ATRACURIUM
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 753
- 918
Nenda kamwombe ili tufaidi ila nawe uwe umejitayarisha kwa maswali yakeNo siwezi kumuuliza swali hilo kwasababu sio swali. Kuna type ya maswali very specific to Lissu, nikifanikiwa kupata appointment nitaileta humu JF.
P
Pengine mzuri ila aliteleza kwenye hii interview moja kwa sababu fulani fulani? Mimi sijui hata jina lake pia sijawahi kufuatilia vipindi vyake ila hii ninayozungumzia haikuni-convince.Tuache nongo jamaa kipindi anakitendea haki sn na siyo uongo
W
Mwandishi: Ripoti ya CAG imetoka na majibu ya Rais ni kwamba waliofanya madudu wampishe. Unadhani hiyo ni kauli ya kitendaji au ya kimamlaka?
Lissu: Kwanza wizi na ufisadi ni ule ule wa miaka yote, kama haujaongezeka, ninachosoma ni kwamba umeongezeka. Wizi ni ule ule, wa watu wale wale, wa chama kile kile, mambo yale yale, ahadi zile zile. Kwahiyo kusema ampishe, nani ndie mwajiri mkuu wa nchi hii? Nani anawapa hizo kazi, nani mwenye mamlaka ya kuwaondoa? Ni mambo yale yale!
Ni jambo jema!Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
No siwezi kumuuliza swali hilo kwasababu sio swali. Kuna type ya maswali very specific to Lissu, nikifanikiwa kupata appointment nitaileta humu JF.
P
Ajabu ni kwamba hauachi kumfuatilia!.Hana tena jipya
Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Huachi na si hauachi... mbulukengeAjabu ni kwamba hauachi kumfuatilia!.
It's true, mimi nita reserves 60 min airtime kwa TL, huyu ni mdogo wangu kiumri na Iliboru nikiwa Form 5 Lissu yuko form 2!, hivyo mahojiano yatakuwa mazuri ya kumsaidia Lissu, kuisaidia Chadema na kulisaidia taifa!...Lissu amefanya mahojiano na watu wengi sana.
..amewahi kuhojiwa na watu wanaomuunga mkono, na wasiomuunga mkono.
..nimewahi kumsikiliza Lissu akihojiwa na vijana wa Ccm ambao kwa ujumla walikuwa wakimuuliza maswali ya kumkejeli na kumcheka.
..Lissu anatakiwa ahojiwe mambo ya kisomi kuhusu future ya Tanzania na sio kuhusu mambo yetu ya kila siku ambayo tayari tuna majibu na misimamo yetu kwa mfano kupigwa risasi, ripoti ya cag, kuachiwa Ole Sabaya, etc
..Kuna Watanzania wachache sana wenye uelewa wa historia, katiba, sheria, na harakati za kutafuta haki, kama Tundu Lissu. Ukimhoji Lissu kuhusu masuala hayo unaweza kupata mambo mapya yenye msaada kwa watakaokufuatilia.
Nikimhoji Lissu, no stone will be left unterned!The other side of coin
Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Duh...!, mimi tena kwa maswali... usiwe na shaka, enzi naendesha Kiti Moto, kuna watu wakialikwa walikuwa wanakimbia!.Nenda kamwombe ili tufaidi ila nawe uwe umejitayarisha kwa maswali yake
Nikimhoji Lissu, no stone will be left unterned!
P
DuuhKinyonga kwenye one n two[emoji23]
Ushawahi kuomba interview na bimkubwa?Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
It's true, mimi nita reserves 60 min airtime kwa TL, huyu ni mdogo wangu kiumri na Iliboru nikiwa Form 5 Lissu yuko form 2!, hivyo mahojiano yatakuwa mazuri ya kumsaidia Lissu, kuisaidia Chadema na kulisaidia taifa!.
P
Tafuta mkuu...Afadhali Mwamba wetu kurejea, ngoja nitafute appointment ya interview.
P
Kati ya interviews za hovyo nchini za muda wootee...Kuna Inteview niliona Lema alifanya kipindi kinaitwa ''The big agenda'' cha Mwananchi. Nilisikitika sana. Bwana Mayalla hivi jamaa kama huyu aliyekuwa anamhoji na yeye yuko kwenye kundi la waandishi wa habari? Kwanza mwandishi mwenyewe anaonekana kama chinga aliyeokotwa Kidongochekundu au mpiga debe fulani hivi. Maswali anayouliza nayo hovyo kweli kweli.
hahahahahahahaKinyonga. Katika rangi zako...