Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.
Asante sana kwa taarifa, kumbe, uchunguzi wa tukio hilo umekamilika hadi PT ku relese vital evidence!. Siku zote nilidhani ni Lissu alikuwa anasubiriwa aandike maelezo ndipo uchunguzi uanze, kumbe uchunguzi imefungwa!. Niliwahi kushauri, na leo nashauri tena, WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Kama serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi, isione aibu kusema imeshindwa, watu wenye uwezo huo tupo, serikali iseme wazi imeshindwa na kutoa Rai kwa wenye uwezo wajitokeze wasaidie, watu tupo, tutajitokeza, tuta saidia.

Tena sii wengi humu wanajua, waandishi wa habari wa IJ, wana uwezo mkubwa sometimes kuliko hata polisi wetu Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
P
 
Naona mnabadili gia angani kama kawaida yenu
..Jeshi la Polisi Tanzania ndio wenye mamlaka ya kumuita dereva kwa kushirikiana na serikali na vyombo vya Ubelgiji.

..Ukiona imepita miaka 6 tangu tukio, na Polisi wanapiga danadana, ujue kuna mtu amehusika na shambulizi dhidi ya Lissu na Polisi wanamlinda.
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua.

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua, amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Polisi wanaliachia gari, (kidhibiti), ina maana swala zima la tukio hilo limekwisha?
 
Polisi wanaliachia gari, (kidhibiti), ina maana swala zima la tukio hilo limekwisha?
Uliza kama madawa ya kulevya yaliyokamatwa mwaka juzi na huku kesi zao zikiendelea kama bado yapo .

Hakuna sababu ya kushikilia kielelezo wakati hakuna kesi iliyofunguliwa popote

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Uliza kama madawa ya kulevya yaliyokamatwa mwaka juzi na huku kesi zao zikiendelea kama bado yapo .

Hakuna sababu ya kushikilia kielelezo wakati hakuna kesi iliyofunguliwa popote

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mkuu 'Erythro', asante kwa taarifa hiyo.

Sasa niulize tena kama hutojali: Huu ndio utaratibu unaotumika kisheria, au ni mambo ya kujiamria tu polisi wenyewe na kuyafanya?

Kwa hiyo sasa ni sahihi kwamba shauri la Lissu kutaka kuuliwa limefikia mwisho wake?
Bado hili linanitatiza, pamoja na kwamba umetoa hiyo mifano ya madawa ya kulevya; ambayo sijui kama mashauri hayo huendelea kuwemo kwenye mkondo wa sheria baada ya kuyaachia hayo madawa. Haya madawa huachiwa na kupelekwa wapi? Wahusika hurejeshewa mali zao?
 
Mkuu 'Erythro', asante kwa taarifa hiyo.

Sasa niulize tena kama hutojali: Huu ndio utaratibu unaotumika kisheria, au ni mambo ya kujiamria tu polisi wenyewe na kuyafanya?

Kwa hiyo sasa ni sahihi kwamba shauri la Lissu kutaka kuuliwa limefikia mwisho wake?
Bado hili linanitatiza, pamoja na kwamba umetoa hiyo mifano ya madawa ya kulevya; ambayo sijui kama mashauri hayo huendelea kuwemo kwenye mkondo wa sheria baada ya kuyaachia hayo madawa. Haya madawa huachiwa na kupelekwa wapi? Wahusika hurejeshewa mali zao?
[emoji38][emoji38][emoji38] ni hivi , hakuna kesi yoyote iliyofunguliwa kuhusu shambulio la Lissu , kuhusu madawa ya kulevya sijui yanakopelekwa

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Hakustahili kuumizwa kiasi kile muda mwingine tuangalie familia yake watoto wake wanaumia kiasi gani wakijua baba yao kaumizwa kwaajili ya mambo ambayo hata wangekaa kimya yasingewadhuru. Mm ndio maana namkubali sana kikwete hakua na hayo mambo ya visasi japo nae alikua na njia zake ila sio kama za jpm alifanya kitu kibaya sana
Unamkumbuka Dr Ulimboka wewe.
 
[emoji38][emoji38][emoji38] ni hivi , hakuna kesi yoyote iliyofunguliwa kuhusu shambulio la Lissu , kuhusu madawa ya kulevya sijui yanakopelekwa

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Kwa uelewa wangu wa jambo hili, ambalo inanilazimu niseme, kama Lissu mwenyewe karidhia mambo yaishe kienyeji, haliniumizi kichwa; ni kuwa kidhibiti kikiondolewa, maana yake hakuna kesi tena. Huo ndio uelewa wangu mdogo wa mambo kama haya.
Sina tatizo, kama Lissu kaamua kuchukua gari lake na kuamua kuganga yajayo.
 
Huyo lissu sasa sera yake ya kupigwa risasi 30 iwe ndio mwisho maana haina tija. Amelalia kudai msharahara na marupurupu yake hadi amelipwa. Alipoonana na rais samia kule ulaya badala ya kutoa hoja za kitaifa yeye kubwa ikawa kudai posho na mishahara licha kutokutaka kutoa ushirikiano na bunge. Akaendelea kulia kutaka kuuliwa hadi amepewa gari na kahesabu matundu ya risasi. Ukiona mwanasiaa kama huyo ujue ni mbinafsi mtetezi wa maslahi binafsi tu.
Wewe ni mpumbavu kabisa,na kama ni wale jamaa wa kijani your stupid,wewe ushambuliwe na risasi 30 af upone,uwe na kilema cha maisha,una machuma mwilini kama Engine ya gari,unaweza kunyamaza? Watu wengine mnafikiriaga kwa kutumia makalio
 
Hakustahili kuumizwa kiasi kile muda mwingine tuangalie familia yake watoto wake wanaumia kiasi gani wakijua baba yao kaumizwa kwaajili ya mambo ambayo hata wangekaa kimya yasingewadhuru. Mm ndio maana namkubali sana kikwete hakua na hayo mambo ya visasi japo nae alikua na njia zake ila sio kama za jpm alifanya kitu kibaya sana
Hivi kati Lisu na Dr Ulimboka nani aliuumia sana kuliko mwenzie!!??
 
ila alipata fundisho zuri sana atasimulia Kila mtu hata kama ni Kwa mabaya.


MBOWE mwenyewe anasema Sumu haionjwi Kwa kuilamba.

Jpm mbinguni Moja Kwa Moja hakucheza na wapuuzi ni makofi tu.
 
Back
Top Bottom