Mcheza Viduku
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 1,111
- 2,754
Kuna cabinet ipo kwa ajili ya kazi hiyo, na kuna nyingine ambazo mgombea anabariki ziende hewani na nyingine anazipiga pin zisiruke hewaniKwani yeye ndo anaposti hizo picha waulizeni hao walopost
ikiwezekana hiyo kituo kiwekwe nchi jiraniKwakweli kama mtu akishinda ana haki ya kudai ushindi! Nawasihi CHADEMA na wapinzani wengine wote kujipanga kwa umakini mkubwa katika kuhakikisha wanapata idadi kamili ya kura walizopewa na wananchi! Itakumbukwa mwaka 2015, timu ya vijana wa waliokuwa pale mlimani City wakipokea na kujmlisha kura za Lowassa toka mikoani walitengenezewa zengwe wakavamiwa na kukamatwa eti wanajihusisha na biashara ya kusafirisha binadamu! Wakatupwa ndani mpaka uchaguzi ukapita na mshindi target akatangazwa, haijulikani mpaka leo kesi iliishia wapi! So nashauri CDM wawe makini na jambo hili ikiwezekana kituo hicho kiwekwe pasipojulikana na kifanye kazi kwa siri kubwa mpaka matokeo yote yatumwe toka nchi nzima!
na bima ya afya isiyowezekana!!!!!!????Better late than never , kama na wewe unakiri hadharani kwamba Magufuli hafai basi kampeni zetu zimefanikiwa sana ! ondoa shaka kuhusu atakachofanya Lissu , huyu ataondoa utumwa na utekaji , ataleta uhuru kamili na kuhakikisha haki kwa kila mtu
Sawa kama mie poyoyo haina shida.Sema masikio yako yako active kusikia hayo!Mengine yanareject!
Unadhani kilichomfanya JPM kutangaza ajira 13,000 haraka haraka ni nini?Poyoyo wew!
Wewe mwenye tuambie unasemajeHana jipya. Mguu haukunji so what?
Kwa hiyo hawatangazi maamuzi kwa wanachama wajue hicho chama cha Chadema ni cha viongozi au wanachama?Ulikuwepo kwenye vikao vyao vya siri? Labda walijadili kumpisha maalim seif acha ukuda mkuu
Shida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Hayo ndio yanafanya tumshagae Lissu maana akianza kulalamika utafikiri yeye ndio wa kwanza na wa mwisho kuwa mlemavu,hajui kuwa kuna watu wanapitia mateso zaidi yake ila yeye anataka kutumia ulemavu wake kupata kura.Uwe na akiba ya maneno hujafa hujaumbika
Wewe unapanda magari na unavuka barabara unaweza siku ukakatwa mkono tena unaotumia kuandikia hapa JF
Ni vyema ukijadili mambo ya ulemavu usimcheke mtu ,Ni kitu hatari sana kwa afya na Maendeleo
Kuna watu wamepooza au stroke na walikuwa wanafanya mazoezi kuliko wewe kula na kulaa
Umesoma post yote? Siamini kama umeisoma yote. Ungeisoma yote usingeandika hii post yako kwasababu amesema atafanya nini. Pili, hatuna waandishi wanaouliza maswali ya msingi ya kumchokonoa mzungumzaji aeleze hata yale ambayo hakuzungumzia kwenye mazungumzo yake. Hilo suala la kutumika na mabeberu mbona linaulizwa kila anapoongea na vyombo vya habari, linayo mantiki kurudiwa kila wakati? Unamuuliza mgombea urais kwanini anachangisha hela? Kwanini waandishi wasiulize maswali ya kufikirisha. Kwanini wasiulize maswali ya kisera yenye kuonyesha ni kwa jinsi gani atatatua changamoto za maisha ya watu na kujenga uchumi imara?Shida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Wewe ni kamongo kweli kweli, siyo utani. Rudi matopeni maana hata huelewi ni kitu gani kinaendelea nchini. Ccm inastawi kwa kuwa na watu wa aina. Na inawekeza sana ili muwe wengi ili iendelee kustawi.Aliyewafukuza TBC ndiye yuleyule analilia TBC warudi? Kweli vituko havina jina
Kwani kushambulia ni lazima?Unataka ashambulie nin? utakuwa na pepo mchafu wewe!
Ni kweli kabisa ndio maana Anti , atapata kura za kutosha kutoka znz kwa kuelezea vizuri kiini cha Muungano, ambao wa Tz wengine tulikuwa hatuujui, hata Raisi wa Sasa hajui.Campaign za mwaka zinaenda kidigitali maana magufuli anapigwa majukwaani alafu akianza kutoa povu anapigwa Kwa press conference.....
Huyu Mzee atachezea makofi ya uso kwelikweli na ameshaanza kucheza Ngoma ya lissu kuanzia yeye pamoja na akina bashiru na polepole
Lissu hawezi kuchambua au kueleza mambo pasina kulaumu au kumshambulia mtu,hivyo ndivyo alivyo na uzuri au ubaya kuna watu wanapenda hiyo hali ya kusikia malalamiko muda wote kuliko kusikia ni nini kifanyike.
Unataka akukunjie kwenye kalio lakoHana jipya. Mguu haukunji so what?
Kuirudisha Tanzania katika hadhi yake sio jambo dogo. Eti yeye kama yeye!! Hakuna sera za TL ila kuna sera za CDM na ilani ya uchaguzi ya CDM. Hivi kubadilisha mfumo wa utawala, kuendeleza katiba mpya ya Walioba pale ilipoishia? Bima ya afya kwa kila mtanzania sio jambo kubwa! Kila sitaka kuwa na dhamana sio jambo kubwa?Shida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Shida ya Lissu hasemi yeye kama yeye atafanya mambo gani makubwa, tushajua magu hafai. Sasa yeye aache kila siku kumzungumzia magu badala yake aseme yeye kama yeye atafanya yapi
Wee umeona mguu tuHana jipya. Mguu haukunji so what?
Kirumba 2/3 watoto under age..kadanganye vipofuPesa ya kampeni imekata halafu mahudhurio ya mtwara na Zanzibar na Dar yamemkatisha tamaa sana
Na alichoona ya Mwanza ya Magufuli kajiona hamna kitu