ikipendaroho
JF-Expert Member
- Jul 26, 2015
- 3,903
- 3,856
Sikio la.kufa.... Mkapa the chief architect Mungu kamuhitaji yeye zaidi, DAB no longer in charge of evil doers.Huu ni mwaka 2020 wanakuja kivingine wamejifunza kutokana na makosa ya 2015 na pia mungu anazuia ushetani wa CCM kwenye uchakachuaji wa kura
Ndio maana Lissu alisema yeye hatamuachia Mungu..umeelewa maana yake TAGA(singular)Mwaka 2015 tuliona picha za kila aina zikiwemo za mifereji, mito, ziwa na Bahari yeye mafuriko lakini zote hazikufua dafu kwa CCM. Tujiandae kisaikolijia.
Nakubaliana na wewe Tindo kweli Lowassa aliikuta nyomi CDM,nadhani hata 2010 wakati wa Slaa ilikuwepo.Lowassa hakuja na nyomi cdm, bali alikuta nyomi cdm. Lisu kaitwa msaliti na hajafanya siasa kwa muda wa miaka mitatu, alitakiwa apokelewe na familia yake tu, maana Magufuli ndio amekuwa akifanya siasa peke yake, na kujenga madaraja, treni, bwawa la umeme nk.
Wajumbe sio watu wazuriPascal kapotea Sana jukwaani
Unavijua vijini vya singida lakini??? Unajua viko na watu kiasi gani??? Kama ni kijijini tu kapokelewa hivyo mjini itakuwaje????Umeona mapokezi ya membe na Maalim seif huko Zanzibar?. Yale ndio mapokezi ya mgombea urais. Haya ya kwenu ni kikao cha familia.
Dalili za mvua ni mawingu, hakika huyu lissu ndiye yule tuliyekuwa tunamsubiriMgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ameingia jimboni kwake Singida Mashariki na kulakiwa na umati mkubwa wa watu kuwahi kushuhudiwa katika Jimbo Hilo.
Akiwa na msafara mkubwa wa magari, pikipiki, bajaji, baiskeli na Punda kiongozi huyo kipenzi Cha Watanzania ameingia rasmi kwenye Jimbo lake la Singida Mashariki alilokuwa mbunge kwa vipindi viwili kabla hajapigwa risasi 16 mwilini mwake na watu wanaoitwa wasiojulikana.
Lissu amelakiwa na wazee, wanawake, vijana, watoto na vikongwe huku wakitandika kanga na nguo ili mwanamapinduzi huyo anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais kuweza kupitia juu yake.
View attachment 1532086View attachment 1532087View attachment 1532089
Tunaendelea kuwaletea kinachojiri.....Endelea kutufuatilia....
Naona macho yako yanahitaji usaidizihabari hii haija kamilika pasipo picha za tukio husika
Stone age atakuwa yuko hoi bin taaban, maana alidanganywa na mataga kuwa lissu hawezi kurudi Tanzania [emoji1241]CCM mwaka huu wana kazi ya ziada!!
Wacha kuwa na mifano ya Bulicheka na Kibanga ampiga mkoloni, hayo mambo yameshapitwa na wakati.Mwaka 2015 tuliona picha za kila aina zikiwemo za mifereji, mito, ziwa na Bahari yeye mafuriko lakini zote hazikufua dafu kwa CCM. Tujiandae kisaikolijia.
Hao kwa sasa ni maadui nambari moja wa watanzaniaCyprian Musiba na le mutuz wanatembea na sumu ya kumwekea Tundu lisu kwa mnaokaa huko Dsm mkiwaona wazomeeni kwa nguvu waache ushetani wao
Asante sana mkubwa kwa kutupatia uhalisia wa tukio zimaNipo hapa singida kwenye seminar kikazi, ila kiukweli Lissu ni namba nyingine, Lowasa haoni ndani kwa nyomi.
Mungu ni mkubwazilishindwa risasi sembuse hizo,wakatafute kazi za kufanya october
Wacha taarabu jukwaani wacha wanaume waongeeHivi Wana Sacco's wa Cha Domo Alie waroga ni Nani Kuna amsha amsha,shangwe na nyomi Kama la lowasa? Na alishindwa zile Ni vionjo vya kusindikiza ushindi wa mgombea wa CCM na hivi mnavyo viona kwa huyo mgonjwa wa sonona lisu Ni muendelezo wa shamra shamra za ushindi wa CCM?
Wabaya wake "walie tu". Tuwaombee ila hawasameki.Mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu ameingia jimboni kwake Singida Mashariki na kulakiwa na umati mkubwa wa watu kuwahi kushuhudiwa katika Jimbo Hilo.
Akiwa na msafara mkubwa wa magari, pikipiki, bajaji, baiskeli na Punda kiongozi huyo kipenzi Cha Watanzania ameingia rasmi kwenye Jimbo lake la Singida Mashariki alilokuwa mbunge kwa vipindi viwili kabla hajapigwa risasi 16 mwilini mwake na watu wanaoitwa wasiojulikana.
Lissu amelakiwa na wazee, wanawake, vijana, watoto na vikongwe huku wakitandika kanga na nguo ili mwanamapinduzi huyo anayepewa nafasi kubwa ya kushinda Urais kuweza kupitia juu yake.
View attachment 1532086View attachment 1532087View attachment 1532089
Tunaendelea kuwaletea kinachojiri.....Endelea kutufuatilia....
Mkuu kumbuka lkn ccm ya wakati ule siyo sawa na ya sasa. Wakati ule ccm ilikuwa ya ukweli na uwazi. Sasa hivi ccm ni ya hofu na vitisho. Hivi sasa ccm imejaa wanafiki na ndiyo watakaoiangusha ccm kwani hata wao wamechoshwa na vitendo ovu ndani ya chama chao.Mwaka 2015 tuliona picha za kila aina zikiwemo za mifereji, mito, ziwa na Bahari yeye mafuriko lakini zote hazikufua dafu kwa CCM. Tujiandae kisaikolijia.
Napenyezewa jana ulipomsindikiza Lissu eti ndio mnamaanisha kazi na bata!Wacha taarabu jukwaani wacha wanaume waongee
Wana-Lumumba mnaiona hiyo?Hivi ndio kupokelewa kifalme na sio hapo kwenye tentView attachment 1532127