Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu asema ataendelea na Kampeni. Adai Sheria ya Maadili imevunjwa kumsimamisha Kampeni

Atakayecheka mwisho ndiye atakaye cheka sana,ngoja tuendelee kuwa wapenzi watazamaji
 
Akate rufaa kwa lipi?
1. Hakuwahi kuletewa malalamiko juu yake ili yasikilizwe.
2. Mbili hakuwahi kusikilizwa.
3. Tatu, hata hayo maamuzi yaliyofikiwa hayajaekwa kwake.
Inaonekana unapenda sana kuwa mtu wa ndiy mzee
Alipewa wito kupitia kwa katibu wa chama ambaye kimsingi ndio mdhamini wa mgombea lakini alijiona yeye mwamba Ngoja tuone mwisho wa siku nani anaumia
 
Ubabe wa mtu fododio sasa ni dhahiri waelekea ukingoni. Tundu Lissu noma!

20201002_165922.jpg
 
Kama haiamini tume kwanini ashiriki uchaguzi? Si angeacha? Hiyo ingeleta maana kuwa kuna matatizo kwenye tume. Ni sawa na muumini anayemuomba Mungu bila kujua kuwa Mungu anaweza kufanya hicho anachokiomba. Wote wanaomuomba Mungu wanatumaini kuwa yupo na anaouwezo.

Kubahatisha hakufai
Walipoacha kwenye chaguzi ndogo nini kilitokea?CCM walijisifu na hakuna hatua yeyete ya kubadili mfumo wa NEC,kilichopo ni muda wa kudai haki sio kuiomba tena
 
Chama siyo yeye. Tatizo anachukulia yeye ni zaidi ya chama kwasababu mabeberu wanamjua yeye. Anataka afanye fujo ili mabwana zake wazungu waone.
Fujo zipi unazoongea wewe, mabeberu ndio wadau wetu wa maendeleo hatuna shida nao tunashirikiana nao tangu enzi za Nyerere. Unakumbuka mabeberu walivyowaleta SAS kuzima jaribio la mapinduzi dhidi ya Nyerere.

Ndio kwa sasa yeye ni Popular kuliko mwanasiasa yeyote aliye active. Na ni popular kwa sababu anatetea na kuongea yale ambayo wengine wanaogopa. Na ndio ilikuwa sababu ya yeye kupigwa risasi. Nikujilishe tu wako watu ndani ya CCM na serikalini wanamsapoti Lissu. Shida wewe ni outsider kuelewa ngumu.

So yes mabeberu tunawahitaji kwa ajili ya maendeleo, hatuhitaji mtu achote hazina pesa kama kibubu cha familia akajenge uwanja wa kimataifa kijijini kwake
 
Consequence zakuendelea kufanya kampeni zinaweza ku justify hatua ingine kubwa zaidi na ya kuumiza.Naamini NEC wakimkata kuendelea na uchaguzi hakuna kitakachotokea (kama ilivyotokea kwa JECHA).Atumie busara na ajenge hoja!!
Unafikiri ni rahisi hivyo?
 
Fungua YouTube channel ,uendelee na kampeni online , tutaendelea kusambaza upendo kwa wananchi mpaka kwenye vibanda vya kukodisha CD . Ili kila mwananchi ambaye ni mgumu kubadilika abadilike
 
Inabidi apunguze munkali, asilazimishe
Hii ndiyo namna ya ku- deal ni na madikteta yasiyo na busara kama Meko. Kwa kila wanaloamua lazima kuwe na action.

Yaani NEC haijui hata kula na kipofu?? Wameona mgombea wao hana afya ya kupuyanga continuously kutokana na kiberiti kifuani ndiyo wakaamua kutafuta kijisababu cha kumpumzisha Lissu naye.

Kweli alichopanga Mungu binadamu hawezi kukizuia. Naamini kabisa Rais wetu kuanzia 29/10 ni Tundu Lissu. NEC wakikaidi na kumtangaza Meko kwa lazima, MUNGU aweza kuamua kuzima kiberiti cha Meko for good
 
Hivi kwanini hawajifunzi kwa watangulizi? Kama Nyerere angehangaika kupambana na Mrema ingeleta picha Gani kwa Mkapa aliyekuwa hana mashabiki wengi mambo mengine funika kombe mwanaharamu apite, maana hao watu walizuiwa kufanya siasa muda mrefu wanamuda mchache napo munahangaika nao sasa Kama siyo kuwapa huruma za wananchi na kuleta chuki nini?
 
Mkuu, hivi unajua kuwa Chama ndicho kikubwa kuliko huyo mgombea,na Chama ndio kilichobeba dhamana yake?

Sasa huoni kwamba, Chama kuandikiwa juu ya kulalamikiwa Kwa mgombea ndio sahihi mkuu!!
Wewe unaongelea Chama lakini kanuni na sheria za Uchaguzi ndiyo zinazoitaka tume kumpelekea mgombea malalamiko. Sheria haiagizi malalamiko hayo yapitie kwenye Chama
 
Back
Top Bottom