Kwani kutangaza nia ya kugombea lazima upitishwe na chamaCHADEMA hakuna demokrasia kabisa. Huyo Lissu ana uhakika gani chama chake kitampitisha? Au yeye ndo katiba ya chama?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kutangaza nia ya kugombea lazima upitishwe na chamaCHADEMA hakuna demokrasia kabisa. Huyo Lissu ana uhakika gani chama chake kitampitisha? Au yeye ndo katiba ya chama?
Hebu mpe Darasa huyo Chawa wa Mama.Kwani kutangaza nia ya kugombea lazima upitishwe na chama
Kama Lissu atagombea basi kura yangu anayo, kama hatogombea sitapiga kura.
Mzushi wa Kwanza ni mwandishi uchwara wa uzi huuMakamu mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema hana Mpango wa kugombea Uenyekiti wa Chadema
Lisu amesema yeye na Mbowe hawana tofauti zozote ni Waandishi wa Habari wazushi tu ndio wanavumisha Uwongo huu
Baadae Mlale Unono 😀😀
Tunahitaji huyo Mtu 👆💯%Tunahitaji mtu mkweli, jasiri, aliyenyoka kwa kauli na matendo, mwenye uelewa mpana kwa masuala ya kisheria ili kuikomboa Tanganyika iliyo kwenye hatari kubwa.
Sasa unamlinganisha huyo beki tatu Msigwa na Tundu Lissu kweli Jo? Kuwa serious wakati mwingine.Hata mchungaji Msigwa alisema ataendelea kuwatumikia Wanachama wa Chadema 😂😂
Tundu Lissu ni Mtanzania na atagombea Tanzania.Huyu mlelewa ubelgiji akagombee ubelgiji
Umeshapanic 😂😂Mzushi wa Kwanza ni mwandishi uchwara wa uzi huu
Huna akili za kuelewa hiloCHADEMA hakuna demokrasia kabisa. Huyo Lissu ana uhakika gani chama chake kitampitisha? Au yeye ndo katiba ya chama?
Namtaja JPM halafu wewe ndiyo unapata tumbo la kuhara? Who are you to the late dictator?Usipotaja JPM unaona habari yako haijakamilika
Weka ushahidi 👆 laa sivyo ni porojo.Wewe una uraia wa ubelgiji
Alikwisha toa maono yake kuhusu Katiba Mpya. All in all Samia apewe mauwa yake kwa kuongoza nchi vizuri kwa kuitumia Katiba hii ambayo Magufuli aliisigina.Huyo aliyepo anakubali mawazo ya wenzake? Vipi kuhusu katiba mpya?
Alikwisha toa maono yake kuhusu Katiba Mpya. All in all Samia apewe mauwa yake kwa kuongoza nchi vizuri kwa kuitumia Katiba hii ambayo Magufuli aliisigina.
Labda wewe, lakini nchi hii haina nafasi tena ya kuleta kichaa mwingine kama Magufuli kwenye uongozi wa Taifa letu...Magufuli anapendwa sana nchi hii.
..kama Lissu anafanana na Magufuli, basi wafuasi wote wa Magufuli wampigie kura Lissu.
Akiweza kupangua hii hoja nijuze.Na wewe umetoa mchango mkubwa sana katika huu uzushi. Aibu yako hii Jo.