Mbowe alisema aliimarisha matawi kwa mbinu tofauti na chama kiliendelea kukuwa kwa mbinu. Yeye huyu mtaalamu wa sheria alikalia kuzunguka ulaya, sasa ndo anakumbuka matawi. Matawi wakati wa kampeni! Namuona kama juha vile!Mimi siyo Mwanasheria ndio maana naomba kuelimishwa huu utaratibu wa wanachama kukutana usiku kujadili ujenzi na uhai wa chama
Je, isingewezekana mkutano wa Chadema Kibaha na Mlandizi ikaahirishwa hadi leo asubuhi au mchana?
Majibu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Sasa vinarushwa vitu vyenye ukweli tu bwashee!
Huyu ni mchaga mwenzangu, alipatwa nini huko Kimara?vyengine vyenye ukweli hivi hapa
Katapeliwa kama ulivyotapeliwa wewe na mimi na huyu Jambazi wa ChatoHuyu ni mchaga mwenzangu, alipatwa nini huko Kimara?
Lisu anawafanya maccm, mapolisi, tume na wadhalimu wote kama wewe shosti zygot wajue hawajui chochote. Ni spana mdomoni, spana zaidi katika matendo. Spana! Spana! Spana. LISSU katupa msamiati mpya pale Kiluvya. Amemaliza hotuba kwa kusema "It's late, but it's okey. Tuko tayari kuingia magogoni.Mbowe alisema aliimarisha matawi kwa mbinu tofauti na chama kiliendelea kukuwa kwa mbinu. Yeye huyu mtaalamu wa sheria alikalia kuzunguka ulaya, sasa ndo anakumbuka matawi. Matawi wakati wa kampeni! Namuona kama juha vile!
Lissu anawafanya CCM, mapolisi, tume na wadhalimu wote wajue hawajui chochote. Ni spana mdomoni, spana zaidi katika matendo. Spana! Spana! Spana. Lissu katupa msamiati mpya pale Kiluvya. Amemaliza hotuba kwa kusema "It's late, but it's okey. Tuko tayari kuingia magogoni.
kumbe shemeji yako alikuja kukuchukua akakupeleka denmark?Paruaneni mi nipo Hapa Denmark nakula maisha kwanza nikirudi nikute hali shwari Jitahidini mparuane vizuri
kumbe shemeji yako alikuja kukuchukua akakupeleka denmark?
Wananchi walikubali kwenda usiku wote huo? Badi huyo mtu atakuwa anakubalika sana na wananchi!Mimi siyo Mwanasheria ndio maana naomba kuelimishwa huu utaratibu wa wanachama kukutana usiku kujadili ujenzi na uhai wa chama
Je, isingewezekana mkutano wa CHADEMA Kibaha na Mlandizi ikaahirishwa hadi leo asubuhi au mchana?
Majibu Tafadhali.
Maendeleo hayana vyama!
Yule mliyemlisha sumu.Mangulla yupi bwashee?
Polisi ya Sirro ni ZerroPolisi na CCM mmefaidika Nini kwa kumzuia Tundu Lissu kwa zaidi ya masaa Tisa? Kama hamna mlilofaidika, kulikuwa na haja gani, au ulazima gani wa kufanya hivyo?
Kadiri mnavyojaribu Kum frustrate ndivyo anavyokuwa maarufu zaidi. Halafu hizi figisu zenu jumuiya ya kimataifa inaziona. Mbona mgombea wa CCM ham mistreat Kama mnavyo mfanyia Tundu Lissu?
Mchungaji Christopher Mtikila, aliwahi kusema.."Polisi Mbwa wa CCM"Ni Nini kilichokuwa kina hatarisha Usalama wake?
Je Kama mchana kweupeeeee hakuwa salama vipi usiku?
Polisi wanatia aibu kupokea order kutoka kwa CCM.