Yani Lisu asimalizwe wakati anapiga kampeni hadi usiku aje amalizwe leo?Walipotea sehemu ndogo sana, kama wangemuwahi Lissu kabla hajafika ubalozi wa ujerumani that day, walikuwa wammalize, but the moment Lissu ameshafika mbele ya ubalozi, na balozi akawa ameshajua uwepo wake nje, hapo kila kitu kikawaharibikia.
Ndio maana walivyojaribu kumchukua kwa gari za polisi, na maafisa wa ubalozi wa ujerumani wakawa wanawafuatilia kwa nyuma, mpaka hapo wasingempata Lissu tena.
Serikali haina busara hii tuache kuipaka mafuta wakati imejaa kinyesi..kama ni kweli Tundu Lissu ameondoka, basi serikali imetumia busara.
..serikali ingeamua kumkamata tungetumbukia ktk MGOGORO WA KIDIPLOMASIA na Ujerumani.
Busara ya kuwinda mtu mpaka anakimbia nchi ?
Hebu tuwekee hapa hiyo sheria tuisome, lumumba mnachekesha sana.Huyu Lissu hadhi yake ya sasa ni mkimbizi! Maana yake hawezi akafanya siasa tena, hasa siasa za kuikashifu au kuhusu nchi aliyo kimbia, hiyo ni sheria inayo mhusu mkimbizi yeyote. Hivyo mwisho wa Lissu kisiasa umefika Hatakuwa na uwaja mwingine wa siasa hana.
Ulitaka wamfanye chochote ?Taarifa zote za tiketi walikua nazo sio kwamba wameshindwa kumfanya chochote busara tu
Wizi wizi wizi wizi!!!!!!!! Just a pretext for own agenda.Una uhakika gani walimchagua Magufuli kwa zile kura za wizi?
Haina uwezo huo kama kuna makubaliano tayari na anaenda under diplomatic escort. Wangefanya trespassing mziki wake hawauwezi...serikali ilikuwa na uwezo wa kumkamata.
Unaweza kutwambia huyu yuko hai au ameuliwa ?Yani Lisu asimalizwe wakati anapiga kampeni hadi usiku aje amalizwe leo?
Bado tu mnajifariji?Haina uwezo huo kama kuna makubaliano tayari na anaenda under diplomatic escort. Wikifanya trespassing mziki wake hawauwezi
Mngeanzia wapi, wacha kuota.Yani Lisu asimalizwe wakati anapiga kampeni hadi usiku aje amalizwe leo?
AndamanaUnaweza kutwambia huyu yuko hai au ameuliwa ?View attachment 1623545
serikali imetumia busara! ila sisi wananchi tukimuona kokote ni mawe kwenda mbele
Hawakuwa na namna tu ya kumkamata tu wangeweza kufanya hivyo...Ni wapumbavu wa daraja la chini sana, kiasi kwamba ktk aibu hii wanaonekana wametumia "busara."
Inayo hata hiyo busara ?serikali imetumia busara! ila sisi wananchi tukimuona kokote ni mawe kwenda mbele
Sasa mbona mnasema bora ameokoa roho yake na huku unasema selikali haiwezi kufanya lolote maana ina muogopa?Mngeanzia wapi, wacha kuota.
Jaribio jingine lolote la kumshoot Lissu lingewavua nguo kabisa, mkaogopa hili, na njia nyingine za kijanja kama kumtengenezea ajali hamuwezi kwa sababu ni washamba sana.