Pre GE2025 Tundu Lissu arejea nchini, asema atagombea urais 2025 kuitikia wito wa Watanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CHADEMA hakuna demokrasia kabisa. Huyo Lissu ana uhakika gani chama chake kitampitisha? Au yeye ndo katiba ya chama?
Hapo utakua haujaelewa Kiswahili,NIA yake iko palepale,ataitikia wito wa WARANZANIA na CHAMA CHAKE.
Rudia kumikiliza tena
 
Amesema "ana nia" yakugombea Urais kupitia Chadema 2025, akiwa na maana endapo kama atapitishwa na vikao vya chama chake.

Hiyo ni tofauti na kusema atagombea Urais kupitia Chadema, hata kama bado vikao vya chama chake kumpitisha mgombea havijakaa.
Waandishe wetu miak hii huwa wa ovyo au wanakuw na upande ndio huleta utata,
 
Nimeishia hapa : "...huyu aliekua anaua Watu...." Nika-stop alafu nikajiuliza

Sasa anaeua Watoto wadogo sasa hivi ni nani? Au Watoto wadogo sio Watu?
 
Mwamba Lissu, interview moja tu, tena ndogo Tayari kajibu na kuzika arguments zaidi ta 100 za MaCCM.

Hapo wakajipange tu tena.
 
Ni Watz hawahawa waliogoma kumchangia hela ya kununulia gari lake?
 
Yule mganga wa kienyeji kutoka iringa kama namuona anavyokodoa macho
 
Ccm itapigwa shoo mpaka ijute , sio maneno yangu bali ni kwa mjibu wa DC WA KIMATAIFA
 
Wewe umeamua kumchukia kwasababu za kwako binafsi but Magu ni moja kati ya best president
1.Alitengeneza nidhamu ya kazi
2.kapunguza matumizi mabaya ya fedha za umma
3.Usimamizi mzuri wa natural resources pamoja na miradi mbalimbali ya nchi
4.mfumo wa haki bila kujali status ya mtu kipindi chake tuliona anyone wengi wakipata haki dhidi ya wenye nacho
5.kupunguza foleni zisizo na ulazima mf flyover ya ubungo imepunguza sana foleni na miundominu mingi imejengwa chini yake katiba nchi nzima
6.kapunguza ukanjanja mwingi wa ajira mfano kaondoa wenye vyeti feki, kulipwa mishahara wafanyakazi waliofariki ( Wafanya kazi hewa)
7.kukabiliana na mambo yanagusa nchi mfano COVIC 19, kupanda kwa bei ya sukari aliweza kutatua hizi issues
8.kucontrol upandaji wa bei za vitu
9.Yeye ndio alileta mfumo wa kulipa mishahara mapema.
 
Hakuna cha ajabu. Huo ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ambao hata watangulizi wake walifanya. Hata aliyepo anafanya japo Magufuli aliwadanganya kuwa yeye akitoka madarakani hakina mtu mwingine atajenga mabarabara na madaraja.

Mungu akaona isiwe tabu. Kamsepesha 2021 na Tanzania inakwenda kwa kasi sana. Acha kuabudu marehemu
 
Ndio maana nimekwambia wewe unachuki nae binafsi huna sababu ya maana
 
..mimi sielewi Mama unautakia nini Uraisi wa Tanganyika.

..Ningekuwa karibu naye ningemshauri aunde Tume Huru, aandike Katiba Mpya, halafu astaafu.
Kwa kufanya hayo, angekuwa Mama mwana mageuzi halisi wa Nchi hii na ange kumbukwa na wa Tanganyika wengi kwa miongo mingi.
 
Mkuu, una ujuzi mzuri wa kutengeneza move; Hongera
 
Huyo Samia kapitushwa na nani na uchaguzi ni 2025? Sisi tunajua hii ni awamu ya 5 anamalizia. Tofauti na ninyi mnaotuaminisha kuwa ni awamu ya 6. Basi uchaguzi ufanyike mwezi wa 3,2026. Miaka mitano itakuwa imetimia awamu ya 6 kama sikosei!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…