storyteller
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 1,511
- 1,844
We sayans ya siasa unayoijua ni ipi...?Chama hakina wagombea makini wa ubunge
Mgombea wa urais hana uwezo wa kuutengeneza wabunge kimkakati
Chama hakina pesa
Kampeni za Lisu ni za kurukaruka, Dar, Arusha, Mwanza, Shinyanga, leo Dodoma! Na kite huko anapita kwa kuhutubia mikutano mmojammoja!
Siasa ni sayansi bro!
Amka usje acha nyaaa kitandaniUnajidanganya!! Unajifariji!! Lissu hatofikisha Kura hata Milion 4,
mazuzu ya ccm bwana kwa hiyo sayansi ya kukariri ya ccm ndio unaijuwa wenzako wanakwenda kwenye makao makuu ya kanda zao tuliza hayo makalio yako kwanzaChama hakina wagombea makini wa ubunge
Mgombea wa urais hana uwezo wa kuutengeneza wabunge kimkakati
Chama hakina pesa
Kampeni za Lisu ni za kurukaruka, Dar, Arusha, Mwanza, Shinyanga, leo Dodoma! Na kite huko anapita kwa kuhutubia mikutano mmojammoja!
Siasa ni sayansi bro!
Nyapara wa barabara tangu lini akawa mstaarabu?nilivyoona hutuba yake ya jana ya shinyanga alikua anawakaripia wapiga kura nikajua tu huyu mzee anahitaji msaada wa wakongwe.
Yaani nafurahi sana mnavyojipa moyo!Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.
Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.
Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.
Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!
Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.
Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Ila tujihadhari lile li Hutu linaweza kuagiza tumiminiwe risaso za moto!Tume yanini tukimaliza kupiga kura tunaweka kambi kwenye vituo karibia vyote Tanzania tunataka matokeo tunajumlisha na kumpata Rais muda wa kufika saa 1 jioni tunaanza maadamano nchi nzima kushinikiza aapishwe mapema
Mwaka huu Ni jino kwa jino sijuwi polisi watakuwa katika Hali gani kutudhibiti
Hawatatuweza maana tutakesha na kushinda nje mpaka pale atakapotangazwa .
Atafanya makaburi yafukuliwe bora angejipu.zikia zake tu kila mtu apambane na hali yakeKwa bahati mbaya sana Kikwete hana ushawishi wowote , 2015 alipoongoza kampeni Magufuli aliambulia patupu , 3 unusu dhidi ya zaidi ya 10 za UKAWA
JK hana muda kivile na huyu mzee swaiba wa magu ni Ben mkapa aliyetupisha kwa uchaguzi wa mwaka huuMagufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.
Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.
Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.
Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!
Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.
Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Ngoja tukuelimishe wewe robot la Lumumba. CHADEMA wanazindua kwanza kwenye kanda ndiyo maana unaona anafanyia mikutano yake kwenye makao makuu ya kanda. Baada ya hapo ndipo waanze kupita jimbo kwa jimbo, bampa kwa bampa! Umeelewa wewe kalio la panzi?Kampeni za Lisu ni za kurukaruka, Dar, Arusha, Mwanza, Shinyanga, leo Dodoma! Na kite huko anapita kwa kuhutubia mikutano mmojammoja!
Siasa ni sayansi bro!
kiboko yenu hawaMagufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.
Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.
Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.
Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!
Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.
Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Afisa kipenyo apigwe chini akafanye kazi yake rasmi!Mzee yeye anawaambia wapiga kura, wasichague upinzani hata kama wanafaaa.
Emoj ya kucheka iko wapi ...nicheke mimi dah
Mambo yamebadilika tena maeneo ya kanda ya ziwa watu wamechoka na sera za ccm angalia hapa jinsi huu ni mkutano wa magu Bariadi leo huwezi amini licha ya mabasi na malari kabao ya kusomba watu kama unavyoona hapo lakini kampeni za magu zimekuwa kama za udiwani.Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.
Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.
Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.
Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!
Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.
Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
tusubirie amri ya kutotoka njeTume yanini tukimaliza kupiga kura tunaweka kambi kwenye vituo karibia vyote Tanzania tunataka matokeo tunajumlisha na kumpata Rais muda wa kufika saa 1 jioni tunaanza maadamano nchi nzima kushinikiza aapishwe mapema
Mwaka huu Ni jino kwa jino sijuwi polisi watakuwa katika Hali gani kutudhibiti
Hawatatuweza maana tutakesha na kushinda nje mpaka pale atakapotangazwa .
Rais Magufuli yuko very relaxed kwenye kampeni za mwaka huu. Hakuna ushindani kabisa zaidi ya blah blah za vijana wawili watatu JF!Upinzani ulishakufa tangu 2015, JPM kwasasa anafanya kampeni ili kutimiza matakwa ya Chama chake.
Wee waache na ujinga wao, wanadhani Rais anachaguliwa kupitia huku Jamii forum.Unajidanganya!! Unajifariji!! Lissu hatofikisha Kura hata Milion 4,
Sasa dogo, kama baba yako ukazaliwa 1985, si lazima akiri maana wote ni watoto mtoto baba na mtoto mwana.Nilikuwa na Baba Sebuleni yeye ccm janaalikiri KUMLINGANISHA LISU NA MAGU NIKUMWONEA MAGU
Kama upinzani haupo kwnn anafanya kampeni? c kashapita bila kupingwa Sasa anafanya kampeni za nn kwn Ni lazima??Upinzani ulishakufa tangu 2015, JPM kwasasa anafanya kampeni ili kutimiza matakwa ya Chama chake.