Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Mkombozi gani muuaji ameua watanzania wenzetu 13 huko zanzibar na wengine kuwaachia vilema vya kudumu!Hili liuaji Mungu afanye mpango atuondolee kabisa!Tuliwaambia Tundu Lissu ni kibaraka wa mabeberu, hamkutaka kuelewa nadhani majibu mmeanza kuyapata sasa.
Magufuli ndie mkombozi wetu Watanzania
Hao wapokelewe tu mahali panapo stahili maana wamekufa kiboya sanasasa itakuaje mkuu maaana kuna watu walipoteza maisha kwa ajili yake
Thibitisha maneno yakoMkombozi gani muuaji ameua watanzania wenzetu 13 huko zanzibar na wengine kuwaachia vilema vya kudumu!Hili liuaji Mungu afanye mpango atuondolee kabisa!
Acha kujifariji kijana. Watu hawakuandamana kwasababu hapakuwa na sababu za dhati kabisa kutoka moyoni mwa watu. Kwa kifupi hapakuwa na sababu za msingi za watu kuandamana ni unafiki tu.Buku Saba wa Lumumba na VPN za kuwekewa na Polepole katika ubora wao!
Maandamano hayakufanyika kwa sababu Polisi walitishia kuua raia full stop
Raia waliogopa kuuawa na jeshi lao wenyewe!
Tunamuunga mkono na tulimshauri aondoke nchini kwani mateso ambayo yangefuata juu yake ni makubwa mno!Alishindwa kuwashawishi waTZ kuwa kuna sababu ya kuandamana. Na Lissu sio wa kwanza kushindwa hilo. Au tumemsahau Mange Kimambi? Naye alishindwa kutushawishi akaishia kututukana kuwa tusimpelekee shida zetu tena. Sasa Lissu naye kagonga mwamba, yeye badala ya kutukana amejiendea zake kwa wafadhili wake waliompa pesa ya kampeni
Waliishia barabara za Jamii forumsMbona walisema wataingia barabarani?
Hahaha jomba Nani atoke wakati tulikuwa hatujaona familia yake ikitangulia mbele na Wao wenyewe..ulitaka watu watoke bila kiongozi.mbele yao yani kwa maana nyingine wawe chambo cha riafande..shwainnnnTundu Lissu mnamuonea bure.
Hamkuwa na nia ya ya kufanya hayo maandamano.yeye mmoja ataweza vipi?.
Aliwaambia muandamane MLITOKA?.
Au mlitaka aje milangoni mwenu abishe hodi kuwa muda wa maandamano imefika?.
Majina ya waliouwawa yametolewa na picha tumeziona,jeshi la polisi kwanini halijakanusha?Ukweli ndio huo,wazanzibar nawashangaa kwanini kila mwaka wa uchaguzi wanakubali kupelekewa askari kutoka bara wanaenda kuua ndugu zao!Thibitisha maneno yako
Kumbe mnajua kabisa Magufuli kaua watu!Kwahiyo wale watu waliiopoteza maisha yao kuwapiginania inakuaje? Ndio anaondoka kirahisi hivyo?
Mnafurahia kukatisha maisha ya watanzania wenzenu utafikiri ninyi mtaishi milele!Hao wapokelewe tu mahali panapo stahili maana wamekufa kiboya sana
Kwa nini wameuwawa?Mkombozi gani muuaji ameua watanzania wenzetu 13 huko zanzibar na wengine kuwaachia vilema vya kudumu!Hili liuaji Mungu afanye mpango atuondolee kabisa!
Kumbe mnajua kabisa Magufuli kaua watu!
Kibaraka huyo, he has gone down as kibaraka, ngoja COVID 19 imshughulikieAlichofanya ni sahihi 100% nadhani wewe ndiye hujui undani wa siasa.
Wameuwawa ili fedhuli aendelee kutawala!
Mnafurahia kukatisha maisha ya watanzania wenzenu utafikiri ninyi mtaishi milele!
Hamjajiunza kwa Mkapa ambapo alikosa amani mpaka dakika za mwisho akatubu!
Sisi tumemuunga mkono aende akaendeleze mapambano tokea huko akiwa salama!Tunamtakia kila la kheri na maisha marefu ili aje ashuhudie kifo cha huyu fedhuli!Kwahio jamaa ndo anawaacha ivo ama bado mnaendelea na maandamano?
Wakati huo jiwe alikuwa kajificha wapi?Nilifurahi kuona wabunge watatu wa CCM waliondoka kwa Corona!Vp wale mliowafukuza bungeni wakitetea wanachi kipindi cha corona mmeshatubu?
na vp je mlisema kuna corona mkafanya kampeni waliokufa kwa corona vp mmeshatubu ama hakuna corona mmebadilisha mawazo?
Sisi tumemuunga mkono aende akaendeleze mapambano tokea huko akiwa salama!Tunamtakia kila la kheri na maisha marefu ili aje ashuhudie kifo cha huyu fedhuli!