Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,517
- 4,477
Nimelikubali jibu lako. Short and clear.Yeye ndio aliefungiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimelikubali jibu lako. Short and clear.Yeye ndio aliefungiwa
Msiichezee amani ya nchi hii!Tunakumbusha hilo!Hapo ndio anaingia kwenye kumi na nane,akiendelea na kampeni wanamtoa kabisa, jeuri haina faida yeyote tena unae mfanyia jeuri ndio ana ubavu zaidi yako. Hivi jina likikatwa kwenye list ya wagombea atafanya nini?
Ni ndani ya mstari ndugu. Angalia, huiamini tume ila unatarajia kutangaza mshindi! How? La pili, unaidharau na kuikashfu tume kuwa haifai, wakati huo huo umeikubali iwe mwamuzi wa mtanange.Mbona mfano wako ni nje ya mstari Mraaa Au ndo vile tena
Mahakama ni mhimili huru.. Alieshika mpini kwani hapelekwi mahakamani.. Magu nae ni mgombea kama wenzakeAnapambana na aliyeshika mpini. Busara ilikuwa ni chama chake kitoe tamko siyo yeye binafsi.
Wewe jinga nenda kafunzwe na mumeo,yani mumpige risasi halafu leo hii mnalalamika huku kua ni mbaya kwenu,punguani wahedAnachokitafuta na Amsterdam wake wanakaribia kukipata. Niliwahi kusema Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila Elimu ya Dunia ni ZERO. No wonder anatembea kwa kuchechemea kwa kutofunzwa na ***** na kufunzwa na ulimwengu. Sasa acha ulimwengu uendelee kumfundisha zaidi.
Wewe ndiyo zero hujielewi, anachokitafuta kivipi? Anakaribia kukipata vipi? Kwani Tume isiyo huru haitendi haki unataka akae kimya ili iweje? wewe acha kujidai mungu hujafa hujaumbika hapo ulipo waweza kuwa kilema hata usiku hii acha kebehi za kishamba toka chatoAnachokitafuta na Amsterdam wake wanakaribia kukipata. Niliwahi kusema Lissu ana akili nyingi sana za darasani Ila Elimu ya Dunia ni ZERO. No wonder anatembea kwa kuchechemea kwa kutofunzwa na ***** na kufunzwa na ulimwengu. Sasa acha ulimwengu uendelee kumfundisha zaidi.
Mwaka 2015 kipindi cha jecha ni tofauti na sasa 2020 watu wana hasira machungu na utawala wa kidikteta, mkifanya faulu za kishamba tokea chato lazima Amani ipotee kwa mda mpate kujifunzaConsequence zakuendelea kufanya kampeni zinaweza ku justify hatua ingine kubwa zaidi na ya kuumiza.Naamini NEC wakimkata kuendelea na uchaguzi hakuna kitakachotokea (kama ilivyotokea kwa JECHA).Atumie busara na ajenge hoja!!
Maccm ndiyo mnamfanyia fujo ili mabwana zenu Tume isiyo huru ipate kumkomoa kwa njia za kishamba shamba kama ipo chatoChama siyo yeye. Tatizo anachukulia yeye ni zaidi ya chama kwasababu mabeberu wanamjua yeye. Anataka afanye fujo ili mabwana zake wazungu waone.
Atasomewa na polepoleHivi jiwe akisoma hicho kingereza ataelewa kweli
Cdm hapana labda LisuTwende na Lissu twende na CDM
Atashinda uchaguzi huu kwa kishindo. Moderater rekebisha.Ni Jambo la kipuuzi Kama NEC wanadhani kuwa Tundu akisimamishwa kufanya kampeni Basi atakuwa amepoteza wapiga kura, hizo Ni fikra mufilisi...
Asante kwa kukuona hilo naomba msaada huo wa marekebisho tafadhali.Bila shaka mods wakusaidie kurekebisha kichwa cha habari, au ulikusudia kusema "Atashindwa uchaguzi guy" ?