Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Membe hawezi waunga mkono nyie. Atamuunga jpm
Kwa hiyo mgimbea wa chadema hatakuwepo kwenye form ya uchaguzi huko zanzibar?
Hakuna kama Tundu Lissu mkuuHakika Lissu amekonga nyoyo za Wazanzibari Leo na sidhani kama kuna kiongozi wa kutoka Bara kesha wahi kufanya hivyo tokea muungano UA sisiwe...
Ni kweli. Na ukimsikiliza alivyoongea Zenji kamaanisha hivyo vyeo sio muhimu kwa sasa Bali muhimu ni kuifurumusha CCM Kwanza.Akitoa kauli hadharani na kisha kuandamana na Lissu kwenye kampeni za Lissu itapendeza zaidi.
Ndio mana ninaamini uchaguzi huu ni mwepesi sana
yule mgombea wa chadema urais wa zanzibar mtamwambia nini?...
Hiyo inaonyesha ubinafsi maana Chadema waliweka mgombea huko Zenji. Huko ni kufilisika kimawazo.
Kwanini mlimweka? Ham a itikadi nyie!!!!! TL huwa ni mchumia tumbo tuCdm Zanzibar haina wafuasi. Mpinzani mwenye wafuasi Zanzibar ni Seif bila kujali yuko chama gani. Membe hana ushawishi popote sio Zanzibar au bara.
Kwanini mlimweka? Ham a itikadi nyie!!!!! TL huwa ni mchumia tumbo tu
Hakuenguliwa huyu na NEC?
nae mgonbea wa chadema atamnadi Membe
hivi vyama ni vya kihuni,watu wao wakimuunga mkono magufuli,wanawaambia wamenunuliwa
Ndugu zangu,
Baada ya kuusoma upepo Zanzibar Lissu abadili gia angani badala ya kumnadi mgombea urais wa CHADEMA amemnadi Maalim Seif.
Muda unatoa majibu sasa.
Hapa Lissu kagonga penyewe.Hakika Lissu amekonga nyoyo za Wazanzibari Leo na sidhani kama kuna kiongozi wa kutoka Bara kesha wahi kufanya hivyo tokea muungano UA sisiwe...
Dadaa hatujakuelewa unasemaje?Nazani sasa mnaelewa mgogoro wa kidiplomasia na nchi flani ... sio vijimambo vya CORONA mwee!
Lisu aliponea kule. Mpo ?