Kingdeeper
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 262
- 161
Lisu achekiii na mujingaaaa ukileta pasi mbaya anakupa pasi nzuri....kama mabingwa wa wanchiii kwenye siasa na uongozi maguu hamuwezi lissu ata kidogo siku zote uwezo huwezii kuushindaa....*****
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afu eti anataka Uraisi, TL hajapona bado anahitaji mshauri nasihi sio bureMwambieni Msajili wa Vyama vya Siasa akasome Sheria ya Nembo za Taifa ya 1971 ili ajiridhishe kama Wimbo wa Taifa ni mojawapo ya Nembo za Taifa zinazolindwa kisheria kabla hajatoa vitisho vya bure kama hivi. Ataje Sheria iliyovunjwa, kama ipo, kabla hajatoa kauli za aina hii. - Tundu Lissu
Msiye mtaka kaingia,Ni mda mrefu ilisha semwa kuwa wimbo wa Taifa upoupo Sasa mkiambiwa mnasema mna kiherehere.mtajiju.ebuHuyo Lissu naye apunguze kiherehere...
Umeambiwa onesha hiyo Sheria iliyovunjwa??Kama kuna Sheria imevunjwa. Wawajibishwe.
...and this is the time to seek the attention of the masses!More like attention seeking...
Na ikitokea akashinda URAIS Basi Tanzania tutakuwa na Rais wa AJABU haijapata tokea!Huyo Lissu naye apunguze kiherehere...
Hahah hakika mkuu na sijui kama zitajirudia siku za karibuni.Enzi hizo maisha yalikua safi
Sasa huyo Lissu si angempuuza tu huyo jaji...
Lissu naye kama Trump tu.
Anamzidi kiburi bwn yule?Vitu vingine ni kutumia akili tu unajiongeza, lisu kiburi kitamfikishaga pabaya
Hebu nionyeshe hizo barabara za rangi nikapige picha?Yaani kwa akili yako unaona hakuna maendeleo yaliyofanyika? We ni mtu wa ajabu sana. Hivi unafahamu wkt tunapata uhuru kulikuwa na barabara ngapi za rangi??
Ndio mwanasheria wa chama ulitaka nani ajibu?Huyo Lissu naye apunguze kiherehere...
Nini hasa kinachowafanya wamerekani weusi kupiga goti moja wakati wa wimbo wa taifa wa wamerekani? Ubaguzi kama ilivyo marekeni pia haukubaliki Tanzania.Mi ndo maana nasema upinzani Tanzania kutawala bado Sana,Sasa kilichofanya waongeze ubeti ni nini hasa,?Mi Sina mzuka na CCM lakini uropokaji na kiherehere Cha upinzani kinaboa na vinawaponza kila siku hawakomi.Hadi wanaonekana kama wahuni tuu.
Kamuulize mwenyewe . Sisi inatuhusu nini? Biashara yako na Mange huko hukoMange ndo kasema hivyo?
Naam, umenenaAkikaa kimya CCM watasema ni kweli Kwamba alivunja sheria kumbe uongo
Mbona tayari tunaye?Na ikitokea akashinda URAIS Basi Tanzania tutakuwa na Rais wa AJABU haijapata tokea!