Ni mlinzi aliyekufa kwani wewe unawajua majina yao?Ni mlinzi yupi sasa ambaye Lissu alikuwa akimzungumzia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mlinzi aliyekufa kwani wewe unawajua majina yao?Ni mlinzi yupi sasa ambaye Lissu alikuwa akimzungumzia?
Tuleteeni mnaomsema nyinyi na ndio shida ya kuokoteza taarifa za Twitter maana hata yule malaika wenu aliwahi kumtaja huyu jamaa kwa kumuita dubwana.Kwani huyo tu ndiye mlinzi mweusi wa mwendazake?
Naona umemkamatia pabaya, na usimwachieWe ndo unaujua
Na kwa laana za watanzania hatokuja kuipata furaha.Lissu kashakata tamaa ya kuishi maisha ya furaha.
Safi, lisu is now happier more than beforeSo are you
Your man who wanted Lissu dead is now six feet down alone with his red tie.
That's paradox statement, you can't disprove him by referring to your imaginary guy"The guy you see behind him all the time"
Wananchi ulituona lakini tukimwaga shujaa wetu magufuli, RIP.Wananchi
Hata mimi nakushangaa kwa jinsi ulivyoshangazwa na lumumba akimshangaa lisu wakati uhalisia unajulikana jiwe alikuwa ni raisi wa namna ganiWe unayejiita scars nawe ni kama lisu tu shaka sali kamshangaa na pl lumumba naye kamshangaa wewe ni nani ukute ata kipindi ukukiangalia maana generally wasikilizaji wote dunian wamepima akili za lisu zilivyo mpaka kapeea ushauri wa bure na lumumba yule mkenya kwamba asipojiangalia atapoteza ata wafuasi wake kwasababu hasira ndo zinamdrive
That's paradox statement, you can't disprove him by referring to your imaginary guy
Anafurahia kwa jambo ambalo hata yeye litamfika.Safi, lisu is now happier more than before
Haijalishi, alitaka Aishi kama malaika duniani hapa,Anafurahia kwa jambo ambalo hata yeye litamfika.
Mwenzake kafia ikulu na kuzikwa kwa heshima yeye ataishia makaburi ya city Ubelgiji.Haijalishi, alitaka Aishi kama malaika duniani hapa,
Karma imemtafuna
Hao Watatu ni weupe na huyo mwingine ni maji ya kunde
Mwambie mama akupe uji uende twisheni FastaMwenzake kafia ikulu na kuzikwa kwa heshima yeye ataishia makaburi ya city Ubelgiji.
Hata kama hajataja jina. Maelezo aliyoyatoa yanaelekeza kwa huyo jamaa.
Lissu ni mropokaji mno.
Alivozikwa kwa heshima angetakiwa aongee akiwa huko kwenye jeneza ili ajisifie kwamba nimezikwa kwa heshima kweri kweriMwenzake kafia ikulu na kuzikwa kwa heshima yeye ataishia makaburi ya city Ubelgiji.
Baba yako alivyofariki aliongea au ilimradi uongee utumbo tu.Alivozikwa kwa heshima angetakiwa aongee akiwa huko kwenye jeneza ili ajisifie kwamba nimezikwa kwa heshima kweri kweri