Tundu Lissu apuuza wito wa DCI Kingai, asema hatoenda ofisini kwake

Tundu Lissu apuuza wito wa DCI Kingai, asema hatoenda ofisini kwake

Kwenda kwa DCI kufanya nini? Unapoitwa na Polisi mahali popote lazima polisi akuambie anakuitia kosa gani. Ile barua imesema kuna kosa? ……”
emoji419.png
emoji375.png
Sisi wengine tunaendelea kula shule kwa ada ya bundle tu! Tupo tu! 😄
 
Akihojiwa na Jambo TV online makamu mwenyekiti wa CHADEMA taifa Mh. Tundu Lissu alisema haya bila kupepesa macho wala kumungunya maneno

"Niende polisi kufanya nini?", TUNDU LISSU.

"Sikiliza bwana, unapoitwa polisi ni lazima waseme wanakuita kwa kosa gani", TUNDU LISSU.

"Ile barua inataja kosa lolote?", TUNDU LISSU..

Barua yenyewe ndiyo hii👇👇👇
IMG_8067.jpeg

Labda kosa ni "kutotumia lugha ya staha kumsema Rais". Sijui Kingai ametumia sheria ipi kutengeneza kosa hili..!

Ama kweli sasa ni hakika Ramadhan Kingai kaingia kwenye mtego wa nguli wa sheria Tanzania, Tundu Lissu..!!

Je, ata - retreat na kuirudisha majeshi yake nyuma? Au atatumia nguvu kumburuta polisi TL??
 
That is political mistake Tundu Lisu anafanya.
Umeandika nini hapo☝️☝️☝️?

Pumbavu kabisa wewe!.... Yaani wewe unawaza siasa tu pasipo kushughulisha kichwa chako ili kukiwezesha kuwa na reasoning..

Police ni taasisi inayotekeleza wajibu mara zote Kwa kuzingatia sheria na siyo siasa (politics)..

They have to be familiar and competent in legal matters when enforcing law towards citizens..

Kwa hiyo ulipaswa kumsifu na kumshukuru Tundu Lissu kuwa anawafundisha polisi kuwa professional katika kutekeleza wajibu wao wa kisheria..

Lakini usivyo na uelewa na ufahamu umei - tafsiri hoja kwa uelekeo wa unachowaza wewe masaa yote.......SIASA..

By the way, soma hii 👇👇👇👇barua ya Kingai - polisi wako. Je, inataja kosa lolote?
IMG_8067.jpeg


Fanya hii H/W Kisha Rudi unipe jibu..

Ukimaliza hiyo soma na hii 👇👇ujiongezee ufahamu mbugira wa sheria wewe!!

 
Umeandika nini hapo☝️☝️☝️?

Pumbavu kabisa wewe!.... Yaani wewe unawaza siasa tu pasipo kushughulisha kichwa chako ili kukiwezesha kuwa na reasoning..

Police ni taasisi inayotekeleza wajibu mara zote Kwa kuzingatia sheria na siyo siasa (politics)..

They have to be familiar and competent in legal matters when enforcing law towards citizens..

Kwa hiyo ulipaswa kumsifu na kumshukuru Tundu Lissu kuwa anawafundisha polisi kuwa professional katika kutekeleza wajibu wao wa kisheria..

Lakini usivyo na uelewa na ufahamu umei - tafsiri hoja kwa uelekeo wa unachowaza wewe masaa yote.......SIASA..

By the way, soma hii 👇👇👇👇barua ya Kingai - polisi wako. Je, inataja kosa lolote?
View attachment 2700032

Fanya hii H/W Kisha Rudi unipe jibu..

Ukimaliza hiyo soma na hii 👇👇ujiongezee ufahamu mbugira wa sheria wewe!!


🤓sasa mzee Uzima Tele tuliza ball kidogo na urelax bana. Mbona barua ya polisi iko short and clear juu ya kusudi la kumwita Lisu polisi?
Hii kiburi na madharau ni ya nini na wakati haitasaidia kitu, because upelelezi Lazima ukamilike na muhisika ni yeye. Inocent person anaogopa nin kuitikia wito wa police wa kistarabu namna hii? waswahili walisema uskatae wito kataa neno na uungwana ni vitendo.
Naanza kuhisi ni mbinu binafsi ya kuendelea kupata kibali cha kudumu kuishi ughaibuni. This might be the stage za kutafuta ground then allegations za kutishiwa maisha then kukimbilia ubalozini then ✈️✈️✈️ and mission will accomplished.
 
naenda kuitikia wito kwasababu najijua sina hatia
Basi hujazijua haki zako za msingi.

Polisi akikumata anapaswa akueleze sababu za kukukamata na pia anatakiwa akuoneshe utambulisho wake rasmi kabla ya mahojiano yako na yeye.
 
Hili liwe fundisho kwa mamlaka, wanapoleta maigizo yao, waangalie wanamuigizia nani, sio kujikurupukia tu, huwezi kumtisha mwanasheria, kwenye jambo linalohusu sheria, kienyeji.

