Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Mama endelea kuwachekea hawa uone kama nchi itatawalika. Unaitwa na mamlaka unaleta dharau hiiiiiii.
Mamlaka inamuita kwa kosa gani?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama endelea kuwachekea hawa uone kama nchi itatawalika. Unaitwa na mamlaka unaleta dharau hiiiiiii.
Hizo unazoziita mamlaka zinajidharirisha zenyewe kwa kukurupuka badala ya kutumia weledi ktk kufanya kazi.Mama endelea kuwachekea hawa uone kama nchi itatawalika. Unaitwa na mamlaka unaleta dharau hiiiiiii.
Alisema duniani kote Polisi akikupa wito lazima Barua ya Wito itaje kosa na madhumuni ya wito.Hili liwe fundisho kwa mamlaka, wanapoleta maigizo yao, waangalie wanamuigizia nani, sio kujikurupukia tu, huwezi kumtisha mwanasheria, kwenye jambo linalohusu sheria, kienyeji.
Lissu itakuwa baada ya kupokea ile barua akajiuliza hivi naenda pale kufanya nini? kwani sheria inasemaje? akaona ujinga huu, siendi popote.
Walishaambiwa kuna watu wakuwatisha, lakini kwa Lissu aliyeonja mpaka ladha ya risasi zao zaidi ya kumi na sita, huyu kucheza nae kunahitaji akili ya ziada, wala sio hayo maigizo yao waliyoyazoea kila wakati. Kingai aibu kwake.
Kwahiyo kaitwa na Mama? Rais Samia msimjaze ukatili kama yule mtu wenu.Mama endelea kuwachekea hawa uone kama nchi itatawalika. Unaitwa na mamlaka unaleta dharau hiiiiiii.
Na MadelekaTushukuru Mungu ni kama ameibuka mwingine mwamba Mwabukusi
Kimsingi Kingai na Lissu wanajua tangu kitambo Kingai akiwa RPC wa kinondoni.Labda kingai atakuwa amemfahamu lissu baada ya kurudi nchini.
AMINA.Atajulishwa na malaika wa bwana na siyo polisi, Lissu hana imani na polisi alishawahi kutoa taarifa kuwa anafuatiliwa matokeo yake polisi wanaolinda makazi ya viongozi waliondolewa akapigwa risasi kwenye makazi ya viongozi na ulinzi full. Analindwa na MUNGU na ndiye aliyemuokoa na risasi 37
okKwahiyo unajifanya huwajui polisi wa Tanzania? Au unaishi nje ya nchi?
Ile tume ya haki jinai imesema nini!!??Ilikuwa Apigwe pingu pale JNIA akapata taarifa na kudmba huruma aende mwenyewe sasa kama hajaenda asimlaumu Kingai
cc: Kindiki
Kweli aisee. Ni makaburu.Yaani kwa jinsi CCM inavyowanyanyasa Wapinzani ni sawa na akina Madela walivyonyanyaswa na Makaburu!! Tofauti ni kipindi, rangi na nchi....!!
Tundu Lissu ana uzalendo gani? Si anapinga Uuzwaji wa Bandari, anapinga wamasai kuhamishwa Loliondo, anapinga miradi ya EPZA na Wageni wengine, huyo unamuita vipi mzalendo?That is political mistake Tundu Lisu anafanya.
Mwanasiasa makini, mzalendo, raia mwema na asie na hatia anaitikia wito bila kusita wala kuhoji content ya wito. Kisha atakataa neno ikiwa halimuhusu na kuwashauri wahusika vinginevyo, basi hivyo hivyo tu.
This will paint him negatively kwamba how come mtu asietii wito wa dola anapewa mamlaka?
Ndio maana unakuta kiongozi wa upinzani anaweza kushinda uchaguzi but akapokwa ushindi wake au kugomewa kupewa mamlaka na vyombo vya dola ikiwa ni pamoja na polisi, Jeshi, Mahakama, TIS n.k kwasababu tu alividharau nyakati mbalimbali huko nyuma. Thus why kwa tz Mbowe anaaminika zaidi na dola kuliko mwanasiasa mwingine wa upinzani Tz. huyu hata akishinda dola inaweza mruhusu kuongoza nchi. Rejea heshma na nidhamu yake kwa dola na mahakama.
Ni kweli wazalendo ni wale waliosaini mikataba ya Rushwa ya madini, gesi, ardhi na sasa bandari hadi Prof Muruma anapata machungu kwa ajili ya nchi😅Tundu Lissu ana uzalendo gani? Si anapinga Uuzwaji wa Bandari, anapinga wamasai kuhamishwa Loliondo, anapinga miradi ya EPZA na Wageni wengine, huyo unamuita vipi mzalendo?
WAZALENDO wapo CCM kwenye kuhamasisha kuza kwa DP WORLD na miradi mingine.
Ukiitwa isivyo halali unaenda tu? Kwa Nini waitaji wasimwite mtu kama sheria inavyosema?That is political mistake Tundu Lisu anafanya.
Mwanasiasa makini, mzalendo, raia mwema na asie na hatia anaitikia wito bila kusita wala kuhoji content ya wito. Kisha atakataa neno ikiwa halimuhusu na kuwashauri wahusika vinginevyo, basi hivyo hivyo tu.
This will paint him negatively kwamba how come mtu asietii wito wa dola anapewa mamlaka?
Ndio maana unakuta kiongozi wa upinzani anaweza kushinda uchaguzi but akapokwa ushindi wake au kugomewa kupewa mamlaka na vyombo vya dola ikiwa ni pamoja na polisi, Jeshi, Mahakama, TIS n.k kwasababu tu alividharau nyakati mbalimbali huko nyuma. Thus why kwa tz Mbowe anaaminika zaidi na dola kuliko mwanasiasa mwingine wa upinzani Tz. huyu hata akishinda dola inaweza mruhusu kuongoza nchi. Rejea heshma na nidhamu yake kwa dola na mahakama.
Waliouza bandari unawaitaje Sasa?argument za kijinga, hampendi kuambiwa ukweli ungepaswa kuelewa kwa nini nawafananisha na gunia la tumbaku
Huku Ma corridor ya Mahakama wanaitwa "wazalendo" , wapenda maendeleo" , wacha Mungu na wapenda wawekezaji.Waliouza bandari unawaitaje Sasa?
Wengine humu hulipwa kwa lengo la kuharibu mada, huyu mmojawapo achana naye.Jibu hoja, wewe unaumri Gani? Lengo ni kutaka kulinganisha huo umri na michango unayotoa humu jukwaani
Unafukua Makaburi.Aliyeandika barua ni Kingai yule wa PGO au mwingine?