Tundu Lissu aondoka nchini kuelekea Ubelgiji. Asema anakwenda uwanja mpya wa kudai haki, demokrasia na utu wetu kwa nchi yetu

Tundu Lissu aondoka nchini kuelekea Ubelgiji. Asema anakwenda uwanja mpya wa kudai haki, demokrasia na utu wetu kwa nchi yetu

Walipotea sehemu ndogo sana, kama wangemuwahi Lissu kabla hajafika ubalozi wa ujerumani that day, walikuwa wammalize, but the moment Lissu ameshafika mbele ya ubalozi, na balozi akawa ameshajua uwepo wake nje, hapo kila kitu kikawaharibikia.

Ndio maana walivyojaribu kumchukua kwa gari za polisi, na maafisa wa ubalozi wa ujerumani wakawa wanawafuatilia kwa nyuma, mpaka hapo wasingempata Lissu tena.
Yani Lisu asimalizwe wakati anapiga kampeni hadi usiku aje amalizwe leo?
 
Huyu Lissu hadhi yake ya sasa ni mkimbizi! Maana yake hawezi akafanya siasa tena, hasa siasa za kuikashifu au kuhusu nchi aliyo kimbia, hiyo ni sheria inayo mhusu mkimbizi yeyote. Hivyo mwisho wa Lissu kisiasa umefika Hatakuwa na uwaja mwingine wa siasa hana.
 
Huyu Lissu hadhi yake ya sasa ni mkimbizi! Maana yake hawezi akafanya siasa tena, hasa siasa za kuikashifu au kuhusu nchi aliyo kimbia, hiyo ni sheria inayo mhusu mkimbizi yeyote. Hivyo mwisho wa Lissu kisiasa umefika Hatakuwa na uwaja mwingine wa siasa hana.
Hebu tuwekee hapa hiyo sheria tuisome, lumumba mnachekesha sana.
 
Yani Lisu asimalizwe wakati anapiga kampeni hadi usiku aje amalizwe leo?
Unaweza kutwambia huyu yuko hai au ameuliwa ?
IMG-20201110-WA0006.jpg
 
Yani Lisu asimalizwe wakati anapiga kampeni hadi usiku aje amalizwe leo?
Mngeanzia wapi, wacha kuota.

Jaribio jingine lolote la kumshoot Lissu lingewavua nguo kabisa, mkaogopa hili, na njia nyingine za kijanja kama kumtengenezea ajali hamuwezi kwa sababu ni washamba sana.
 
Nenda tu baba una baraka zetu zote watz. Come back stronger lkn endelea kupiga spana hukohuko tuko pamoja na ww
 
Mngeanzia wapi, wacha kuota.

Jaribio jingine lolote la kumshoot Lissu lingewavua nguo kabisa, mkaogopa hili, na njia nyingine za kijanja kama kumtengenezea ajali hamuwezi kwa sababu ni washamba sana.
Sasa mbona mnasema bora ameokoa roho yake na huku unasema selikali haiwezi kufanya lolote maana ina muogopa?
 
Back
Top Bottom