na kuna wakati in the 90s tulidhihakiwa tunambeba

I wish ungejua huku jf watu sio wepesi ila wanaenda na flow

Btw, JJ was right…. Dogo ni mental health
Mental case....
 
Inaonekana yaliyoko gizani yanayofanywa na mwenyekiti yanatisha shana ndiyo maana anatumia nguvu zote pamoja na nguvu za ccm ili kubaki madarakani. Siku TLisu akipasua jipu mwenyekiti tutampiga mawe.
 
Inaonekana yaliyoko gizani yanayofanywa na mwenyekiti yanatisha shana ndiyo maana anatumia nguvu zote pamoja na nguvu za ccm ili kubaki madarakani. Siku TLisu akipasua jipu mwenyekiti tutampiga mawe.
Mbowe aliye toka gerezani alikuwa ni Mbowe tofauti na yule wa CHADEMA enzi za Slaa. Tokea hapo Mbowe amekuwa kwenye mteremko wa kukigeuza chama kuwa sehemu ya kufanyia biashara zake.
 
Uzuri wa Lissu ni msema ukweli tofauti na wewe mpotoshaji..

Yaliyofanywa na Magufuli amemtaja wazi Magufuli na Makonda na genge lake.

Yanayofanywa na Samia anamtaja wazi Samia na mwanae Abdul na hao akina Mbowe..

Utakayoyafanya wewe pia atakutaja waziwazi

Kwa hiyo acha kujichekeza kama kenge hapa
 
Lissu naye ni muongo muongo tu.

Hana utakatifu wowote ule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…