Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amuunga mkono Maalim Seif Urais Zanzibar

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu amuunga mkono Maalim Seif Urais Zanzibar

Huwezi kuweka sera zako bila kipaumbele za kwanza cha kumtoa mpinzani wako mwenye ufedhuli mwingi kutumia
Hao viongozi wa upinzani wana uhalali gani wa kuiondoa CCM madarakani kama wameweza kufisadi mabilioni ya ruzuku, jasho la WaTz? Huo ndio ufedhuli uliokubuhu wa kisiasa.

Kipaumbele cha kwanza wawaombe walipa kodi na wasafishe nyumba yao.
 
😂😂😂😀 CCM mnalo mwaka huu. Lazima mjue hamjui mwaka huu, dadeki, huyo ndo Tundu Lissu akili kubwa!
Akili kubwa itajulikana October 28, na hapo ndio tutakubaliana kukubaliana au tutakubaliana kutokukubaliana.
Tuombeane uzima tuu
 
Hao viongozi wa upinzani wana uhalali gani wa kuiondoa CCM madarakani kama wameweza kufisadi mabilioni ya ruzuku, jasho la WaTz? Huo ndio ufedhuli uliokubuhu wa kisiasa.

Kipaumbele cha kwanza wawaombe walipa kodi na wasafishe nyumba yao.
Nani kafisadi nini??? Kesi imefunguliwa wapi na katiwa hatiani na mahakama ipi???
 
Huu ni ulaghai wa kisiasa tu. Hili hata mtoto wa chekechea analijua kwamba Chadema Zanzibar hawana ushawishi wowote ule. Hawawezi kupata kura hata asilimia 1, kwahiyo suala la wao kumuunga mkono Maalim Seif hawapotezi chochote kile. Ni tofauti sana na ACT huku Bara, kuna maeneo wanakubalika, hivyo kumuunga mkono Lissu bila mkakati wowote ni kama wao watapoteza zaidi...
Saccos ni ccm yenye makao makuu yake chatou

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi akili zako zipo sawa? Naongelea ushindi wa JPM wewe unaleta mambo ya mpuuzi mwenzio Bashite! Don’t you know, to me Bashite is an idiot. Boy grow up
Leo hii unamnanga bosi wenu mkubwa? Baada ya kukosa kazi sasa hivi uvccm mna mkataa bossi wenu? Hasa wewe uliye kuwa unamsujudia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao viongozi wa upinzani wana uhalali gani wa kuiondoa CCM madarakani kama wameweza kufisadi mabilioni ya ruzuku, jasho la WaTz? Huo ndio ufedhuli uliokubuhu wa kisiasa.

Kipaumbele cha kwanza wawaombe walipa kodi na wasafishe nyumba yao.
Wamedisadi wapi na lini? Na kwanini hawajapelekwa mahakamani?
 
Ndio mana ninaamini uchaguzi huu ni mwepesi sana. Yule mgombea wa Chadema urais wa zanzibar mtamwambia nini?
Kama mliyajua hayo kwanini mliacha mchakato uendelee?

Tusubiri mgombea wa Chadema atakaposema wanaChadema Zanzibar wampigie membe kura za ndiyo.
Kwanini asiwaambie wampigie jiwe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe hata wewe umeona kuwa jiwe hafai
 
Back
Top Bottom