Tundu Lissu anakaguaje ujenzi, maendeleo na uhai wa chama usiku? Je, sheria inaruhusu?

Tundu Lissu anakaguaje ujenzi, maendeleo na uhai wa chama usiku? Je, sheria inaruhusu?

Aliyekuruhusu kuuliza maswali ya kipuuzi Ni Nani? Wahi kazini Sheria haziwaruhusu
 
Huyo anatafuta choko choko.. dk 15 zake karibia zinakwisha..
Lissu anawafanya CCM, mapolisi, tume na wadhalimu wote wajue hawajui chochote. Ni spana mdomoni, spana zaidi katika matendo. Spana! Spana! Spana. Lissu katupa msamiati mpya pale Kiluvya. Amemaliza hotuba kwa kusema "It's late, but it's okey. Tuko tayari kuingia magogoni.
 
Mimi siyo Mwanasheria ndio maana naomba kuelimishwa huu utaratibu wa wanachama kukutana usiku kujadili ujenzi na uhai wa chama

Je, isingewezekana mkutano wa Chadema Kibaha na Mlandizi ikaahirishwa hadi leo asubuhi au mchana?

Majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Mh Rais Tundu Lissu - shikilia hapo hapo baba, watesi wako wanalegea huku..... piga spana tu, pigaaa!!
 
Mimi siyo Mwanasheria ndio maana naomba kuelimishwa huu utaratibu wa wanachama kukutana usiku kujadili ujenzi na uhai wa chama

Je, isingewezekana mkutano wa Chadema Kibaha na Mlandizi ikaahirishwa hadi leo asubuhi au mchana?

Majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Kwani wakati wale polisiccm walipomuwekea kizuizi ilikuwa usiku, mbona una wenge sana dada mkubwa?
 
Hata juzi hapa ccm walifanya kikao chao cha mikakati ya ushindi mkoa Fulani, na Mimi nilijichomeka nilihudhuria, kikao kiliisha SAA sita usiku...
 
Mimi siyo Mwanasheria ndio maana naomba kuelimishwa huu utaratibu wa wanachama kukutana usiku kujadili ujenzi na uhai wa chama

Je, isingewezekana mkutano wa Chadema Kibaha na Mlandizi ikaahirishwa hadi leo asubuhi au mchana?

Majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Forget about Lissu and politics...

Je, kuna kazi yoyote ambapo ni haramu kuifanya usiku?!
 
Mimi siyo Mwanasheria ndio maana naomba kuelimishwa huu utaratibu wa wanachama kukutana usiku kujadili ujenzi na uhai wa chama

Je, isingewezekana mkutano wa Chadema Kibaha na Mlandizi ikaahirishwa hadi leo asubuhi au mchana?

Majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Ili Askari waje wamzuie tena?
 
Mimi siyo Mwanasheria ndio maana naomba kuelimishwa huu utaratibu wa wanachama kukutana usiku kujadili ujenzi na uhai wa chama

Je, isingewezekana mkutano wa Chadema Kibaha na Mlandizi ikaahirishwa hadi leo asubuhi au mchana?

Majibu Tafadhali.

Maendeleo hayana vyama!
Mind your fucking business
 
Back
Top Bottom