Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia

Aweke hata kaushaidi hapa
 
Kama ni Bila ushahidi Makonda angeenda Mahakaman akashitaki anachafuliwa jina lake kwanini haendi na hio issue ya kumsema Makonda sio Leo.
Kuna watu hata akijinyea atasema chakula kimemdondokea!ndio kama huyu punguani walikuwepo,wapo,Watakuwepo hadi kiama!
 
Ameongea kama mwanasheria au Mwanasiasa? 🐼
 
Things fall apart
 
Chadema hua wanawasema wahusika ili kuirahisishia Serikali pa kuanzia ila Cha kushangaza Serikali hua inaogopa.
Issue ya Mafwele si ametajwa ila mumeona ameshikiliwa?

Kuna story Moja Mwalimu wangu aslikua anaisema sana wakat anatufundisha Somo la Legal Ethics Mwaka wa 4 alikua anasema Kuna Mfalme alimfukuza Make wake na wakaachana nae kabisa kisa Ilikua Scandal ya kua anatoka na mfanayakazi wa Mfalme..

Japo kua Mfalme alijidhihirisha kua ilikua ni scandal tu hakuepo ukweli ila Mfalame alifikia huo uamzi na kumwambia Make wake umedharirisha kitu Cha Malkiq Kwa status uliyonayo haikustahili hata kusingiziwa kitu kama hicho.

Hilo ni Doa watu walitakiwa kukuheshimu sana.

So the same hata Kwa Hawa baadhi ya viongozi wangekua wanatolewa madarakan Kwa sababu hio sio sifa nzuri Kwa kiongozi wa Umma.

Mafwele,Makonda and all others walitakiwa wasiwepo ofisin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…