Tundu Lissu anapotosha Kuhusu Ngorongoro

Tundu Lissu anapotosha Kuhusu Ngorongoro

Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

View attachment 3073355
Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
Eti NGO za kenya hizi story kawapigie wajinga wenzako kwenye vijiwe vya kahawa
 
Binadamu hasa wa Tanzania hawataki kuambiwa ukweli hata kama ni ushauri wa kitaalamu. Suala la binadamu kuhama ngorongoro halikutolewa jana. Mimi nililisoma mwaka 1984 nikisoma somo la effects of tourism. Ushauri huu wa kuhamisha binadamu ngorongoro ulitolewa na Prof Dr Schaffer ( RIP) klessheim Institute of tourism and hotel management. Jamani Tanzania ina ardhi kubwa na ipo tupu na mapori kibao. Jee hatutaki wamasai wapate maendeleo badala ya kuishi na wanyama miaka nenda rudi kwa sababu ya bakshishi (tipp) wanazopewa na watalii alafu wanafurahii. Amka Tanzania
Kwa Nini mbuga anapewa mwarabu kwa mikataba ya siti
 
Yafaa lihifadhiwe, ilivyo sahihi, magonjwa ya mifugo, uwindaji haramu, ongezeko la wakazi eneo hilo la Ngorongoro inasababisha kupoteza Uasilia na Ekolojia yake vingi vikiwa vinachangiwa na Wawindaji wakitumia zana duni za kuwindia wanyama pori.Juhudi za Serikali zitambuliwe.!!

CHADEMA MTALAANIWA NAWAAMBIA mnawadanganya maasai huku Serikali imewapa makazi Bora Msomero.
Mwarabu mjomba wa Mama yeye haharibu ecolojia? Mnashingilia Watanzania wenzenu wakitaabika kisa kuwalamba wataaala miguu? Wamehamishwa Wamasaia enei moja anaoewa mwaeabujingine kaisha pewa mchina,
 
NI MTU MPUMBAVU PEKEE ATAKAYE KUBALI KUKAA KIMYA HUKU AKISHUHUDIA HIFADHI ZIKIGEUKA MIJI NA MAJIJI, HILI HALIWEZEKANI KAMWE SEREKALI HAIWEZI KUKAA KIMYA KWA UPUMBAVU WA AINA HIYO, TUJIULIZE PALE NGORONGORO ITAKAPO GEUKA JIJI NI NANI ATALAUMIWA?

..Waarabu ndio wanageuza hifadhi kuwa majiji.

..Na Rais Samia ameazimia kuchimba madini ktk hifadhi ya Serengeti.
 
Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

View attachment 3073355
Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
Wamasai wanasema unawalisha maneno wewe ni mwongo.
 
Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

View attachment 3073355
Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
...nasikia wamelipwa.
Hivi ujinga mtaacha lini? Unakuja kupinga kitu Kwa hearsay? Kwa hiyo unataka tukuamini wewe uliyesimuliwa na shemeji yako? Sisi hatuijui historia ya Mgogoro wa Ngorongoro Hadi tukuamini wewe Chawa wa Kijani unayetetea usiyoyajua?
 
Wanyama wanaongezeka na wao wanaongezeka. Wanyama hawana options wao Wana option. Tukiacha siasa lazima pia tujue na haki za wanyama hao kuishi. Kuna nchi Dunia wanyama wamebaki kuwa historia kuwa walikuwepo. Huwezi kujenga miji na shughuli za kibinadamu zikaendelea humo mbugani.

Wakishamaliza Ngorongoro wahamie na kule Serengeti, wahamishwe wale wanaozuia mbuga ya Serengeti kukutana na Ziwa Victoria mpakani mwa Bunda- Mara na Lamadi- Simiyu
Nimeipenda hii
 
Mimi ninazo ila wewe ni fuvu tupu au tabula rasa.

Kinachotokea Ngorongoro ni uhujumu uchumi wa nchi yetu kwa kushambulia sekta ya utalii. Uhujumu uchumi huu umeratibiwa na NGOs za ndani na nje zenye lengo la kuhujumu uchumi wa nchi. Serikali imewajengea makazi bora Msomera na kuwawezesha kifedha, kwa hiyo madai yao HAYANA MAAN
Huna akili wewe..!!

Siasa ni maisha na maisha ni siasa.

Uchumi ni siasa. Elimu ni siasa and everything is politics infact. Na hata uamuzi wa kuhamisha Wamasai Ili kuwapa Loliondo na Ngorongoro waarabu maamuzi ya wanasiasa kwa kile wanachokiita "sera" na "Ilani ya CCM.."