Lissu itakuwa baada ya kupokea ile barua akajiuliza hivi naenda pale kufanya nini? kwani sheria inasemaje? akaona ujinga huu, siendi popote.

Walishaambiwa kuna watu wakuwatisha, lakini kwa Lissu aliyeonja mpaka ladha ya risasi zao zaidi ya kumi na sita, huyu kucheza nae kunahitaji akili ya ziada, wala sio hayo maigizo yao waliyoyazoea kila wakati. Kingai aibu kwake.
Huyu Kingai sindo yule aliwakamata makomandoo wa Mbowe Moshi kina Adamoo halafu akafika Himo akawanunulia chips kuku na energy?
 
Polisi kama wanamwita mtu kwenda kumhoji basi ni vema wakamweleza wanayeenda kumhoji, watamhoji kitu gani ili anayeenda kuhojiwa aweze kujiandaa kwa kile anachoenda kuhojiwa, ikibidi aende hata na vielelezo.

Hatutakiwi kuishi kwa kuviziana bali kwa kutendeana haki.
Umesema kweli sana! Matanzania mengi ni majinga Sana!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hili liwe fundisho kwa mamlaka, wanapoleta maigizo yao, waangalie wanamuigizia nani, sio kujikurupukia tu, huwezi kumtisha mwanasheria, kwenye jambo linalohusu sheria, kienyeji.

Lissu itakuwa baada ya kupokea ile barua akajiuliza hivi naenda pale kufanya nini? kwani sheria inasemaje? akaona ujinga huu, siendi popote.

Walishaambiwa kuna watu wakuwatisha, lakini kwa Lissu aliyeonja mpaka ladha ya risasi zao zaidi ya kumi na sita, huyu kucheza nae kunahitaji akili ya ziada, wala sio hayo maigizo yao waliyoyazoea kila wakati. Kingai aibu kwake.
Kupitia baadhi ya matamshi yake lissu yapo hadharani anastahili kuhojiwa,zipo KAULI ambazo alizitoa ambazo ni za kufedhehesha,kutweza,kuvunjia heshima viongozi wa kitaifa,zipo za kuhatarisha Amani na umoja na uchochezi pia,asiogopwe hata kidogo!
 

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu amewasili nchini leo Julai 26, 2023 kutoka Ulaya.

Akihojiwa juu ya kuitikia wito wa DCI Kingai unaomtaka afike ofisini kwa mahojiano, Lissu ametoa kauli inayoashiria kuwa hatakwenda.

“Kwenda (kwa DCI) kufanya nini? Unapoitwa na Polisi mahali popote lazima polisi akuambie anakuitia kosa gani. Ile barua imesema kuna kosa? ……”

Baada ya kutoa kauli hii Lissu aliondoka. Kauli hii inatoa tafsiri kuwa Mwanasheria huyo nguli hatokwenda ofisi ya DCI iliyompa wito wa kufanya naye mahojiano kufuatia matamshi aliyotoa kama alivyonukuliwa akisema kauli za Rais ni matope.

Pia soma: Tundu Lissu: DCI Kingai kaniandikia barua ya wito wa kuripoti ofisini kwake. Nipo nje ya nchi, wiki ijayo narudi kumkabili
Akamtwe tu kama v9pi. Hakuna namna.
 
Mama endelea kuwachekea hawa uone kama nchi itatawalika. Unaitwa na mamlaka unaleta dharau hiiiiiii.
Mama ni nani?
Ukipuuza wito wa Polisi remedy yake ni kushtaki kwa mama yako?
Mahkma kazi yake ni kuamua na kutafsiri sheria, wewe umewahi kuona pahala Mtu amevuka na taa nyekundu barabarani kesi akaletewa mama yako?
Acha upuuzi karne ya 21!, Kesi iende mahakamani ahukumiwe kwa kupuuza amri /wito, kama iyo amri /wito ulikuwa halali kwa kutotaja kosa ama sababu ya kuitiwa.
 
That is political mistake Tundu Lisu anafanya.
Mwanasiasa makini, mzalendo, raia mwema na asie na hatia anaitikia wito bila kusita wala kuhoji content ya wito. Kisha atakataa neno ikiwa halimuhusu na kuwashauri wahusika vinginevyo, basi hivyo hivyo tu.
This will paint him negatively kwamba how come mtu asietii wito wa dola anapewa mamlaka?
Ndio maana unakuta kiongozi wa upinzani anaweza kushinda uchaguzi but akapokwa ushindi wake au kugomewa kupewa mamlaka na vyombo vya dola ikiwa ni pamoja na polisi, Jeshi, Mahakama, TIS n.k kwasababu tu alividharau nyakati mbalimbali huko nyuma. Thus why kwa tz Mbowe anaaminika zaidi na dola kuliko mwanasiasa mwingine wa upinzani Tz. huyu hata akishinda dola inaweza mruhusu kuongoza nchi. Rejea heshma na nidhamu yake kwa dola na mahakama.
Kwahiyo unajifanya huwajui polisi wa Tanzania? Au unaishi nje ya nchi?
 
Back
Top Bottom