Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Salaam Wakuu,

Muda wowote kuanzia sasa, Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha CHADEMA, Tundu Lissu atakuwa anaongea na Waandishi wa Habari Nyumbani kwake Tegeta.

Nitawaletea kila kinachojiri Kutokea hapa Tegeta.

Agenda kubwa ni kusimamishwa kufanya Kampeni

======

UPDATES:

1654HRS: Waandishi wa Habari wameshafika eneo la tukio.
View attachment 1588248
nasikia Sirro kapewa maagizo avuruge hii presser.

Tundu Lissu kawashika kunako hakiyanani!!
 
Kibaya zaidi Polepole ndo aliharibu anatoa matamko yanafatwa hivyohivyo bila kupindisha Sasa hapo unategemea nini Kama siyo kukosa hekima.
 
Hayo yote yameletwa na hilo genge la CCM waliovaa suti nyeusi kwa jina la Tume laiti Boss wao angechukuliwa hatua kwa anayofanya tungeamini ni tume ila hapo mzani haujakaa sawia!
 
😁😁😁😁😁 ngoja niwaambie kwa upole tuu MTAKAO UMIA NI NYINYI MISKULE yake hamuwezi kujifanya arrogant sababu ya icj
huu mchezo hauitaji hasira na huu ni mtego mnajiingiza kichwakichwa kubishana na vyombo halali

Mtachapika na asitokee mtu wa kuwasaidia

naona serkali ishajivua na lawama kama zitatokea vurugu + serkali inapata uhalali wa kuwashughulikia perpendicular

hapa lisu amekurupuka!!
Huna akili.
 
Kama Lisu akishindwa kutii sheria bila shuruti atasaidiwa kukaa mahabusu kwa siku saba siku ya nane wataendelea na campaign. Dawa ya kibri ni kuwa na kibri zaidi yake.
 
Kutokana na agenda yake hilo la kuto tii kila mtu alilitarajia.

Kama watanzania wameshasahau risasi zake 16 asidhani akikamatwa atapata sympathy asilimia kubwa ya watanzania washamuona ni trouble maker tu hana jema.

Badala ya vyombo vya ulinzi kuwekwa ransom na kuangaika na Lissu pekee, hiyo adhabu NEC waipeleke CDM ikiwezekana asipotii wafungiwe kushiriki uchaguzi kama awawezi mdhibiti mgombea wao.
 
Kufuatia mgombea Urais kupitia Chadema Mhe.Tundu Lissu kufungiwa kufanya kampeni kwa siku 7 kuanzia leo hadi tar.9 Oktoba, atatumia nafasi yake kama Makamu Mwenyekiti wa Chadema kufanya ziara ya siku 7 (kuanzia kesho) kuwanadi wagombea ubunge wa majimbo mbalimbali nchini. Sheria ya vyama vya siasa no.5 ya mwaka 1992 inatoa ruhusa kwa viongozi wa kitaifa wa vyama vya siasa kuzunguka majimbo yote kuwanadi wagombea ubunge na udiwani. Hivyo kwa kutumia sheria hiyo Lissu ataanza ziara rasmi kesho kuwanadi wagombea ubunge na udiwani, kisha tar.10 ataendelea na ratiba yake kama mgombea urais.! #Mwamba #AkiliKubwa #NiYeYe
 
Akate rufaa kwa lipi?
1. Hakuwahi kuletewa malalamiko juu yake ili yasikilizwe.
2. Mbili hakuwahi kusikilizwa.
3. Tatu, hata hayo maamuzi yaliyofikiwa hayajaekwa kwake.
Inaonekana unapenda sana kuwa mtu wa ndiy mzee
Mataga yote ni makondoo ndio maana hadi meko kachapisha fomu moja, kaweka wagombea wa mfukoni kwake na anayafokea deilee hakuna hata bata mmoja wa kunyanyua mdomo.

Lissu ndio kiboko ya huyu mpuuzi, jino kwa jino hadi mwisho itafahamika nani atalegea.
 
Back
Top Bottom