Tundu Lissu anapotosha Kuhusu Ngorongoro

Tundu Lissu anapotosha Kuhusu Ngorongoro

Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

View attachment 3073355
Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
Bahati mbaya ni kuwa, bado hauko kwenye level za uelewa walipo akina Lisu. Kikubwa unahitaji elimu kwanza kabla ya kuja na hoja za namna hii. Zaidi niweke wazi kuwa, mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa, ila kuna hoja zinahitaji kujibiwa.
 
Bahati mbaya ni kuwa, bado hauko kwenye level za uelewa walipo akina Lisu. Kikubwa unahitaji elimu kwanza kabla ya kuja na hoja za namna hii. Zaidi niweke wazi kuwa, mimi sio mfuasi wa chama chochote cha siasa, ila kuna hoja zinahitaji kujibiwa.
Siasa ikiwekwa pembeni- watu na wanyama kwa style ya Ngorongoro hawawezi ku co exist na kuweza kuwa wote salama. Something will have to give.
  • Wanyama wakibanwa na mifugo eco system inakuwa challenged na uwindani haramu unaongezeka, magonjwa ya mifugo yanawaingilia wanyama pori, pia mioto ya asili ya pori inabdilika maana mifugo inaweza pia introduce mimea ya kwinginepo inapotoka kupitia kinyesi.
  • ⁠kwa upande wa binadamu, ni ngumu sana kupeleka huduma za kijamii kwa makundi yanayoishi kwa kuwa scattered tena kwenye maeneo yenye hatari. Hivyo it’s hard to have your cake and eat it too. Maendeleo ya service za jamii ili wayapate hiyo namna wanavyoishi inabidi ibadilike.
 
Kwanini muwahamishe kwenye makazi yao ya asili??

Mukauza kwa musikiti
Hivi kwanini suala la "Makazi yao ya asili" linasemwa kwa Wamasai pekee yake?! Ni kabila gani nchi hii ambalo halina Makazi ya Asili?! Kwanini watu wengine wakihamishwa ni sawa tu lakini wakitaka kuhamishwa Wamasai ndo zinaibuka hizi habari za "makazi yao ya asili"?
 
Hivi kwanini suala la "Makazi yao ya asili" linasemwa kwa Wamasai pekee yake?! Ni kabila gani nchi hii ambalo halina Makazi ya Asili?! Kwanini watu wengine wakihamishwa ni sawa tu lakini wakitaka kuhamishwa Wamasai ndo zinaibuka hizi habari za "makazi yao ya asili"?
Last time nimepita Ngorongoro kuelekea Serengeti hali ya uoto kati ya Ngorongoro na Serengeti ilikua mbaya sana. Huu ufugaji ukiachiwa uendelee ni miaka michache tu eco system itaharibika
What I don’t understand haya mambo ya mazingira yanakuja tu wakati wa bwawa la Nyerere ila ikifika Ngorongoro wananchi wanaonewa. Absurd
 
Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
Wewe upo ndani ya Tarafa ya Ngorongoro?
Hivi unajua maana ya kuhamishwa kwa hiyari?
 
Siasa ikiwekwa pembeni- watu na wanyama kwa style ya Ngorongoro hawawezi ku co exist na kuweza kuwa wote salama. Something will have to give.
  • Wanyama wakibanwa na mifugo eco system inakuwa challenged na uwindani haramu unaongezeka, magonjwa ya mifugo yanawaingilia wanyama pori, pia mioto ya asili ya pori inabdilika maana mifugo inaweza pia introduce mimea ya kwinginepo inapotoka kupitia kinyesi.
  • ⁠kwa upande wa binadamu, ni ngumu sana kupeleka huduma za kijamii kwa makundi yanayoishi kwa kuwa scattered tena kwenye maeneo yenye hatari. Hivyo it’s hard to have your cake and eat it too. Maendeleo ya service za jamii ili wayapate hiyo namna wanavyoishi inabidi ibadilike.
Kuna mashauri/ kesi mbalimbali za kimataifa ambazo zinatoa haki kwa watu wa asili flani kutoonbolewa katika eneo lao la asili ili kupisha shughuli za maendeleo au uhifadhi. Kwa Ngorongoro, shida kubwa ni uhujumu unaofanywa na Kenya. Aidha, kumekuwa na ongezeko la watu na mifugo.
Hapa Serikali iendelee kutafuta maeneo mazuri ambayo Wamasai wanaweza kuhamishiwa ili uhifadhi udumishwe. Aidha, uwekezaji unafanywa katika maeneo haya uwe balanced kwa kujumuisha wazawa pia, kwani picha inayojengeka ni kuwa Wamasai wanafukuzwa ili waarabu wapewe eneo.
 
Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

View attachment 3073355
Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
Kwahiyo serikali iache kuchukua pesa zao za kodi maana imesitisha huduma.
 
Kwanini muwahamishe kwenye makazi yao ya asili??

Mukauza kwa musikiti
Hapa ndio wenye akili kisoda hudanganywa kwa kuambiwa maeneo ya asili wakati wengi wamevamia, kisa tu babu yako kavamia ukizaliwa wewe linakua la asili? Jiulize kati ya hao wanyama na binadamu nani kamkuta mwenzie?
 
Wasingempa mwarabu mbuga kusingekuwa na shida

Shida ni kuwaamisha watu alafu kumpa mwarabu kwa mikataba ya Siri ambayo hata tanapa hawaijui
Mna ushahidi kapewa mwarabu? Wakati huu mkakati wa kuwahamisha upo zaidi ya miaka 20 iliyopita? Kwa hy mwarabu anasubiri tu😂😂
 
Wewe upo ndani ya Tarafa ya Ngorongoro?
Hivi unajua maana ya kuhamishwa kwa hiyari?
Ninaifahamu sana Ngorongoro kuliko hako kakichwa kako kanakotegemea kulipwa posho za wanaharakati.