Sasa kama huelewi hili bila shaka lazima lazima utakuwa ni mjinga, usiye na akili za kukupa ufahamu..!!

Wamasai wako ktk nchi ya eneo hilo karne na karne. Iweje Samia a.k.a Mama Abdul tu ndiye aone kuwa Ngorongoro inataka kuwa Jiji?

Zipo regulations za miaka na miaka tangu wakoloni za jinsi watu wanavyoweza kuishi na wanyama ikiwemo ujenzi wa makazi ya watu kwa ajili ya kui balance ecosystem. Hujui hili?

Na ukumbuke tu kuwa, Ngorongoro ni "conservation area" yaani eneo la uhifadhi ambamo watu na wanyama wanaweza kuishi pamoja bila shida kwa kuzingatia sheria na taratibu za uhifadhi. Na hili hujui pia..?

Maeneo ambayo strictly ni national parks na hairuhusiwi shughuli za kibinadamu kufanyika ikiwemo makazi ni kama Serengeti, Mikumi na kwingineko..

Huyu mama yenu ana ajenda nyingine kabisa wala siyo hiki unachokisema hapa. Anataka kuwauzia waarabu ardhi yote ya Loliondo na Ngorongoro na hivyo kapewa pesa na hao wanaoitwa wawekezaji kuhamisha Wamasai na ndizo hizo mwanae Abdul anatembea na kuhongahonga hovyo wanaopiga kelele kuhusu uhuni huu...

Inawezekana hata hujui kuwa na hifadhi ya taifa ya Serengeti inataka kuuzwa kwa wachimbaji madini..

Hujamsikia mama yako juzi kati akisema kuwa tembo hawawezi kula madini..? Na hili nalo linakupa tabu kuelewa motives za huyu Mzanzibari..?
 
Ameandika kwenye mtandao wa X akisema hivi

View attachment 3073355
Tatizo Haya matatizo ya kijamii mnayaingizia siasa ndyo maana solution hazipatikani. Hii haiwezi kuwasaidi kisiasa tafuteni hoja nzuri hao wamelipwa maandamano ya kupangwa nasikia na mambo yaliandaliwa na wanaharakati wanalipwa na NGOs za Kenya.

Hakuna masai anayeondolewa kwa nguvu Ngorongoro. Kwa wale waliokataa kwenda Msomero waendelee kuishi kama wanyama maana hayo ndiyo maisha waliyochagua. Wasilazimishe Serikali kupeleka miundombinu ya kijamii huko wakati wamesema wao hayo maisha ya kuishi mbugani na wanyama ndyo maisha yao asili.
Mjinga sana wewe, utatengaje jamii na siasa?
 
Hivi we jamaa ukibanwa utaje hata NGO moja tu ya Kenya iliyolipa hawa waandamane na wafunge barabara utaitaja? Moja tu sio hata nne?

Mnapenda sana ku play victim kwa kusingizia watu. Malizeni matatizo yenu nyie wenyewe! CCM mnaenda kwa wananchi kusingizia chadema na wa Kenya kwa mafyongo yenu mliyofanya

Wafanyabiashara kkoo na mikoani walivyogoma nao walifadhiliwa na Kenya au Uganda?

Bei ya sukari ilipopanda ilisababishwa na Korea au msumbiji?
 
NI MTU MPUMBAVU PEKEE ATAKAYE KUBALI KUKAA KIMYA HUKU AKISHUHUDIA HIFADHI ZIKIGEUKA MIJI NA MAJIJI, HILI HALIWEZEKANI KAMWE SEREKALI HAIWEZI KUKAA KIMYA KWA UPUMBAVU WA AINA HIYO, TUJIULIZE PALE NGORONGORO ITAKAPO GEUKA JIJI NI NANI ATALAUMIWA?
Nani kakwambia wanajenga?
 
Eti NGO za kenya hizi story kawapigie wajinga wenzako kwenye vijiwe vya kahawa
Mjinga mmoja wapo ni wewe ambaye hujui namna Kenya isivyotaka tustawi kwenye biashara ya Utalii. Na wewe ni mmoja wa wanaolipwa na hizo NGOs
 
Mwarabu mjomba wa Mama yeye haharibu ecolojia? Mnashingilia Watanzania wenzenu wakitaabika kisa kuwalamba wataaala miguu? Wamehamishwa Wamasaia enei moja anaoewa mwaeabujingine kaisha pewa mchina,
Watu wametengemezewa makazi Msomera, nyinyi bado mnataka binadamu wenzetu waendelee kuishi porini kama wanyama karne ya 21?
 
Back
Top Bottom