mkulima gwakikolo
JF-Expert Member
- Nov 22, 2014
- 1,767
- 2,855
Mtoa mada umeandika shutuma Bila kutoa mfano. Kuna watu mnashangaza kweli kuna mahali Lissu ametukana? Hii ndy mbinu yenu iliyobak I kugeuza maneno kuntu ya Lissu kuwa matusi. Jibuni hoja za Lissu.
Mfano ametoa maelezo ya ujenzi wa airport nyumbani kwa chako. Bila kufuata utaratibu wa kisheria na tend a. Toeni makatatasi yanayojibu hoja ya Lissu ili wenye akili wachambue. Vijana wa Chama fulani mumeshindwa kumsaidia mgombea kujibu maswali magumu mnaanza Kuja na uzushi!!?
Tanzania yetu sote na si ya Kikundi cha watu. Kama leo CCM watakua wakwl tutasema Amina na CDM wanaposema ukweli tunasema Amina!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mfano ametoa maelezo ya ujenzi wa airport nyumbani kwa chako. Bila kufuata utaratibu wa kisheria na tend a. Toeni makatatasi yanayojibu hoja ya Lissu ili wenye akili wachambue. Vijana wa Chama fulani mumeshindwa kumsaidia mgombea kujibu maswali magumu mnaanza Kuja na uzushi!!?
Tanzania yetu sote na si ya Kikundi cha watu. Kama leo CCM watakua wakwl tutasema Amina na CDM wanaposema ukweli tunasema Amina!!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app