Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia

Wamechokoza nyigu.. Sasa wasubiri kuvimbishwa sura
 
Watu sasa wanatajwa waziwazi .. Kuna yule wa mayele
 
Maa
Maandamono ya juzi yamewashtua haswa aisee
 
Huyu mzee anazeeka vibaya sasa mbona alishasema several times!! Mimi nilitegemea aongelee maandamano yao ya Jumatatu yaliyofeli.
 
Huyo Makonda anaonekana ni Mhalifu sugu, sijui ni kwa nini mtu huyu anaendelea kuteuliwa kushika nyadhifa kubwa hapa nchini?
 
Awataje kwa majina hao Watu waliompiga risasi ili tuwajue, asifiche utambulisho wao.
Ingekuwa Kenya angewataja, lakini Tanzania ni bure kabisa, akiwataja mtawafanya nini? Makonda huyo hapo anajulikana kabla hata hajamtaja leo lakini kila siku mnamfungulia nyuzi za kumsifu na kumuabudu, imefika mahala mnatamani eti awe rais wenu!!
 

Hata kama ulikuwa unalipa fadhila kwa Makonda baada ya kutaja jina lako pale Dodoma kwenye Bunge Maalum la Katiba, sasa inatosha.

Picha linakuja likimuonyesha moja kwa moja kuwa ni mhusika wa mashambulizi dhidi ya Lissu pale Dodoma mnamo Sep 7, 2017
 
Issue kama hizo zinahitaji ushahid usio shaka not otherwise.
 
Huyo Makonda anaonekana ni Mhalifu sugu, sijui ni kwa nini mtu huyu anaendelea kuteuliwa kushika nyadhifa kubwa hapa nchini?
Ukiwa CCM hakuna hata baya moja litakalo onekana kwako au kwa jamii ni baya ,hiyo ndiyo slogan ya CCM KULINDANA KWENYE UHALIFU, ndiyo maana gari ya mbunge imebeba wahamihaji haramu imegeuzwa

Na nchi hii haiwezi kwenda mbele kama tukiendelea kubaki na aina hii ya viongozi ndani ya chama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…