Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia

Tundu Lissu: Aliyeongoza Kikosi cha wauaji walioagizwa kuniua ni Paul Makonda, ndio maana Marekani ilimzuia

uzuri bado jeshi la polisi linaendelea na kazi yake na ukweli utajulikana
 
Makonda sehemu anapostahili kuwa ni gerezani akisubiria utekelezaji wa hukumu ya kunyongwa hadi afe.
Kama Mungu alivyomuumbua Magufuli aliyesema matajiri wataishi kama maskini, na kwamba Dar wataishi wanaume wa kweli na wengine watarudi mikoani ndani ya miezi 6 alipoapishwa. Hatimaye akasepeshwa yeye mwaka 2021. Basi naye Makonda iko siku yake ya aibishwa kama Magufuli
 
Kama Mungu alivyomuumbua Magufuli aliyesema matajiri wataishi kama maskini, na kwamba Dar wataishi wanaume wa kweli na wengine watarudi mikoani ndani ya miezi 6 alipoapishwa. Hatimaye akasepeshwa yeye mwaka 2021. Basi naye Makonda iko siku yake ya aibishwa kama Magufuli
Na siku hiyo haiko mbali sana,kamwe Mungu hadhihakiwi.
 
Heshima sana wanajamvi.

Mheshimiwa Lissu amekuwa akitoa tuhuma nzito za ushiriki wa Mheshimiwa Makonda katika lile shambulizi la Dodoma.

Mpaka hivi majuzi nilikuwa nikiamini kabisa tuhuma za Mheshimiwa Lissu dhidi ya Mheshimiwa Makonda.

Nilikuwa nikimshangaa sana Rais Samia kumteua Mheshimiwa Makonda katika nafasi mbali mbali.Sasa naanza kupata mwanga kwa mbali uenda tuhuma hizo ni propaganda za Lissu.

Sikatai moja kwa moja kwamba alihusika lakini pia sikubali moja kwa moja kwamba hakuhusika.

Ngongo kwasasa Kizimkazi.
 
Walihusika Ufipa st

Hata Meddy Kibao yawezekana ni inside Job 🐼

Nafasi ya mgombea Urais Kwa Chadema ni biashara sasa kama Meddy alimuunga mkono Lisu, aiseee alidhani Ufipa ni CCM
 
Makonda alikuwa wapi siku ripoti ya Makinikia inasomwa??
Hili swali halijawahi kujibiwa vizuri.
 
Heshima sana wanajamvi.

Mheshimiwa Lissu amekuwa akitoa tuhuma nzito za ushiriki wa Mheshimiwa Makonda katika lile shambulizi la Dodoma.

Mpaka hivi majuzi nilikuwa nikiamini kabisa tuhuma za Mheshimiwa Lissu dhidi ya Mheshimiwa Makonda.

Nilikuwa nikimshangaa sana Rais Samia kumteua Mheshimiwa Makonda katika nafasi mbali mbali.Sasa naanza kupata mwanga kwa mbali uenda tuhuma hizo ni propaganda za Lissu.

Sikatai moja kwa moja kwamba alihusika lakini pia sikubali moja kwa moja kwamba hakuhusika.

Ngongo kwasasa Kizimkazi.

Kwa hiyo Lissu alihusika pia kumpiga ban kwenda duniani sio? Kwamba lile lieagle la kimarekani halioni siku hizi au lishakua goigoi kama tiisu?
 
Walihusika Ufipa st
Tabia za Lissu za kutoa tuhuma dhidi ya mahasimu wake kwa faida za kisiasa zimekuwa sehemu ya utaratibu wake.

Aliwahi kudai eti zimekutwa fedha nyingi nyumbani kwa Late Magufuli.Akiambiwa leo kama ana ushahidi atabaki kukodoa macho.
 
Heshima sana wanajamvi.

Mheshimiwa Lissu amekuwa akitoa tuhuma nzito za ushiriki wa Mheshimiwa Makonda katika lile shambulizi la Dodoma.

Mpaka hivi majuzi nilikuwa nikiamini kabisa tuhuma za Mheshimiwa Lissu dhidi ya Mheshimiwa Makonda.

Nilikuwa nikimshangaa sana Rais Samia kumteua Mheshimiwa Makonda katika nafasi mbali mbali.Sasa naanza kupata mwanga kwa mbali uenda tuhuma hizo ni propaganda za Lissu.

Sikatai moja kwa moja kwamba alihusika lakini pia sikubali moja kwa moja kwamba hakuhusika.

Ngongo kwasasa Kizimkazi.
Safari ndefu sanaaa......
 
Tabia za Lissu za kutoa tuhuma dhidi ya mahasimu wake kwa faida za kisiasa zimekuwa sehemu ya utaratibu wake.

Aliwahi kudai eti zimekutwa fedha nyingi nyumbani kwa Late Magufuli.Akiambiwa leo kama ana ushahidi atabaki kukodoa macho.
Lile Shambulioo ni inside Job kama ajali ya Chacha 🐼
 
Makonda alikuwa wapi siku ripoti ya Makinikia inasomwa??
Hili swali halijawahi kujibiwa vizuri.
Sijui lakini nimeweka angalizo sina uhakika 100% na hizo tuhuma.

Labda niweke hivi 50% - 50% yaweza kuwa kweli au si kweli.
 
Sijui lakini nimeweka angalizo sina uhakika 100% na hizo tuhuma.

Labda niweke hivi 50% - 50% yaweza kuwa kweli au si kweli.
Ila unakubali ulikuwa mpango wa watu ndani ya "system" ?
 
Back
Top Bottom