Tundu Lissu apuuza wito wa DCI Kingai, asema hatoenda ofisini kwake

Tundu Lissu apuuza wito wa DCI Kingai, asema hatoenda ofisini kwake

Hili liwe fundisho kwa mamlaka, wanapoleta maigizo yao, waangalie wanamuigizia nani, sio kujikurupukia tu, huwezi kumtisha mwanasheria, kwenye jambo linalohusu sheria, kienyeji.

Lissu itakuwa baada ya kupokea ile barua akajiuliza hivi naenda pale kufanya nini? kwani sheria inasemaje? akaona ujinga huu, siendi popote.

Walishaambiwa kuna watu wakuwatisha, lakini kwa Lissu aliyeonja mpaka ladha ya risasi zao zaidi ya kumi na sita, huyu kucheza nae kunahitaji akili ya ziada, wala sio hayo maigizo yao waliyoyazoea kila wakati. Kingai aibu kwake.
Alisema duniani kote Polisi akikupa wito lazima Barua ya Wito itaje kosa na madhumuni ya wito.

Kwamba kwenye Wito ule haujataja kitu chochote.
 
Labda kingai atakuwa amemfahamu lissu baada ya kurudi nchini.
Kimsingi Kingai na Lissu wanajua tangu kitambo Kingai akiwa RPC wa kinondoni.
Lissu aliwahi kusema kila alipokamatwa enzi za JPm alikuwa anakamatwa na Kingai na kupelekwa kwa Kamanda Murilo
Usishangae Kingai ndio kamtonya jamaa auchune
 
Atajulishwa na malaika wa bwana na siyo polisi, Lissu hana imani na polisi alishawahi kutoa taarifa kuwa anafuatiliwa matokeo yake polisi wanaolinda makazi ya viongozi waliondolewa akapigwa risasi kwenye makazi ya viongozi na ulinzi full. Analindwa na MUNGU na ndiye aliyemuokoa na risasi 37
AMINA.
 
Ilikuwa Apigwe pingu pale JNIA akapata taarifa na kudmba huruma aende mwenyewe sasa kama hajaenda asimlaumu Kingai

cc: Kindiki
Ile tume ya haki jinai imesema nini!!??
Mtuhumiwa anaandikiwa barua ya kujukishwa kosa lake na kuitwa afike kituo fulani.
Sasa apigwe pingu kwani yeye ni hatarishi!!??
 
That is political mistake Tundu Lisu anafanya.
Mwanasiasa makini, mzalendo, raia mwema na asie na hatia anaitikia wito bila kusita wala kuhoji content ya wito. Kisha atakataa neno ikiwa halimuhusu na kuwashauri wahusika vinginevyo, basi hivyo hivyo tu.
This will paint him negatively kwamba how come mtu asietii wito wa dola anapewa mamlaka?
Ndio maana unakuta kiongozi wa upinzani anaweza kushinda uchaguzi but akapokwa ushindi wake au kugomewa kupewa mamlaka na vyombo vya dola ikiwa ni pamoja na polisi, Jeshi, Mahakama, TIS n.k kwasababu tu alividharau nyakati mbalimbali huko nyuma. Thus why kwa tz Mbowe anaaminika zaidi na dola kuliko mwanasiasa mwingine wa upinzani Tz. huyu hata akishinda dola inaweza mruhusu kuongoza nchi. Rejea heshma na nidhamu yake kwa dola na mahakama.
Tundu Lissu ana uzalendo gani? Si anapinga Uuzwaji wa Bandari, anapinga wamasai kuhamishwa Loliondo, anapinga miradi ya EPZA na Wageni wengine, huyo unamuita vipi mzalendo?

WAZALENDO wapo CCM kwenye kuhamasisha kuza kwa DP WORLD na miradi mingine.
 
Tundu Lissu ana uzalendo gani? Si anapinga Uuzwaji wa Bandari, anapinga wamasai kuhamishwa Loliondo, anapinga miradi ya EPZA na Wageni wengine, huyo unamuita vipi mzalendo?

WAZALENDO wapo CCM kwenye kuhamasisha kuza kwa DP WORLD na miradi mingine.
Ni kweli wazalendo ni wale waliosaini mikataba ya Rushwa ya madini, gesi, ardhi na sasa bandari hadi Prof Muruma anapata machungu kwa ajili ya nchi😅
 
That is political mistake Tundu Lisu anafanya.
Mwanasiasa makini, mzalendo, raia mwema na asie na hatia anaitikia wito bila kusita wala kuhoji content ya wito. Kisha atakataa neno ikiwa halimuhusu na kuwashauri wahusika vinginevyo, basi hivyo hivyo tu.
This will paint him negatively kwamba how come mtu asietii wito wa dola anapewa mamlaka?
Ndio maana unakuta kiongozi wa upinzani anaweza kushinda uchaguzi but akapokwa ushindi wake au kugomewa kupewa mamlaka na vyombo vya dola ikiwa ni pamoja na polisi, Jeshi, Mahakama, TIS n.k kwasababu tu alividharau nyakati mbalimbali huko nyuma. Thus why kwa tz Mbowe anaaminika zaidi na dola kuliko mwanasiasa mwingine wa upinzani Tz. huyu hata akishinda dola inaweza mruhusu kuongoza nchi. Rejea heshma na nidhamu yake kwa dola na mahakama.
Ukiitwa isivyo halali unaenda tu? Kwa Nini waitaji wasimwite mtu kama sheria inavyosema?
 
Back
Top Bottom