Sawa mbona mrema cheyo mbatia wamnadi mgombea wa ccmNdugu zangu,
Baada ya kuusoma upepo Zanzibar Lissu abadili gia angani badala ya kumnadi mgombea urais wa CHADEMA amemnadi Maalim Seif.
Muda unatoa majibu sasa.
Juzi magufuli alimnadi ezekia wenje kule rorya