Climate change imefanya Ngorongoro kuwa malisho ya kudumu. That is an ecological disaster. Lazima kuwe na Solution.

Inawezekana mkoloni alidhani kuifanya Ngorongoro kuwa na mixed use kutaisha kutokana na Wamasai, kidogo kidogo, kuachana na pastoralism.
Bahati mbaya, ndiyo kwanza, population nz Ng'ombe wameongezeka, na kuongeza stakes za kisiasa, ki ekolojia, na majirani, directly or through NGOs, kupata entry ya kupandisha mbegu ya vurugu.

Naiunga mkono Serikali yangu kwa hatua inazozichukua.
 
Ninaifahamu sana Ngorongoro kuliko hako kakichwa kako kanakotegemea kulipwa posho za wanaharakati.

Climate change imefanya Ngorongoro kuwa malisho ya kudumu. That is an ecological disaster. Lazima kuwe na Solution.

Inawezekana mkoloni alidhani kuifanya Ngorongoro kuwa na mixed use kutaisha kutokana na Wamasai, kidogo kidogo, kuachana na pastoralism.
Bahati mbaya, ndiyo kwanza, population nz Ng'ombe wameongezeka, na kuongeza stakes za kisiasa, ki ekolojia, na majirani, directly or through NGOs, kupata entry ya kupandisha mbegu ya vurugu.

Naiunga mkono Serikali yangu kwa hatua inazozichukua.
Sawa ndugu... Wewe unaifahamu Ngorongoro.
Mimi ninaishi pale!
Yote uliyosema sipingani nayo...
Lakini kwanza tusaidie kujua pesa zinazotumika kuwaondosha Wamasai zinatoka kwa kina nani?
Je, wanaozitoa wana interests zipi?
Waelewesheni wananchi!
 
Hapa ndio wenye akili kisoda hudanganywa kwa kuambiwa maeneo ya asili wakati wengi wamevamia, kisa tu babu yako kavamia ukizaliwa wewe linakua la asili? Jiulize kati ya hao wanyama na binadamu nani kamkuta mwenzie?
Ni wanyama ndiyo wametangulia
 
Sawa ndugu... Wewe unaifahamu Ngorongoro.
Mimi ninaishi pale!
Yote uliyosema sipingani nayo...
Lakini kwanza tusaidie kujua pesa zinazotumika kuwaondosha Wamasai zinatoka kwa kina nani?
Je, wanaozitoa wana interests zipi?
Waelewesheni wananchi!
You are offpoint. Jikite kwenye suala la kitaalamu. Hata dawa unazotibu UKIMWI wako hujui zinakotoka, sasa unataka kujua zinakotoka hela za kuwahamisha wamasai?

Kawaulize WWF
 
Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

View attachment 3073355
Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
Hivi unalipwa nini wewe boga kuficha uovu wanaofanyiwa binadamu wenzako?
Hivi akili za kitumwa kama hizi nchi yetu itaendelea kubaki utumwani tu> Nyie tutawapiga tu subirini tu nyangau wa head
 
Twende tuone nani ana akili na nani ana mboji kichwani.

Mwingereza aliwahamisha Wamasai mwaka 1951 kutoka Serengeti na kuwapeleka Ngorongoro. Naye JK Nyerere aliwahamisha Wachagga kutoka Kilimanjaro na kuwapeleka Turiani mkoa wa Morogoro kwenye 1960s. Hawa ni nani wanaotishia nyau Serikali??

Kumbukeni Ardhi ya Tanzania kikatiba ni mali ya Serikali na Rais ndiye amedhaminiwa kuisimamia. Nyinyi mnayo tu miliki ya kimila ambayo ana uwezo kui revoke kwa matumizi mengine. Wacheni UPUMBAVU wa kujifanya eti nyinyi wabishi
Wewe ni mjinga hujui kutofautisha (ana na hana) umeandika ana , ana .

Pia Kuna msemo wa kiingereza unasema "THE FIRST MISTAKE DOES NOT JUSTFY THE SECOND"

Kosa la kwanza halilifanyi la pili kuwa halali.

BABAKO alikunya MAVI mataa ya kamata, 1999 na wewe Leo unaenda KUNYA MAVI mataa ya Magomeni mapipa kwa sababu babako alikunya MAVI KAMATA 1999.

Kweli kama nchi tuna idadi kubwa ya wajinga kama wewe ambao reasoning Yako Iko chini kuliko ya PANYA BUKU🤔🤔🤔
 
Hivi unalipwa nini wewe boga kuficha uovu wanaofanyiwa binadamu wenzako?
Hivi akili za kitumwa kama hizi nchi yetu itaendelea kubaki utumwani tu> Nyie tutawapiga tu subirini tu nyangau wa head
Utampiga nani wewe pimbi? Haya msikie hapa Mbunge wa zamani wa Arusha alichosema:

IMG-20240819-WA0025.jpg
 
Wewe ni mjinga hujui kutofautisha (ana na hana) umeandika ana , ana .

Pia Kuna msemo wa kiingereza unasema "THE FIRST MISTAKE DOES NOT JUSTFY THE SECOND"

Kosa la kwanza halilifanyi la pili kuwa halali.

BABAKO alikunya MAVI mataa ya kamata, 1999 na wewe Leo unaenda KUNYA MAVI mataa ya Magomeni mapipa kwa sababu babako alikunya MAVI KAMATA 1999.

Kweli kama nchi tuna idadi kubwa ya wajinga kama wewe ambao reasoning Yako Iko chini kuliko ya PANYA BUKU🤔🤔🤔
Akili yako inafukiria mavi tu. Kumbe nabishana na msenge
 
Back
Top Bottom