Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
NGORONGORO IS A PROTECTED ARE, HATA KWENYE KESI HAWATAWEZA KUSHINDA, KUZUIA WINGI WAO KUJAZANA KWENYE HIFADHI NI HALALI KABISA!@bligger Halafu Wamasai wakashitaki Mahakama ya East Africa ba hukumu ikatoka mwaka 2022, walishindwa, soma hapaView attachment 3073380
Ule uwanja wa ndege ulioko Serengeti umejengwa na wanmasai? Hayo madini mnayotaka kuchimba Serengeti, yatachimbwa na wamasai? Tangu wamasai wameishi kwenye hifadhi, tutajie miji iliyokua pale.NI MTU MPUMBAVU PEKEE ATAKAYE KUBALI KUKAA KIMYA HUKU AKISHUHUDIA HIFADHI ZIKIGEUKA MIJI NA MAJIJI, HILI HALIWEZEKANI KAMWE SEREKALI HAIWEZI KUKAA KIMYA KWA UPUMBAVU WA AINA HIYO, TUJIULIZE PALE NGORONGORO ITAKAPO GEUKA JIJI NI NANI ATALAUMIWA?
Ardhi ipo vile vile, binadamu wanaongezeka, mwaka 1961, tulikuwa watu 9milion, sasa Tupo 60milion,sqm za Tanzania yetu zipo vile vile!, pengine masai walikuwa 10,000,enzi hizo, hatupigi sensa ya idadi ya jamii fulani, lakini facts ni kuwa kwa sasa masai ni wengi kweli kiasi cha kutishia URITHI WA DUNIA!Ule uwanja wa ndege ulioko Serengeti umejengwa na wanmasai? Hayo madini mnayotaka kuchimba Serengeti, yatachimbwa na wamasai? Tangu wamasai wameishi kwenye hifadhi, tutajie miji iliyokua pale.
Mengine muwe mnaona aibu tu hata kuandika uozo kama huu. Hivi ukiwa CCM akili zinakuwa na funza?
Ushujaa wake ni upi? Naomba Ufafanuzi.Mwacheni Shujaa Magufuli apumzike 🐼
Unachanganya madesa ndugu Celsus . Tunaongelea Ngorongoro wewe unaleta ya SerengetiUle uwanja wa ndege ulioko Serengeti umejengwa na wanmasai? Hayo madini mnayotaka kuchimba Serengeti, yatachimbwa na wamasai? Tangu wamasai wameishi kwenye hifadhi, tutajie miji iliyokua pale.
Mengine muwe mnaona aibu tu hata kuandika uozo kama huu. Hivi ukiwa CCM akili zinakuwa na funza?
Bado hujajibu hoja, UBONGO wako no MDOGO, wewe ni zero brain🧠.Hakuna hata kosa liliwahi kufanywa, kila waliohamishwa walikuwa na sababu zinazostahili.
Kwa sheria ya Mkoloni ya mwaka 1951 iliyounda Serengeti National Park na kuwatoa Wamasai halikuwq kosa. Ndiyo maana Serengeti inafahamika kama "Serengeti is mostly regarded as the holy mecca of wildlife due to its vast host of a wide range of wildlife in the park. Serengeti National Park is not only the busiest park in Africa but also in the whole world hosting one of the 7 wonders of Africa and one of the 10 wonders of the world as far as wildlife is concern"
Halafu kuna shoga mmoja anauliza kuwa je kosa moja lina halalisha kosa jingine?
Uzuri ni kwamba kati ya wawili MJINGA anajulikana kwa kutumia sweeping statements na kauli za kejeli. Mimi nimekujibu kwa ushahidi data. Wewe huna kitu ndiyo uniita popoma?Bado hujajibu hoja, UBONGO wako no MDOGO, wewe ni zero brain🧠.
You are not capable of digesting concrete issues, that's why you don't understand what TUNDU LISSU stand for.
Endelea na AKILI ZAKO ZA KUVUKIA BARABARA, POPOMA MKUBWA WEWE 🤣😅
ZERO brain 🧠, jibu hoja acha maneno TUPU,BWABWA WEWEUzuri ni kwamba kati ya wawili MJINGA anajulikana kwa kutumia sweeping statements na kauli za kejeli. Mimi nimekujibu kwa ushahidi data. Wewe huna kitu ndiyo uniita popoma?
Anyway Mithali 26:4 inasema "Usimjibu mpumbavu kadri ya upumbavu wake usije kuwa sawa na yeye". Nina logoff