Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Hebu jaribu kunusurika kuuawa, halafu tuone utampenda kiasi gani muuaji wakoNani mwingine? Shida ya kumchukia sana mtu na Hakuna unaloweza kumfanya, linakufanya uwe mtumwa wake. Kiakili na hata kimatendo.
TL hana namna ila kusahau yaliyopita. Anaweza kabisa kuangalia namna ya kuanza upya mambo. Akiendelea kujinasibu kwa kumtusi JPM ambaye ameshatangulia mbele ya haki, atageuka mnara wa chumvi muda sio mrefu
Hasira tena bwana msemaji?Halafu hilo neno nyie nyie mimi na nani? Mbona una hasira sana?
At least wewe ungefunga mjadala tofauti na watetezi kuwa hajachemka! Bavicha siku hizi na Lumumba fc tofauti ni kama hakuna ...NI KWELI KWENYE SECURITY DETAIL YA JPM KUNA MLINZI ALIFARIKI SIKU CHACHE TU KABLA AU BAADA YA KIJAZI ....NA WAKATI AKIUMWA JPM MWENYEWE ALIENDA KUMTEMBELEA PALE EMMILIO MZENA ...MAJINA YAKE YANA INITIAL AM ....LAKINI SIO HUYU ...TUSEME SOURCE ZAKE ZIME MISINFORM ....
Amesema yule mweusi ambae muda mwingi alikuwa nyuma ya magufuliKwani mlinzi wa Rais alikuwa ni huyo tu ?!. Yeye mbona hajamtaja jina ila wewe umeleta mpaka picha !!
Odhis *
Sukuma Gang Bana...Lissu hafai kabisa.
Na kwenye huu msiba amedhihirisha hilo.Hawezi Kuwa Rais Milele ZOTE ....unafurahia msiba wa Mtu hata kama una chuki nae kwanini uendelee kumzushia muache tu..
Hello Sir Ngabu!Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America.
Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake dhidi ya Rais Magufuli.
Ila kilicho kamata uangalifu wangu ni madai yake yeye Lissu kuwa eti yule aliyekuwa mlinzi wa Rais Magufuli, naye kafa kwa C-19!
Naamini alikuwa anamzungumzia huyu jamaa. Jamaa ambaye ali stand out kati ya waliokuwa walinzi wa marehemu.
View attachment 1739998
Hii picha hapa chini ni baada ya Magufuli kufariki. Hapa walikuwa kanisani [nadhani ni pale kwa Mtakatifu Petro].
View attachment 1739999
Huyu jamaa mpaka kule Chato nilimuona [kama sijakosea].
Sasa, endapo ni kweli amekufa [iwapo Lissu alimaanisha ni huyu], basi jamaa atakuwa amekufa baada ya tarehe 26, Machi 2021.
Lissu kasema “his security officer...the guy that you see...the dark guy that you see behind him all the time...is dead”
Lakini kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? Msikilize mwenyewe ili usiseme labda namzushia au napotosha alichokisema.
Video ya mahojiano ni ndefu. Kwa kuokoa muda, anzia dakika ya 21:10 mpaka 21:36.
Tundu Lissu amechanganyikiwa? Ni nani aliyemwambia kuwa huyo jamaa [kama ndo yeye anayemzungumzia] kafa? Na amekufa lini?
Tuliokuwa tunafuatilia msiba wa Magufuli kwenye runinga tulimuona jamaa. Picha zake nyingi tu za wakati wa msiba zipo mtandaoni na hata humu JF zipo!
How can Tundu Lissu say this so confidently?
Where does he get his information from?
I don’t know about you guys but this is slander.
If I were the guy [don’t know his name], I’d be lawyering up right now, even though Lissu didn’t specifically mention his name, but in my view, the description he gave is sufficient enough to know who he was talking about.
I don’t know much about Tanzanian laws with regards to defamation and slander, but if I were the guy, I’d shoot my shot and sue the hell out of him.
Calumniating people’s deaths is not cool.
Hao Watatu ni weupe na huyo mwingine ni maji ya kunde
Bado hujaweza kutegua kitendawili cha lisu Kumbuka lisu alisema mweusi
Unahakika gani kama ni hao pekee?Hahahaha hawa ndio waliokuwa walinzi wa magufuli kale mchicha kumbe mnapewa taarifa wala hamjui lolote hahaha mlinzi anayesemwa na Lissu yupo hapo hahahaView attachment 1740308
Wr lizombie achana na mambo yasiyokuhusuUnahemkwa kweli kama taahira Lissu
Tigo yako inanihusu ndio naishughulikia hapaWr lizombie achana na mambo yasiyokuhusu
I will never make that person my agenda. He can remotely control me to my grave for no reason. What has happened, happened. He should have all the reasons to be positive and move on.Hebu jaribu kunusurika kuuawa, halafu tuone utampenda kiasi gani muuaji wako
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America.
Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake dhidi ya Rais Magufuli.
Ila kilicho kamata uangalifu wangu ni madai yake yeye Lissu kuwa eti yule aliyekuwa mlinzi wa Rais Magufuli, naye kafa kwa C-19!
Naamini alikuwa anamzungumzia huyu jamaa. Jamaa ambaye ali stand out kati ya waliokuwa walinzi wa marehemu.
View attachment 1739998
Hii picha hapa chini ni baada ya Magufuli kufariki. Hapa walikuwa kanisani [nadhani ni pale kwa Mtakatifu Petro].
View attachment 1739999
Huyu jamaa mpaka kule Chato nilimuona [kama sijakosea].
Sasa, endapo ni kweli amekufa [iwapo Lissu alimaanisha ni huyu], basi jamaa atakuwa amekufa baada ya tarehe 26, Machi 2021.
Lissu kasema “his security officer...the guy that you see...the dark guy that you see behind him all the time...is dead”
Lakini kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? Msikilize mwenyewe ili usiseme labda namzushia au napotosha alichokisema.
Video ya mahojiano ni ndefu. Kwa kuokoa muda, anzia dakika ya 21:10 mpaka 21:36.
Tundu Lissu amechanganyikiwa? Ni nani aliyemwambia kuwa huyo jamaa [kama ndo yeye anayemzungumzia] kafa? Na amekufa lini?
Tuliokuwa tunafuatilia msiba wa Magufuli kwenye runinga tulimuona jamaa. Picha zake nyingi tu za wakati wa msiba zipo mtandaoni na hata humu JF zipo!
How can Tundu Lissu say this so confidently?
Where does he get his information from?
I don’t know about you guys but this is slander.
If I were the guy [don’t know his name], I’d be lawyering up right now, even though Lissu didn’t specifically mention his name, but in my view, the description he gave is sufficient enough to know who he was talking about.
I don’t know much about Tanzanian laws with regards to defamation and slander, but if I were the guy, I’d shoot my shot and sue the hell out of him.
Calumniating people’s deaths
Comments zote humu hakuna aliyeelezea chanzo cha hasira za Tundu Lissu. Kwa mujibu wa ndugu zake wa karibu ni kuwa Tundu Lissu hawezi kudindisha tena baada ya zile risasi,Jogoo haliwiki. Kwa wanaume mliopo JF ambao unajua vizuri utamu wa K unadhani mtu aliyesababisha wanawake uanze kuwaona kama madume utamchukia kiasi gani!?.. kwahiyo msimshangae sana Lissu. Maisha yameshakosa maana kabisa. Ila tulimwambia asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu. Hata Kama JPM kafa Ila na yeye JOGOO halisimami tena. Ukikuta ni kweli alidokolewa na Amsterdam usishangae.Yaani Lijamaa Lako Ulilolipigania Limekufa Yaan.
Limashatangulia wherever it is that they tanguliaring.
Kwa sasa hata Lumumba FC ni irrelevant. Mama Samia hataki wanafiki na wafitini....Lisu is no longer relevant.
Mkewe na walinzi wake hawakuidharau ndio maana hstuoni kuumwa wala waliyokufa?Nenda zako, kwani kufahamu Rais aliugua corona ni mpaka uwe daktari wake? Acheni ukale huo, corona imefyeka kwa vile aliidharau mtuyeyote pale Ikulu ataku dhibitishia
Comments zote humu hakuna aliyeelezea chanzo cha hasira za Tundu Lissu. Kwa mujibu wa ndugu zake wa karibu ni kuwa Tundu Lissu hawezi kudindisha tena baada ya zile risasi,Jogoo haliwiki. Kwa wanaume mliopo JF ambao unajua vizuri utamu wa K unadhani mtu aliyesababisha wanawake uanze kuwaona kama madume utamchukia kiasi gani!?.. kwahiyo msimshangae sana Lissu. Maisha yameshakosa maana kabisa. Ila tulimwambia asiyefunzwa na mama yake hufunzwa na ulimwengu. Hata Kama JPM kafa Ila na yeye JOGOO halisimami tena. Ukikuta ni kweli alidokolewa na Amsterdam usishangae.