Tundu Lissu anakaguaje ujenzi, maendeleo na uhai wa chama usiku? Je, sheria inaruhusu?

Tundu Lissu anakaguaje ujenzi, maendeleo na uhai wa chama usiku? Je, sheria inaruhusu?

Mimi siyo Mwanasheria ndio maana naomba kuelimishwa huu utaratibu wa wanachama kukutana usiku kujadili ujenzi na uhai wa chama

Je, isingewezekana mkutano wa Chadema Kibaha na Mlandizi ikaahirishwa hadi leo asubuhi au mchana?

Majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Mbowe alisema aliimarisha matawi kwa mbinu tofauti na chama kiliendelea kukuwa kwa mbinu. Yeye huyu mtaalamu wa sheria alikalia kuzunguka ulaya, sasa ndo anakumbuka matawi. Matawi wakati wa kampeni! Namuona kama juha vile!
 
Mbowe alisema aliimarisha matawi kwa mbinu tofauti na chama kiliendelea kukuwa kwa mbinu. Yeye huyu mtaalamu wa sheria alikalia kuzunguka ulaya, sasa ndo anakumbuka matawi. Matawi wakati wa kampeni! Namuona kama juha vile!
Lisu anawafanya maccm, mapolisi, tume na wadhalimu wote kama wewe shosti zygot wajue hawajui chochote. Ni spana mdomoni, spana zaidi katika matendo. Spana! Spana! Spana. LISSU katupa msamiati mpya pale Kiluvya. Amemaliza hotuba kwa kusema "It's late, but it's okey. Tuko tayari kuingia magogoni.
 
Lissu anawafanya CCM, mapolisi, tume na wadhalimu wote wajue hawajui chochote. Ni spana mdomoni, spana zaidi katika matendo. Spana! Spana! Spana. Lissu katupa msamiati mpya pale Kiluvya. Amemaliza hotuba kwa kusema "It's late, but it's okey. Tuko tayari kuingia magogoni.

😃😃😃unashabikia vitimbi.. au!!!

Magogoni ya ubelujiji ndio mutaingia..
 
Maswali gani haya, ile ya kitanda kwa kitanda, shuka kwa shuka ufanywa mchana?
 
Mimi siyo Mwanasheria ndio maana naomba kuelimishwa huu utaratibu wa wanachama kukutana usiku kujadili ujenzi na uhai wa chama

Je, isingewezekana mkutano wa CHADEMA Kibaha na Mlandizi ikaahirishwa hadi leo asubuhi au mchana?

Majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Wananchi walikubali kwenda usiku wote huo? Badi huyo mtu atakuwa anakubalika sana na wananchi!
 
Polisi na CCM mmefaidika Nini kwa kumzuia Tundu Lissu kwa zaidi ya masaa Tisa? Kama hamna mlilofaidika, kulikuwa na haja gani, au ulazima gani wa kufanya hivyo?

Kadiri mnavyojaribu Kum frustrate ndivyo anavyokuwa maarufu zaidi. Halafu hizi figisu zenu jumuiya ya kimataifa inaziona. Mbona mgombea wa CCM ham mistreat Kama mnavyo mfanyia Tundu Lissu?
Polisi ya Sirro ni Zerro
 
Sisi tulishaambiwa kuwa ni "dona kantri" sasa hizo nchi si wanapiga kazi hadi usiku hakuna kulala ni shift tu
 
Back
Top Bottom