Tundu Lissu anapotosha Kuhusu Ngorongoro

Tundu Lissu anapotosha Kuhusu Ngorongoro

Huihui2

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
7,021
Reaction score
11,475
Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

Screenshot_20240818_144739_Parallel Space.jpg

Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
 
Lakini madai yao ya kweli au si ya kweli.

Kubalini mmeshikwa pabaya ..
Aibu.
Hii kitu haijaanza leo. Imeanza wakati wa Magufuli mwaka 2017 baada ya kuona ongezeko kubwa linavyo athiri ecosystem ya Ngorongoro soma hapa

20240818_150256.jpg
 
@bligger Halafu Wamasai wakashitaki Mahakama ya East Africa ba hukumu ikatoka mwaka 2022, walishindwa, soma hapa
20240818_150314.jpg
 
Wanyama wanaongezeka na wao wanaongezeka. Wanyama hawana options wao Wana option. Tukiacha siasa lazima pia tujue na haki za wanyama hao kuishi. Kuna nchi Dunia wanyama wamebaki kuwa historia kuwa walikuwepo. Huwezi kujenga miji na shughuli za kibinadamu zikaendelea humo mbugani.

Wakishamaliza Ngorongoro wahamie na kule Serengeti, wahamishwe wale wanaozuia mbuga ya Serengeti kukutana na Ziwa Victoria mpakani mwa Bunda- Mara na Lamadi- Simiyu
 
Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

View attachment 3073355
Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
Una akili kweli ndugu Huihui2 ?

Una taarifa sahihi na za kutosha kweli kuhusu hili au umelewa maji ya kijani ya u - CCM tu?
 
Una akili kweli ndugu Huihui2 ?

Una taarifa sahihi na za kutosha kweli kuhusu hili au umelewa maji ya kijani ya u - CCM tu?
Mimi ninazo ila wewe ni fuvu tupu au tabula rasa.

Kinachotokea Ngorongoro ni uhujumu uchumi wa nchi yetu kwa kushambulia sekta ya utalii. Uhujumu uchumi huu umeratibiwa na NGOs za ndani na nje zenye lengo la kuhujumu uchumi wa nchi. Serikali imewajengea makazi bora Msomera na kuwawezesha kifedha, kwa hiyo madai yao HAYANA MAAN
 
Binadamu hasa wa Tanzania hawataki kuambiwa ukweli hata kama ni ushauri wa kitaalamu. Suala la binadamu kuhama ngorongoro halikutolewa jana. Mimi nililisoma mwaka 1984 nikisoma somo la effects of tourism. Ushauri huu wa kuhamisha binadamu ngorongoro ulitolewa na Prof Dr Schaffer ( RIP) klessheim Institute of tourism and hotel management. Jamani Tanzania ina ardhi kubwa na ipo tupu na mapori kibao. Jee hatutaki wamasai wapate maendeleo badala ya kuishi na wanyama miaka nenda rudi kwa sababu ya bakshishi (tipp) wanazopewa na watalii alafu wanafurahii. Amka Tanzania
 
Binadamu hasa wa Tanzania hawataki kuambiwa ukweli hata kama ni ushauri wa kitaalamu. Suala la binadamu kuhama ngorongoro halikutolewa jana. Mimi nililisoma mwaka 1984 nikisoma somo la effects of tourism. Ushauri huu wa kuhamisha binadamu ngorongoro ulitolewa na Prof Dr Schaffer ( RIP) klessheim Institute of tourism and hotel management. Jamani Tanzania ina ardhi kubwa na ipo tupu na mapori kibao. Jee hatutaki wamasai wapate maendeleo badala ya kuishi na wanyama miaka nenda rudi kwa sababu ya bakshishi (tipp) wanazopewa na watalii alafu wanafurahii. Amka Tanzania
Kinachotokea Ngorongoro ni uhujumu uchumi wa nchi yetu kwa kushambulia sekta ya utalii. Uhujumu uchumi huu umeratibiwa na NGOs za ndani na nje zenye lengo la kuhujumu uchumi wa nchi. Serikali imewajengea makazi bora Msomera na kuwawezesha kifedha, kwa hiyo madai yao HAYANA MAANA
 
Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

View attachment 3073355
Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
Yafaa lihifadhiwe, ilivyo sahihi, magonjwa ya mifugo, uwindaji haramu, ongezeko la wakazi eneo hilo la Ngorongoro inasababisha kupoteza Uasilia na Ekolojia yake vingi vikiwa vinachangiwa na Wawindaji wakitumia zana duni za kuwindia wanyama pori.Juhudi za Serikali zitambuliwe.!!

CHADEMA MTALAANIWA NAWAAMBIA mnawadanganya maasai huku Serikali imewapa makazi Bora Msomero.
 
Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

View attachment 3073355
Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
Abdul alimpelekea tundu rushwa tundu akaikaa
 
Tatizo kwanini waondolewe wamasai kisha wawekwe waarabu huko Ngorongoro kama lengo ni kulinda hifadhi?

Kuna shughuli za binadamu nazo zinafanywa na mwarabu kule ambazo nazo zinasumbua wanyama, sasa kwanini wamasai waondoshwe then waarabu waachwe?

Hivi una habari kule Ngorongoro kuna eneo mimi nawe haturuhusiwi kukanyaga, ni mali ya waarabu?

Mleta mada hujui ulichokiandika hapa.
 
Wanyama wanaongezeka na wao wanaongezeka. Wanyama hawana options wao Wana option. Tukiacha siasa lazima pia tujue na haki za wanyama hao kuishi. Kuna nchi Dunia wanyama wamebaki kuwa historia kuwa walikuwepo. Huwezi kujenga miji na shughuli za kibinadamu zikaendelea humo mbugani.

Wakishamaliza Ngorongoro wahamie na kule Serengeti, wahamishwe wale wanaozuia mbuga ya Serengeti kukutana na Ziwa Victoria mpakani mwa Bunda- Mara na Lamadi- Simiyu
Wasingempa mwarabu mbuga kusingekuwa na shida

Shida ni kuwaamisha watu alafu kumpa mwarabu kwa mikataba ya Siri ambayo hata tanapa hawaijui
 
Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

View attachment 3073355
Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
Kwani wanapowahamisha wanaingiza nini siyo siasa? Kwani siasa n nini? Siasa ni maisha wewe ndo unapotosha
 
Back
Top Bottom