Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Lissu awe makini sana kutumia Media za Kenya maana tayari Tanzania na Kenya hatuko na maelewano mazuri.
Ningemshauri atumie Radio ujerumani na BBC hizi ni radio Neutral na zinaushawishi nchini.
Hiki kitengo cha propaganda cha CHADEMA siku hizi kimejaa vilaza watupu.
Fame aliyoijenga Lissu kwa miaka kumi anaweza kuiharibu kwa media talk ya nusu saa tu.
Sijui nani anamshauri kutumia media za Kenya
Cc.CHADEMA
Wakenya walimsaidia sana Lissu, ana haki ya kuipenda nchi hiyo