Herbert Nkuluzi
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,592
- 2,629
Ishi kwa imani , unadhani kura zikitosha unakimbilia wapi?Hv kwa tume ipi ya uchaguzi? hii hii au nyingine.Ok tusubiri wakati utakapofika
Lugha za hivi hazikusaidii lolote ,zinakushushia hadhi yako tuSasa dogo, kama baba yako ukazaliwa 1985, si lazima akiri maana wote ni watoto mtoto baba na mtoto mwana.
Tundu anafikishaje kura million 4?Unajidanganya!! Unajifariji!! Lissu hatofikisha Kura hata Milion 4,
Hali mbaya CHADEMAMagufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.
Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.
Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.
Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!
Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.
Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
mahesabu ya makaratasi hayo mwaka huu Lisu anapata kura zaidi ya mln10, ccm wenyewe walishamchoka magu wanaimba naye tu majukwaani kinafiki, subiri tareh28 oct kwenye chumba cha siriTundu anafikishaje kura million 4?
Kumbuka
Chadema haina wanachama zaidi ya Million 2.
Wakati huo CCM Ian wanachama zaidi ya Million 15
Na jumla ya wapiga kura wote ni million 29
Wasijisahaulishe hata 2015 zile kura walizopata kulikua na mtaji wa wanachama wa CCM waliomfata Lowasa Chadema. Na sasa wameondoka wao pamoja na wale waliamua kuunga mkono juhudi za rais John Pombe Magufuli hadharani + plus wale wanaoziunga mkono bila kutangaza
Magufuli alijiamini sana kuwa mwaka 2020 atapata mserereko, tulimuonya kuwa tunapanga jeshi huko porini na siku likiingia field patatawanyika. Tukawaambia wafuasi wa CCM kuwa mwenendo wanaoenda nao kwa awamu hii ndiyo mwenendo mbaya zaidi kuwahi kuwepo Tanzania tangia enzi ya ukoloni ila wakatuita mapingapinga.
Ghafla bi vuu tunashuhudia vituko vya kila aina vya wanaccm kuombea kura, mambo yanakuwa si mambo tena. Na bado tutashuhudia maajabu ya aina yake.
Tundu Lissu kila siku kila saa anaporomosha imani ya wafuasi wa Magufuli, anamhenyesha kweli kweli Magufuli. Napenda sana na navutiwa sana na siasa za mwaka huu kwa Mgombea wa Chadema na niseme kuwa siasa za mwaka huu zinanivutia tangia kuzaliwa.
Kila siku Lissu anavyozidi kusonga mbele ndipo anapozidi kupata ushawishi tena mara dufu! Hatari hii!
Hii ni tofauti kabisa na mzee wetu wa mapanga-shaaa ambaye kila siku anaongeza wasanii mara dufu. Upo uwezekano kuwa siku za mwisho pakatokea plan B kwa Lissu ila si mnamjua? Yule ni manusura wa full magazine ya AK 47! Labda mje na ICBM za kiduku! Lissu kaza mwendo baba!
Tunaambiwa kuwa JK rasmi anaingia field kupambana. Karibu mzee wa msoga ila uzuri Lissu unamjua.
Tukutane Dodoma baadaye tutandike jukwaa.
Unavimba humu Jamii forum kumbe bado unaishi kwa babaakoππ. Halali umpinge hata Magufuli because you know the price of things not the value π.Nilikuwa na Baba Sebuleni yeye ccm janaalikiri KUMLINGANISHA LISU NA MAGU NIKUMWONEA MAGU
Mzee yeye anawaambia wapiga kura, wasichague upinzani hata kama wanafaaa.
Damn! Sema kwa umoja na siyo wingi mkuu.Leo anasema ametenda dhambi gani atawale miaka mitano tu? Kwakweli Lisu kiboko ametufumbua macho tuone hatari iliyombele yetu.
Hata kama lisu atafanyiwa figisu ila ni mbaya sana mzee baba kutawala huku ukitambua watu hawakupendi.
Yaani hata ndani ya kile chama chenyewe wanamchekea tu ila fyekeo limo moyoni mwao.
Milioni 4 mbona nyingi sana. Hapati hata laki 4.Unajidanganya!! Unajifariji!! Lissu hatofikisha Kura hata Milion 4,
wakuria wanafanana majina tu.Mkuu Daudi, hivi Mwita Waitara ni nani yake na Generali Mstaafu Waitara ?
Uonavyo wewe mimi naona tofauti. Tusubiri tarehe 28 Octobermahesabu ya makaratasi hayo mwaka huu Lisu anapata kura zaidi ya mln10, ccm wenyewe walishamchoka magu wanaimba naye tu majukwaani kinafiki, subiri tareh28 oct kwenye chumba cha siri
Interview yenyewe ndio hii?Naambiwa interview ya jana Watanzania wa hata huko vijijini wameangalia kwa TVs za vibanda.. huku wanafurahia TL anavyotema hoja nzito nzito..
Huu ndio ukweli. Chadema kwenye uchaguzi huu ni wepesi kama unyoya.Upinzani ulishakufa tangu 2015, JPM kwasasa anafanya kampeni ili kutimiza matakwa ya Chama chake.