Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anaanza kutumia lugha chafu

Zile billion mwenyekiti wa saccos alizouza chama mwaka 2015,umezisahau?. Je zile za wabunge waliokuwa wanakatwa mbona hamhoji mwenye chama. Kama kuna wapigaji, saccos namba Moja. Endeleeni kukusanya michango, kwenye hizo nyomi.
Hizo zilikuwa propaganda za kishamba lakini wizi upo CCM ndiyo maana CAG alitolewa kafara
 
Mwacheni Lisu aongee anacho taka maana ni sehemu ya tiba kutokana na yaliyompata...
Jipe moyo hata Malawi Kenya Gambia Ghana Congo waliwahi kuwa na mawazo kama yako na leo hii vyama vingine vipo ikulu, hakuna mabaya yasiyo na mwisho na mwisho wa ubaya ni Aibu kubwa, wapo wapi akila mabutu, Abacha, chiluba, Bokasa, Gadafi, Sadam Hussein, Iddy Amin Dada na Elbashiri wa Sudan?
 
Hata Mungu mwenyewe harenganishi Pumba na Makapi yote anaweka kapu moja anapiga moto. Tundu Lisu atapata wapi hiyo nafasi ya kutengenisha wezi wa CCM wote majizi
 
Hili jina la JIWE anajiita mwenyewe tafadhali.
 
Kununua ndege kwa cash ambayo haijapitishwa na bunge na kujenga uwanja wa ndege chato bila kupitishwa na bunge siyo wizi? Kilangila.
 
Kwa ushahidi wa kuiga kila kitu kutoka kwao
CCM wakienda kuomba omba misaada toka ulaya huwaita wazungu wafadhili wahisani lakini hao hao wazungu wakikataa CCM hugeuka na kuwaita mabeberu
 
Wapinzani wa hizo nchi hawakuwa wahuni kama wa hapa kwetu
 
Kununua ndege kwa cash ambayo haijapitishwa na bunge na kujenga uwanja wa ndege chato bila kupitishwa na bunge siyo wizi? Kilangila.
Hata kupita trilion 1.5 kisha kumtoa CAG kafara ni wizi mkubwa, CCM ni ile ile ukoo wa panya
 
Una stress tafuta video ya yule dada wa IFM ujiliwaze nayo
 
Alie itwa mwizi akanushe mwenyewe kampuni ya mayanga na mengineyo kaa kwa kutulia mkuu mnyolewe make Lissu anatufumbua macho tulikua hatujui wengi.
Anawafumbua macho ili muende wapi ? 😂, Nyumbu bn..!
 
Tukuhoji ww km akili unazo nan kazidai tunahoji zimetumikaje ? F
Kwenye like tetemeko michango ilifika bil 900? Bill gates alitoa bil 200? Kuhusu kutumika si zilikarabati majengo ya serikali! Au hufahamu? Acha kupinga kila kitu
 
Kuna wakati Lisu anarelea kwenye kitabu cha Marehemu mzee Mkapa kuwa serikali ilichota fedha kiasi fulani kwa ajili ya mgombea wa chama, Je ni kweli Mkapa aliandika hivyo?
 
Ndio kamanda! october 28, 2060!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…