Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

Hebu jaribu kunusurika kuuawa, halafu tuone utampenda kiasi gani muuaji wako
 
At least wewe ungefunga mjadala tofauti na watetezi kuwa hajachemka! Bavicha siku hizi na Lumumba fc tofauti ni kama hakuna ...
 
Lissu hafai kabisa.
Na kwenye huu msiba amedhihirisha hilo.Hawezi Kuwa Rais Milele ZOTE ....unafurahia msiba wa Mtu hata kama una chuki nae kwanini uendelee kumzushia muache tu..
Sukuma Gang Bana...
 
Hello Sir Ngabu!
Sijasoma comments zote za wadau lakini kwa chache nilizopitia ninachokiona hapa ni Ushabiki usio na mantiki unaoletwa na wadau wanaompenda na kumwamini sana Tundu Lisu,Ukweli unabaki palepale Umejenga hoja nzuri sana kuhusu Mahojiano ya Shaka Ssali na Tundu Lisu.

Nilichokiona ni Uzushi mtupu wa Bwana Tundu Lisu - kwa sababu huyu ndugu yetu alikuwa anamchukia sana Marehemu na kumtuhumu mambo mengi mno.

Mlinzi wa Rais Kwa Unasibu wake - Mweusi anasimama nyuma ya Rais na wala sio ADC (The military man kama alivyosema).Labda anamuongelea mlinzi mwingine wa Rais ambaye husimama nyuma ya Rais na haonekani.

Wote tulioshuhudia msiba kupitia vyombo vya Habari, wote ambao Tundu amewagusia, wanaosimama nyuma ya Rais walikuwepo Msibani mpaka kwenye mazishi Chato,labda alikufa baada ya Mazishi - halafu na sisi tumuamini Tundu Lisu ambaye alihudhuria Msiba wa Bw. Wilfred Mwango akiwa Ubeleji.???

Hoja ingine ni Kwamba Hayati Magufuli alikufa kwa Covid - 19 huo pia ni uzushi wenye lengo la kuwafurahisha ma sponsor wake.
Hakuna Uthibitisho huo,Anaongea utadhani sio mwanasheria asiee. - Hana ushahidi kabisa.

Yes najua wote tuna m-sympathize Lisu kwa yale yaliyomkuta lakini si kwa kumuunga mkono kila anachokisema kuwa ni Kweli na Hakika (Hapo ndio tunakosea).

Ameeleza alichoweza kueleza lakini hakuna alichosema kigeni ukilinganisha na chapisho lake la Twitter. (A Talk of Hate and Rage).

Ameumizwa sana Tundu Lisu hilo liko wazi - Asiwaumize wengine ambao hawahusiki na Madhira yaliyomkuta.Mgomvi wake na ijara yake iko mbele ya Mungu - UONGO anaousambaza utamharibia Wasifu wake wa kisiasa kama anapenda kuja kuwa Kiongozi wa Nchi hii.

Asalaam Aleikum.
 
HIVI JF KUNA LIGI YA NANI KAFA NANI HAJAFA! MBONA KUNA KAMA USHABIKI
HIVI NYIE MEMBERS HUMU NDG ZENU JAMAA ZENU HAWAFIIII
hebuu ondoeni bullshyt hii ya mambo ya kufakufaaa mnashabikia utafikiri watu wa ndondo

Ova
 
Give marks how much out of [emoji817] did Tundui Lissu he score from Shaka's interview vs fundi Lissu allegation


Jpm kaua demokrasia. 10%. ____
Jpm kaua uhuru wa habari 10%. ____
Jpm haonekani 10%. ____
Mlinzi kafa. 15%. ____
JPM mgonjwa 15%. ____
JPM kafa. 30% ____
JPM kajenga Chato. 10%. ____
 
Hao Watatu ni weupe na huyo mwingine ni maji ya kunde

Bado hujaweza kutegua kitendawili cha lisu Kumbuka lisu alisema mweusi

Hahahaha hawa ndio waliokuwa walinzi wa magufuli kale mchicha kumbe mnapewa taarifa wala hamjui lolote hahaha mlinzi anayesemwa na Lissu yupo hapo hahaha
 
Comments zote humu hakuna aliyeelezea chanzo cha hasira za Tundu Lissu. Kwa mujibu wa ndugu zake wa karibu ni kuwa Tundu Lissu hawezi kudindisha tena baada ya zile risasi,Jogoo haliwiki. Kwa wanaume mliopo JF ambao unajua vizuri utamu wa K unadhani mtu aliyesababisha wanawake uanze kuwaona kama madume utamchukia kiasi gani!?.. kwahiyo msimshangae sana Lissu. Maisha yameshakosa maana kabisa. Ila tulimwambia asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu. Hata Kama JPM kafa Ila na yeye JOGOO halisimami tena. Ukikuta ni kweli alidokolewa na Amsterdam usishangae.
 
Hebu jaribu kunusurika kuuawa, halafu tuone utampenda kiasi gani muuaji wako
I will never make that person my agenda. He can remotely control me to my grave for no reason. What has happened, happened. He should have all the reasons to be positive and move on.
 

Yaani Lijamaa Lako Ulilolipigania Limekufa Yaan.

Limashatangulia wherever it is that they tanguliaring
 
Yaani Lijamaa Lako Ulilolipigania Limekufa Yaan.

Limashatangulia wherever it is that they tanguliaring.
Comments zote humu hakuna aliyeelezea chanzo cha hasira za Tundu Lissu. Kwa mujibu wa ndugu zake wa karibu ni kuwa Tundu Lissu hawezi kudindisha tena baada ya zile risasi,Jogoo haliwiki. Kwa wanaume mliopo JF ambao unajua vizuri utamu wa K unadhani mtu aliyesababisha wanawake uanze kuwaona kama madume utamchukia kiasi gani!?.. kwahiyo msimshangae sana Lissu. Maisha yameshakosa maana kabisa. Ila tulimwambia asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu. Hata Kama JPM kafa Ila na yeye JOGOO halisimami tena. Ukikuta ni kweli alidokolewa na Amsterdam usishangae.
 
Nenda zako, kwani kufahamu Rais aliugua corona ni mpaka uwe daktari wake? Acheni ukale huo, corona imefyeka kwa vile aliidharau mtuyeyote pale Ikulu ataku dhibitishia
Mkewe na walinzi wake hawakuidharau ndio maana hstuoni kuumwa wala waliyokufa?
 

Yaani Jamaa Kafa Aisee. Imagine.

Daah. Kama Utani Yaani Ila Kafa saa Hivi wadudu wanashambulia Hatari.

Mambo ya Kusimamisha sina Uhakikà sina Ila Kufa Jamaa Kafa na Nilienda Kirumba Kumshangaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…