Tundu Lissu ameongea na Radio Citizen Kenya asubuhi ya leo, ameleezea hali ya usalama nchini pamoja na suala la Corona


Wakenya walimsaidia sana Lissu, ana haki ya kuipenda nchi hiyo
 
Nasikia wakenya watapiga Kura Tanzania Oktoba 28, 2020!

Kuna watu wanapenda umbea au ndio lisemwalo lipooo?
 
Pamoja na vyombo vyote kuegemea ccm lkn wananchi watz hawa wameikataa ccm.....

Mimi nashangaa ina maana uchumi wa kati upo kwenye koo za viongozi wa ccm? Maana malofa hawauoni kabisaaa
 
Unajua wakenya wamemsaidiaje huyu Nabii yetu........Wkt serikali yenu inataka afe wakenya walijitolea kwa hali na mali.

Alafu vyombo vyenu takataka mbona haviripoti matukio ya chadema???....
CHADEMA wanatakiwa kupeleka malalamiko rasmi tume ya uchaguzi na MCT kwa vyombo vya habari kugoma kutangaza matukio ya CHADEMA.
 
Naunga hoja yako mkono, na ikimpendeza atwambie kwa mfano walau matusi mawili ambayo Lisu na Membe wametukana toka waanze michakato ya uteuzi katika vyama vyao mpaka uchukuaji fomu tume ya Taifa ya uchaguzi.
 
Ni vizuri nchi jirani tushirikiane nazo kumuondoa nduli wetu huyu mpiga makelele.....

Rais Tundu Lissu Rais
 
Yaani mie huyu simuelewi kabisa, hivi wapiga kula wake wako kenya?, Watanzania wangapi wana access na hizo radio za kenya!
Wewe kiazi.. sasa Kama Tz jiwe amezuia matangazo yote afanye nini?

Hata wanao ukiwanyima chakula wanaenda kula kwa jirani
 
Yaani mie huyu simuelewi kabisa, hivi wapiga kula wake wako kenya?, Watanzania wangapi wana access na hizo radio za kenya!
Unadhani Tanzania kapewa access akakataa ? Ukiona hivyo ujue vyomba vyetu vya habari vina UKAKASI
 
Ni kweli.. kwa issue ya korona amuunge mkono jiwe tuu
 
Yaani mie huyu simuelewi kabisa, hivi wapiga kula wake wako kenya?, Watanzania wangapi wana access na hizo radio za kenya!
Citizen inasikika Tanzania. Waache platform maana vyombo vya habari vya Tanzania hawataki kumpa muda wa kuongea tutasikiliza nyie mumetupa kama mfupa wapo wanaokota
 
Propaganda za kichina zimepitwa na wakati. Hutudanganyiki munakataaa asihojiwe na vyombo vya serikali vya chama chenu na binafsi wacha atumie vya jirani tutamsikiliza
 
Kama kanuni za uchaguzi zinazuia kutukanana .......... Mbona Lowassa alitukanwa sana 2015 na hatukusikia mtu alilalamika kuwa kanuni zinavunjwa!!
 
Go Go Lissu Go Go......Sisi tutakusikiliza kwa njia yoyote unayotaka kuongea na watz na dunia ww
 
Ukweli ni kuwa hii ni aibu kubwa kwa vyombo vya habari vya hapa nyumbani,
Hivi inawezekanaje akili zao wote zikashikiwa sehemu moja?
 
Hivi Lisu anataka urais wa tz au Kenya?

Maana ukiangalia hata katika hotuba zake zote hakuna inayoisha bila kutaja Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…