Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda aendelee na kampeni nyumbani sio kwa ardhi ya Tanzania yeye anataka kutuvurugia amani Yetu kwa kuwa ana option ya kukimbilia ubelgiji Sasa ajaribu kwenda kinyume na hiyo hukumu tuone hao wanaompa jeuri Kama wataingia hapa nchini kwetu kumsaidia. Yeye si mwanasheria aende akapambane na wenzie kwenye ulingo wa kisheria Kama angekua mstaarabu afuate utaratibu wa kutatua issue yake kwa amani otherwise sheria itambana kwa sababu alisainHaya siyo maneno yangu, ni maneno ya Tundu Lissu
View attachment 1588241
Ntakutafuta, Naona kumbe upo jirani na mimi tu [emoji4][emoji4] ila iache ujinga wa Lumumba [emoji19]Lissu ni debe tupu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lissu ni debe tupu
UmesikikaLissu mtoto sana kwenye siasa
Utafanya nini wewe kula kulala. Teke moja tu unalala hoi kama siyo kujisaidia haja kubwa kabisa!!Kujaribu ni bure! Wajaribu!
Una mawazo ya kizamani sana. U communist umepitwa na wakati . Mambo ya kumwabudu mtu au chama tawala hakunaLisu anajitoa ufahamu tu
Tume imepeleka balua ofisini kwenu, Mnyika kapokea, kawajibu kwamba hiyo haiwahusu, wampe mgombea mwenyewe!
Kama vile wewe ni mgombea binafsi siyo wa chadema!
Juzi umesikika ikiwa Tarime kwamba huendi kwa kuwa hukapewa balua!
Sasa je
Huna mawasiliana na chama chako?
Ikiwa hili ,wenzio wanajua lile!
Ikifanya ukaidi utaumia
Polisi watakufungua hivyo vyuma ulivyofunga mwilini kwako
kabisaa aiseeYeye mwenyewe wanamuita msukule. Mara wakala wa Beberu.
Ni vitendo dhidi ya maneno. Wajaribu!Utafanya nini wewe kula kulala. Teke moja tu unalala hoi kama siyo kujisaidia haja kubwa kabisa!!
Mkiambiwa muandamane mnajifungia bafuniKujaribu ni bure! Wajaribu!
Kama wewe ungekuwa ni yeye na CCM ikaamua kukuendesha ungefanya nini?Basi yeye ndio hana akili asilaumiwe ccm
MwalusanyaNimemkubuka Jaji Mwanani.. yule alikuwa kule Dodoma na kesi ya katiba na Mtikila alisimama kuo
Mimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!
Kaijage ni njaa ndiyo inamsukumaMimi siyo mwanasheria lakini naamini Tume ya uchaguzi inayoongozwa na Jaji mbobezi haiwezi kutoa maamuzi kwa kukurupuka.
Ndio najiuliza huyu Tundu Lisu " anadhani" anazijua sheria kuliko Jaji mstaafu Kaijage?
Maendeleo hayana vyama!