Coaster2015
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 2,607
- 2,730
Mkuu Daudi, hivi Mwita Waitara ni nani yake na Generali Mstaafu Waitara ?nilivyoona hutuba yake ya jana ya shinyanga alikua anawakaripia wapiga kura nikajua tu huyu mzee anahitaji msaada wa wakongwe.
Ndio ushindi wake huo utakapoishiaIlimradi ziwe za ushindi
Wewe unaota ndoto ya mchana kweupe.Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.
Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.
Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.
Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!
Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.
Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Mwaka 2015 alisema hivyo ila alipoingia ikulu akakana mchana kweupeeee. Yani amekana mengi aliyozungumza kwenye kampeni. Haaminiki hata kidogo!Mimi akikubali katiba mpya nampa kura yangu hayo mengine Sasa hivi hata akisema watu hawamuamini, Mimi naona na msimamo wake Ila aongeze katiba mpya na ndo limebeba kura nyingi.
🤣 🤣 🤣 🤣 👆 👆 👆 I seeNilikuwa na Baba Sebuleni yeye ccm janaalikiri KUMLINGANISHA LISU NA MAGU NIKUMWONEA MAGU
Chama hakina wagombea makini wa ubungeNivizuri pia utuambie kwann wasipatikane je nikwakura au kwakutowatangaza
Wanaojitikeza kwenye kampeni ni 20%ya wananchi walio wengi watakaopiga kura jidanganye,sema magu mwaka huu hana mzuka kama 2015 amechoka kwa Nazi tofauti na huyo chiriku lissu lakini yakusema ni mengi mno sana.Jiwe lilipiga marufuku watu kufanya siasa kwa miaka5. Lilibaki lenyewe uwanjani likiropoka ropoka hovyo, likadhani limefanikiwa.
Halikuwahi kufikiri kuwa chuma Lissu atarudi nchini, kidume kuliko yeye.
Sasa lilikuwa limeshazoea likizungumza halijibiwi likajiona kidume, sasa hivi karudi kidume kutoka kwa mabeberu, anatandika mule mule, likizungumza pumba zake zinajibiwa kwa hoja takatifu, limeishiwa pozi maana lilikuwa linafikiri linaheshimika kwa kutojibiwa
Hiyo ratiba. Ya Nec.Chama hakina wagombea makini wa ubunge
Mgombea wa urais hana uwezo wa kuutengeneza wabunge kimkakati
Chama hakina pesa
Kampeni za Lisu ni za kurukaruka, Dar, Arusha, Mwanza, Shinyanga, leo Dodoma! Na kite huko anapita kwa kuhutubia mikutano mmojammoja!
Siasa ni sayansi bro!
Upinzani ulishakufa tangu 2015, JPM kwasasa anafanya kampeni ili kutimiza matakwa ya Chama chake.
Mkuu naweza kupata link ya interview ya Jana?Kuanzia saa nane
Lissu ameshatuhakikishia KUINGIA BARABARANI iwapo Tume ya Magufuli itachezea kura zetu, yeye si kama Mzee Lowassa aliyeamua kumuachia Mungu tu.
Asante mkuu.Ingia YouTube ipo mkuu
LAKINI HAYO NI MAWAZO YAKO TU MKUU JPM YUKO IMARA KULIKO HAPO AWALIMagufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.
Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.
Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.
Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!
Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.
Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Lack of mass mobilization ,,,,,Tz without Chadema is impossible.
Tume yanini tukimaliza kupiga kura tunaweka kambi kwenye vituo karibia vyote Tanzania tunataka matokeo tunajumlisha na kumpata Rais muda wa kufika saa 1 jioni tunaanza maadamano nchi nzima kushinikiza aapishwe mapemaHv kwa tume ipi ya uchaguzi? hii hii au nyingine.Ok tusubiri wakati utakapofika